Kwanini Uganda na Egypt hawana mgao wa umeme na wanategemea maji kuzalisha umeme?

Viongozi wa Serikali ya CCM waongo ,wapiga dil
Tuliambiwa mradi wa gesii ukikamilika,tutauza nchi za jirani.Tupo wapi
 
Hamna cha kujifunza popote, bila kuliondoa hili dude linaitwa CCM sio janga la umeme tuu bali tunaweza kukosa hata maji ya kumwagilia mchicha na pia ya kuoga.
Nchi ambayo viongozi wake wakuu wamekalia uongo tuu na wengine kama mazuzu wanashangilia bila aibu ni ya hovyo sana.
Tatizo ni CCM pekee, na ukipata Kansa ya mguuni dawa ni kuukata tuu la sivyo itakula mwili mzima. Tuiondoe hii kansa CCM ndio pona ya nchi na vizazi vijavyo
Ninakubaliana na wewe juu ya CCM, lakini siyo kuhusu hiyo "kansa ya mguu."
 
Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.

Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.

Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.

Tukajifunze.
Watu wamekuwa wababe kwenye vyanzo vya maji kwani hujaambiwa juzi mwanza mkuuu.
 
Nafikiri kama huu mgao wa umeme ni kweli unasababishwa na vyanzo vya maji kukauka na kupunguza uwezo wa uzalishaji umeme, inabidi kwenda kujifunza kwa wenzetu wanawezaje.

Uganda na Egypt ni nchi ambazo zinategemea kuzalisha umeme kwa hydropower.

Wao wanawezaje pamoja na mabadiliko ya tabia nchi kuendelea kuzalisha umeme wa kutosha.

Tukajifunze.

A Glimpse of How Cairo's Residents Cope with Power Shortages​

June 19, 2019 12:13 PM
Egypt has been working to diversify its sources of electricity, building wind, solar and nuclear plants, in addition to boosting traditional oil and gas-fired energy production in a bid to end chronic power shortages. The push comes after the country experienced crippling blackouts during the summer of 2014. As temperature soared, so did the tempers of Egyptians. The year before, anger over power cuts had fueled demonstrations that led to the fall of the Muslim Brotherhood government and the ouster of the late President Mohamed Morsi. Today, as in years past, many Egyptians blame corruption for the decrepit state of Egypt’s power grid and many welcome the government’s efforts to modernize it.
 
Ukame upo tangu Enzi za akina Ibrahimu , Isaka na Yakobo , upo tangu Enzi za nabii Eliya , Leo hii mtu anakuja na visababu et mabadriko ya tabia ya nchi aisee hii inchi ina viongozi vilaza Sana , Enzi za kikwete bwawa la mtera halikutumika Enzi za jiwe likatumika , few months baada ya kifo cha jiwe tunaambiwa Bwawa lipo out of range , mara crane ,mara mitambo yaan bla bla kibao, ili watu wafanye biashara huu uongozi Mungu anatakiwa auondoe madarakani mara moja pamoja na Wazir husika...sometime tuombeane Vifo tu
sijui unaishi dunia gani mkuu
 
Pamoja na swali lako kuwa zuri, lakini huwezi kulinganisha mto Nile na hivi vijimito vyetu hapa. Ukame wa kuathiri ujazo wa maji mto Nile ukitokea, basi sisi huku tayari rutakuwa kwenye hali mbaya zaidi, siyo kwenye umeme pekee, bali hata kwenye mambo mengine, hasa chakula.

Lakini kumbuka kwa nini Egypt yupo tayari kwenda vitani na yeyote anayetumia maji hayo ya Nile. Hujasikia akipiga kelele juu ya mradi wa Ethiopia?

Uganda wao wana tatizo jingine. Mabwawa yao yanasababisha mafuriko katika maeneo kama ya Kisumu na kwingine mvua zinapozidi kuwa nyingi. Kwa hiyo usidhani kwamba hata wao hawana matatizo.
Chanzo cha maji ya MTO naili niz iwa Victoria,kumbuka 3/4 ya maji ya ziwa Victoria yapo Tanzania kama shida in maji ya mito kukauka unaweza kutengeneza maporomoko ya maji kwa kutumia maji ya ziwa victoria
 
Chanzo cha maji ya MTO naili niz iwa Victoria,kumbuka 3/4 ya maji ya ziwa Victoria yapo Tanzania kama shida in maji ya mito kukauka unaweza kutengeneza maporomoko ya maji kwa kutumia maji ya ziwa victoria
Mkuu, 'Econometrician', hilo haliwezekani kabisa.

Ziwa Victoria ni kama' baseni'tu kubwa lililojazwa maji, na vimirija vidogovidogo (vimito) toka sehemu mbalimbali vikijaza maji yake kwenye baseni hilo. Panapokuwepo na ukame, na hivyo vimirija vinakauka, na jua linabeba sehemu kubwa ya maji, ujazo wa hilo baseni nao hupungua.

Sasa hapa wewe unapendekeza tuweke maporomoko ya maji toka kwenye hili baseni, si ndio tutakuwa tumeliua ziwa kabisa? Hata hayo maji yanayochukuliwa ziwani kupelekwa Shinyanga, Tabora na kwingine, sehemu hizo zikizidi kupanuka ujazo wa maji ndani ya ziwa nao utabadilika kufuatana na kiasi kinachochotwa humo kwa matumizi hayo, na kama mvua za kutosha zinanyesha au la.

Bahati ya Uganda ni kwamba wao mto Nile ulishakuwepo toka maumbile, kwa hiyo wanatumia fursa hiyo kuchenjua umeme. Kamwe haiwezekani kabisa kwa sisi kutumia maji ya ziwa kwa matumizi ya namna hiyo bila ya kuathiri ziwa lenyewe. Labda ipatikane teknologia nyingine ambayo ni 'efficient zaidi na haipotezi maji mengi kwa kufua umeme.
 
Back
Top Bottom