Kwanini Udalali wa Nyumba/Vyumba usiwe ajira rasmi

Bigbootylover

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
2,847
1,820
Habarini wakuu,

Nina wazo moja katika hili swala la Udalali wa Nyumba/Vyumba. Kwa nini Serikali isiifanye kuwa kazi rasmi ili kupunguza tatizo la ajira na kipato kwa ujumla. Kwa sasa mtu akikutafutia nyumba/chumba inatakiwa umpe kodi ya mwezi mmoja kama pesa yake au malipo ya yeye kukutafutia nyumba au chumba baada ya hapo mmemalizana nae.

Ushauri ni kwamba madalali wasichukue hayo malipo ya mwezi mmoja, bali kuwepo na asilimia flani wanapewa na mwenye nyumba kila mwezi yule mpangaji anapolipa kodi mpaka ambapo yule mpangaji atamaliza mkataba katika hiyo nyumba. Mfano kodi yangu mimi nalipa laki moja kwa miezi sita (6*100,000=600000), na tuchukulie labda kiwango cha dalali ni 20% hivyo 20%*100000=20,000. 20,000*6=120000, hii 120000 inakuwa ndio pesa ya dalali kwa miezi sita, pindi mpangaji akilipa kodi tena yule dalali anapata hiyo asilimia yake kama kawaida sababu yeye ndo alimleta hapo.

Maoni yangu tu hayo wakuu ili kupunguza tatizo la ajira
 
Habarini wakuu, nina wazo moja katika hili swala la Udalali wa Nyumba/Vyumba. Kwa nini Serikali isiifanye kuwa kazi rasmi ili kupunguza tatizo la ajira na kipato kwa ujumla. Kwa sasa mtu akikutafutia nyumba/chumba inatakiwa umpe kodi ya mwezi mmoja kama pesa yake au malipo ya yeye kukutafutia nyumba au chumba baada ya hapo mmemalizana nae.
Ushauri ni kwamba madalali wasichukue hayo malipo ya mwezi mmoja, bali kuwepo na asilimia flani wanapewa na mwenye nyumba kila mwezi yule mpangaji anapolipa kodi mpaka ambapo yule mpangaji atamaliza mkataba katika hiyo nyumba. Mfano kodi yangu mimi nalipa laki moja kwa miezi sita (6*100,000=600000), na tuchukulie labda kiwango cha dalali ni 20% hivyo 20%*100000=20,000. 20,000*6=120000, hii 120000 inakuwa ndio pesa ya dalali kwa miezi sita, pindi mpangaji akilipa kodi tena yule dalali anapata hiyo asilimia yake kama kawaida sababu yeye ndo alimleta hapo.
Maoni yangu tu hayo wakuu ili kupunguza tatizo la ajira
Nani atajua chumba kipi kiko wazi kipangishwe na je kama hamna dalali mwenye house ndio mpangishaji.

Tatizo linakuja sababu amaetaka chumba nyumba hajui atapatata wapi na mwenye nyumba nae anataka mpangaji sasa na kila mmoja ana namna y kupat nyumna/ chumba wapangaji.

Mimi nadhani hiyo lingekuwa rahisii sana kama nyumba kumi angekuwa anawajibika halmashauri na ana mshahara mulisimamia vinginevyo wenye nyumba tutaendele kula vichwa na kupanga kodi tunavyotaka.
 
Nani atajua chumba kipi kiko wazi kipangishwe na je kama hamna dalali mwenye house ndio mpangishaji.

Tatizo linakuja sababu amaetaka chumba nyumba hajui atapatata wapi na mwenye nyumba nae anataka mpangaji sasa na kila mmoja ana namna y kupat nyumna/ chumba wapangaji.

Mimi nadhani hiyo lingekuwa rahisii sana kama nyumba kumi angekuwa anawajibika halmashauri na ana mshahara mulisimamia vinginevyo wenye nyumba tutaendele kula vichwa na kupanga kodi tunavyotaka.
Na hapo ndio dalali anapohitajika
 
Yaan mtu ajenge nyumba/arithi nyumba alafu agawane na mtu mapato??kam kuna kitu serikal ikiondoa itatupa unafuu basi ni madalali
Mwenye nyumba hajui wapi anapata mpangaji na mpangaji hajui wapi anapata nyumba au chumba, hivyo madalali ni muhimu
 
Professional yake ni Real Estate Finance and Investment... Ambapo ndani utakutana na Brokers and brokerage
 
Real Estate/ Brokers ni kazi ya halali kabisa na inatambulika, na unatakiwa uwe na leseni na number ya mlipa kodi...

Hao ni vishoka... Ila wanapaswa kua na ofisi...


Cc: mahondaw
 
Habarini wakuu, nina wazo moja katika hili swala la Udalali wa Nyumba/Vyumba. Kwa nini Serikali isiifanye kuwa kazi rasmi ili kupunguza tatizo la ajira na kipato kwa ujumla. Kwa sasa mtu akikutafutia nyumba/chumba inatakiwa umpe kodi ya mwezi mmoja kama pesa yake au malipo ya yeye kukutafutia nyumba au chumba baada ya hapo mmemalizana nae.
Ushauri ni kwamba madalali wasichukue hayo malipo ya mwezi mmoja, bali kuwepo na asilimia flani wanapewa na mwenye nyumba kila mwezi yule mpangaji anapolipa kodi mpaka ambapo yule mpangaji atamaliza mkataba katika hiyo nyumba. Mfano kodi yangu mimi nalipa laki moja kwa miezi sita (6*100,000=600000), na tuchukulie labda kiwango cha dalali ni 20% hivyo 20%*100000=20,000. 20,000*6=120000, hii 120000 inakuwa ndio pesa ya dalali kwa miezi sita, pindi mpangaji akilipa kodi tena yule dalali anapata hiyo asilimia yake kama kawaida sababu yeye ndo alimleta hapo.
Maoni yangu tu hayo wakuu ili kupunguza tatizo la ajira

Ungejuwa ugumu wa kujenga Nyumba ulivyo na mafundi wanavyozinguwaga usingeandika upuuzi wako huu!!!

Kuwa dalali kwenye Nyumba za baba yako
 
Back
Top Bottom