Mr. MTUI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 8,130
- 8,330
Ni dhahiri kwa tuliowahi kutoka safari mbalimbali kupitia uwanja wa ndege wa JNIA bila watu wa kutulaki na kutaka kutumia Uber tutakuwa tumepata adha ya kulazimika kutembea hadi nje ya uwanja huo ili kupata usafiri huo. Najua mtasema "kwanini usipande taxi za ndani ya uwanja?" lakini jibu ni kuwa taxi hizi huwa na gharama kubwa sana.
Ukiita uber atakwambia tukutane Petrol Station ya PUMA na kulazimika kubeba mizigo yako hadi nje. Ukiwauliza sababu, wanadai hawaruhusiwi kuingia ndani na kuchukua abiria na wanaogopa kufanyiwa fujo na madereva wa taxi wa Airport.
Sababu za msingi za katazo hilo ni zipi hasa katika ulimwengu huu wa technolojia?
Ukiita uber atakwambia tukutane Petrol Station ya PUMA na kulazimika kubeba mizigo yako hadi nje. Ukiwauliza sababu, wanadai hawaruhusiwi kuingia ndani na kuchukua abiria na wanaogopa kufanyiwa fujo na madereva wa taxi wa Airport.
Sababu za msingi za katazo hilo ni zipi hasa katika ulimwengu huu wa technolojia?