Kwanini tunaoa?

Kwanini tunaoa?

Nataka kufahamu tunaowa kutimiza maandiko au ni kuendeleza utaratibu tulio urithi kutoka kwa mababu zetu?

Kama lengo ni kuzaa na kuijaza dunia hilo linawezekana bila kuowa.
Kumekuwa na matukio ya kuvunjika kwa ndoa nyingi zikiacha maumivu na hata vilema kwa kila upande.
Mimi naona ndoa za mikataba zipitishe na sheria iwepo kusimamia malezi mana kweli ndoa nyingi zimeshidwa kustahimili mikiki zimekuwa zikivunjika na haitoshi zinaleta mpaka madhara kuuwa wenza hata watoto!!!!
Siku nyingine ukiuliza swali usitoe majibu. Uliza swali tulia tukujibu.

Kunazo sababu tatu za kuoa.
1. Ni agizo. Tumeagizwa hivyo na Mungu. Kila Dini imeagiza hivyo.
2. Kutoshelezana. Kila Dini inakataza zinaa. Mkioana mtatoshelezana.
3. Kuzaa Ili kuendeleza ukoo. Usipozaa ukoo unaishia kwako.
 
Back
Top Bottom