Kwanini tunaoa?

prumpeti

JF-Expert Member
Feb 28, 2022
1,021
2,279
Nataka kufahamu tunaowa kutimiza maandiko au ni kuendeleza utaratibu tulio urithi kutoka kwa mababu zetu?

Kama lengo ni kuzaa na kuijaza dunia hilo linawezekana bila kuowa. Kumekuwa na matukio ya kuvunjika kwa ndoa nyingi zikiacha maumivu na hata vilema kwa kila upande.

Mimi naona ndoa za mikataba zipitishe na sheria iwepo kusimamia malezi mana kweli ndoa nyingi zimeshidwa kustahimili mikiki zimekuwa zikivunjika na haitoshi zinaleta mpaka madhara kuuwa wenza hata watoto!
 
Hivi swali lako ni: kwanini tunaoa au madhara yatokanayo na ndoa??!!, kwani sijaelewa kwakuwa umegusia kuvunjika kwa ndoa na hapo hapo unazungumzia juu ya mapungufu ya malezi ya watoto na ndoa za mikataba nk.--- Hebu weka vyema mada yako.

NB:: Ni kuoa na sio kuowa.
 
kutimiza matakwa ya kimaandiko.
sawa maandiko yanasema tuowe laikini ni kama sheria za musa zulivyo badilishwa tunahitaji na hizi zilizo wekwa zifanyiwe marekebisho binadamu wamebadilika sana baada ya kuzitumia kwa miaka 2000 zinahitaji zibadilishwe ziende sawa na watu wa dunia ya sasa
 
Hivi swali lako ni: kwanini tunaoa au madhara yatokanayo na ndoa??!!, kwani sijaelewa kwakuwa umegusia kuvunjika kwa ndoa na hapo hapo unazungumzia juu ya mapungufu ya malezi ya watoto na ndoa za mikataba nk.--- Hebu weka vyema mada yako.

NB:: Ni kuoa na sio kuowa.
swali kwanni tunaowa??nimebainisha pia changamoto ya kuishi na mtu maisha yako yote.
 
Unapokuwa hai kaa tayari lolote linaweza kutokea maisha hayana guarantee sometimes tunauliwa hata na magari tuliyo yanunua kwa bidii zetu wenyewe.

Lakini haitafanya tusinunue magari maana hiyo ni side effect.


Kiufupi tunaoa ila kupata faraja, company na umoja, kwa kuwa tumeombwa ili kuishi in groups ambazo ndo ndoa ukiwa kijana unaweza usione umuhimu wa ndoa ila umri ukienda ndo utaona.
 
Unapokuwa hai kaa tayari lolote linaweza kutokea maisha hayana guarantee sometimes tunauliwa hata na magari tuliyo yanunua kwa bidii zetu wenyewe.

Lakini haitafanya tusinunue magari maana hiyo ni side effect.


Kiufupi tunaoa ila kupata faraja, company na umoja, kwa kuwa tumeombwa ili kuishi in groups ambazo ndo ndoa ukiwa kijana unaweza usione umuhimu wa ndoa ila umri ukienda ndo utaona.
sawaa
 
swali kwanni tunaowa??nimebainisha pia changamoto ya kuishi na mtu maisha yako yote.


Basi ilikutosha kuuliza tu kwanini tunaoa??.

Mtu ni tofauti na mnyama katika mambo mengi sana na tofauti hizo ndizo zinamfanya aitwe Binadamu vinginevyo bila ndoa basi watu tungeishi kama wanyama na tungejamiiana mithili ya mbuzi, kuku, Punda nk kiholela na ingekuwa ni kawaida kwa Mama kuoana na mtoto wake au baba kuoa binti yake na machafu kadha wa kadha ya aina hiyo hiyo yangetokea, basi ni Mungu ndiye aliyetuwekea sheria za kuoa na miiko yake kwamba nani aoe nani na nani asioe nani ili kujenga jamii bora yenye ustawi na afya.

Hivyo kuoa si kuoa tu bali kuoa kuna ambatana na masharti yake.
 
Back
Top Bottom