MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 5,057
- 10,123
Wewe kama huna mpango wa kuoa maisi mwako wala usingaike kutafuta sababu kwa nini tunaoa kwani hakuna sababu moja na yenye kufanana kwa watu wote kwa nini wanaoa.
Hata wasiooa nao wana sababu tofauti.
Pia tafuta kwa nini huyu mwamba James Buchanan (rais wa 15 wa Marekani) hakuoa kabisa maishani mwake
Hata wasiooa nao wana sababu tofauti.
Pia tafuta kwa nini huyu mwamba James Buchanan (rais wa 15 wa Marekani) hakuoa kabisa maishani mwake