Kwanini tunaoa?

Kwanini tunaoa?

Nimetoka zangu Mkoa nipo Dar hapa nakimbizana na vichalii vyangu viwili, kapita hapa katokea pale, unajifanya bize na simu kitanda mara unamkuta mgongoni yaani full raha, haka kakike leo kana birthday ya miaka 2 hapa ni hekaheka tu [emoji851][emoji851][emoji851]

Dogo Ukikua utaelewa
 
Unapokuwa hai kaa tayari lolote linaweza kutokea maisha hayana guarantee sometimes tunauliwa hata na magari tuliyo yanunua kwa bidii zetu wenyewe.

Lakini haitafanya tusinunue magari maana hiyo ni side effect.


Kiufupi tunaoa ila kupata faraja, company na umoja, kwa kuwa tumeombwa ili kuishi in groups ambazo ndo ndoa ukiwa kijana unaweza usione umuhimu wa ndoa ila umri ukienda ndo utaona.
Umeandika vizuri sana mkuu, hujagusia dini bali akili ya kuzaliwa tu. Safi sana 👏
 
Mnajaza mkiamua..unataka ukaze behewa eti?
Embu kwanza nihesabu..Nitarudi na jibu😂
Ukaza tu, hakuna muongozo...

Ukimaliza hesabu zako nijuze nikuope muongozo...
 
Hahahahah
Usijali..ila nakuona hapa uko mwishoni kabisa mwa hesabu zangu
Ni vizuri kama baada ya mimi kukawa kuna wengine pia, au kabla yangu pia wawe wengine...
 
Ni vizuri kama baada ya mimi kukawa kuna wengine pia, au kabla yangu pia wawe wengine...
Baada ya wewe Bado Kuna nafasi naziona hapa ..ila huu msafara😂😂
Mambo yangu nibaki nayo mwenyewe
 
Baada ya wewe Bado Kuna nafasi naziona hapa ..ila huu msafara😂😂
Mambo yangu nibaki nayo mwenyewe
Safi sana, kwa hali hii hatutasumbuana...

Hakika, mambo yako baki nayo mwenyewe...
 
Mbona tulisha kubaliana humu ndani kwamba hakuna kuoa...😎
 
Back
Top Bottom