technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,680
- 58,675
- Thread starter
- #101
Tuondoe wanajeshi wetu sasa kwanzaHata urafiki wa Congo ulikua hauna maslahi zaidi kuwachosha wanajeshi wetu
Tuondoe wanajeshi wetu sasa kwanzaHata urafiki wa Congo ulikua hauna maslahi zaidi kuwachosha wanajeshi wetu
Amesema population ya Rwanda ni milioni mbili.. Mimi sijabisha kuhusu suala la population ipi kubwa. Nime question tu uwezo wa mtoa mada kama anashindwa kutafuta information sahihi na hii inapunguza credibility yake. Acha kukurupuka soma nilichoandikaaa.. Usiniwekee maneno mdomoniii..
YahMi nilifikili tunapojenga reli ya kati kwa sgr wateja wetu wakubwa ni Burundi Rwanda na Dr Congo au?
Naomba tumwache kagame. Yule mtu ana akili. Level nyingine.
Beila
Wewe ni mpuuzi na nimeshakuupuuza hizo taarabu peleka jukwaa lake hili jukwaa sio la makaaba wa fikira kama wewe ni la wasomiUnajifanya " much know " wakati kumbe kiuhalisia ni wa " hovyo hovyo ". Hiyo Bandari haiitwi Beila bali ni " Beira ". Sasa kama kuandika tu majina ya maeneo muhimu hujui tutakuamini kweli na hoja zako " mfu? ".
Tatizo lako ni wa ovyo na nyie ndio mnaifanya hii nchi isiendelee Kwa sababu ya unafiki wenu kujipendekeza Kwa watawala Kwa taarifa yako Mimi nafanya kazi serikalini lakini sina uo ujinga wa kujipendekeza kama wewe!!!Na ieleweke hivyo tafadhali. Safi sana Mkuu kwa kuwaelewesha wasiojua!
Wewe ni mpuuzi na nimeshakuupuuza hizo taarabu peleka jukwaa lake hili jukwaa sio la makaaba wa fikira kama wewe ni la wasomi
Tatizo lako ni wa ovyo na nyie ndio mnaifanya hii nchi isiendelee Kwa sababu ya unafiki wenu kujipendekeza Kwa watawala Kwa taarifa yako Mimi nafanya kazi serikalini lakini sina uo ujinga wa kujipendekeza kama wewe!!!
Wewe ni mpuuzi na nimesha kupuuza unayefatilia upumbavu ubakuwa mpumbavu hivyo hivyo !!Hivi Msomi anaweza kukosea kutaja Beira na kusema Beila? Tena nimekuchokonoa " makusudi " ili ujae katika frame na umeshajaa. Safi sana Mr. Beila. Kama na Wewe ni mmoja wa Wasomi waliopo Tanzania basi mna safari ndefu!
Endelea na kazi zako kwani lazima uchangie nenda ubebe box ukoHivi Msomi anaweza kukosea kutaja Beira na kusema Beila? Tena nimekuchokonoa " makusudi " ili ujae katika frame na umeshajaa. Safi sana Mr. Beila. Kama na Wewe ni mmoja wa Wasomi waliopo Tanzania basi mna safari ndefu!
Wewe ni mpuuzi na nimesha kupuuza unayefatilia upumbavu ubakuwa ******** hivyo hivyo !!
Endelea na kazi zako kwani lazima uchangie nenda ubebe box uko
Sawa mimi ndezi.....Lakini katika mipango ya baadaye Congo ni nchi ambayo itakuwepo ndo maana nimeirefer kama nchi ya africa mashariki...Member states wapo interested kwa Congo kuwepowewe ni bonge la ndezi, nani alikuambia DRC ipo EAC???
machoko haooo wasikusumbue kichwaaaOna ulivyo " panic " sasa! Na hivi leo Jumapili ama hakika " nitalala mbele " na Wewe.
machoko haooo wasikusumbue kichwaaa
Nishagundua kitambo. Kujitia mjanja akaenda kubadilisha halafu ananiambia soma tena. .Bahati nzuri kuna watu washa mquote..Mkuu huyo unae bishana naye ndiye mleta mada.