Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini tozo kwa makosa ya uvunjifu wa sheria za usalama barabarani zisishabihiane na uzito wa kosa husika kama ambavyo kodi ya PAYE inavyoshabihiana na ukubwa wa mshahara?
(1) Kwanini dereva wa gari iliyofanya kosa la wrong packing pamoja na dereva aliyefanya kosa la kutosimama wakati taa nyekundu imewaka au overspeeding wanalipa tozo inayofanana ya 30,000/=?
(2) Mbona mfanyakazi anayepokea mshahara basic wa 1,500,000/= pamoja na mwingine anayepokea 300,000/= wanalipa viwango tofauti vya kodi ya PAYE?
(3) Katika kuvuka daraja la Mwalimu Nyerere pale Kigamboni wanalipa kulingana na ukubwa wa gari na kwanini hakuna tozo za kufanana?
(4) Kwanini kusiwe na madaraja ya makosa barabarani na faini zake kama ilivyo kwa P.A.Y.E ukifanya kosa dogo ulipe faini kulingana na kosa husika kama ni dogo unalipa kidogo kama ni kubwa unalipa faini kubwa?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kwanini tozo kwa makosa ya uvunjifu wa sheria za usalama barabarani zisishabihiane na uzito wa kosa husika kama ambavyo kodi ya PAYE inavyoshabihiana na ukubwa wa mshahara?
(1) Kwanini dereva wa gari iliyofanya kosa la wrong packing pamoja na dereva aliyefanya kosa la kutosimama wakati taa nyekundu imewaka au overspeeding wanalipa tozo inayofanana ya 30,000/=?
(2) Mbona mfanyakazi anayepokea mshahara basic wa 1,500,000/= pamoja na mwingine anayepokea 300,000/= wanalipa viwango tofauti vya kodi ya PAYE?
(3) Katika kuvuka daraja la Mwalimu Nyerere pale Kigamboni wanalipa kulingana na ukubwa wa gari na kwanini hakuna tozo za kufanana?
(4) Kwanini kusiwe na madaraja ya makosa barabarani na faini zake kama ilivyo kwa P.A.Y.E ukifanya kosa dogo ulipe faini kulingana na kosa husika kama ni dogo unalipa kidogo kama ni kubwa unalipa faini kubwa?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.