Kwanini TEC wamejitokeza awamu ya sita?

Kwanini TEC wamejitokeza awamu ya sita?

Wamemtuma Dr Slaa...wakaona kakamatwa wamejitokeza wenyewe live.

Na wala hawataki kurekebisha vipengele...wako very clear hawataki waarabu waislam.

Hata akija mwekezaji Mzungu vipengele hivyo hivyo hutasikia wakisema chochote.

Si alikuwepo Ticts na Hong Kong miaka 22.

walisema chochote?
I agree with you 100%. Mkataba huu huu angepewa mzungu usingeona TEC kutoa tamko wala wasingepinga chochote. Hapo issue ni waarabu na sio mkataba wala nini.

Wakati wa JPM kuna watu walikuwa wanaokotwa kwenye sandarusi wakiwa wamekufa ufukweni huko ulishawahi kuona tamko kutoka TEC?

Na hawa ndio wanaopandikiza chuki ya kidini kwa watu na huwa inatokea hivi hivi kila anapokuwa raisi muislamu. Utaona hata raisi akifanya uteuzi wataanza kuangalia kateua waislamu wangapi, lakini akiwa raisi ni katoliki mwenzao hawasemi hivyo hata huyo katoliki akiteua wote wa dini moja.

Kafieni mbele huko na chuki zenu MAMA SAMIA mpaka 2030. Kumbukeni MAMA hajajiweka kwenye hiyo nafasi ni MUNGU ndio kamuweka hapo.
 
Wamemtuma Dr Slaa...wakaona kakamatwa wamejitokeza wenyewe live.

Na wala hawataki kurekebisha vipengele...wako very clear hawataki waarabu waislam.

Hata akija mwekezaji Mzungu vipengele hivyo hivyo hutasikia wakisema chochote.

Si alikuwepo Ticts na Hong Kong miaka 22.

walisema chochote?
Kumbe walikuwepo na sasa hawapo?kinachopingwa ni hao wakoloni wako wa kiimani kutaka kukaa bila kikomo huku wakiweka masharti ya ajabu ambayo ni chizi tu na mtumwa wa kiimani ndo atakubali.
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
nakumbuka walihimiza watu wavae barakoa na kufuata kanuni za tahadhari za COVID 19
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Mbona TEC hotoa nyaraka nyakat zote au hukusoma ule waliomtuhumu Magufuli kwa kupotea watu
 
Rejea ya andiko lifuatalo

KANISA LIPO KWA AJILI YA KITETEA HAKI NA MASLAHI WATU WOTE KATIKA JAMII!

Wapendwa Watanzania!
Kuna watu wanalalamika kuwa sisi maaskofu tunamuandama Rais Samia kwa kuwa yeye ni Muislamu. Wanalalamikia matamko ya kupinga Mkataba wa Bandari wakidai kuwa tumefanya hivyo kwa kuwa Rais Rais Samia ni Muislamu. Wanasema hatukumpinga Rais Magufuli kwa kuwa yeye alikuwa ni Mkristo. Huo ni uwongo ambao usingestahili kujibiwa na Askofu. Lakini kwa kuwa kuna baadhi ya watu hawakufuatilia au wamesahau, basi tumeona tuwakumbushe.

Hakuna taasisi ambayo iliuandama utawala wa Magufuli kama Kanisa. Ushahidi wa haya ni:

1. Mwaka 2018 Kanisa Katoliki lilitoa Waraka wa Pasaka ambao ulimchukiza sana Magufuli

2. Mwaka 2018: Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) pia lilitoa Waraka wa Pasaka uliomchukiza sana Rais Magufuli.

3. Askofu Severine Niwemugizi wa Kanisa Katoliki Dayosisi ya Rulenge-Ngara aliandamwa sana kwa sababu aliionya serikali ya Magufuli.

4. Rev. Fr. Sabah (RIP) wa Kanisa Katoliki naye aliandamwa sana na utawala wa Magufuli.

5. Askofu Zakaria Kakobe wa Full Gospel Bible Fellowship aliandamwa sana na utawala wa Magufuli baada ya yeye kuukaripia.

6. Askofu Emmaus Mwamakula wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania aliandamwa sana na hata kuwekwa kizuizini baada kupinga udikiteta wa utawala wa Magufuli.

7. Askofu Dkt. Stephen Munga wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Mashariki aliandamwa sana kiasi cha kufikia hatua kukimbilia Afrika Kusini kwa matibabu yaliyookoa uhai wake.

8. Askofu Josephat Gwajima alipata utulivu baada ya kukubali kuhamia CCM lakini kabla ya hapo ilikuwa ni tabu.

Kwa hiyo, sisi maaskofu tumejenga utamaduni wa kuonya mamlaka kila zinapotenda mambo ambayo tunadhani hayana manufaa kwa jamii. Tunafanya hivyo kwa njia mbalimbali ikiwemo maonyo ya faragha, nyaraka, kutuma ujumbe maalum (delegation), nk.

Sisi tunaamini kuwa Mkataba wa Bandari umeingiwa na serikali ya Tanzania na wala sio na watu wa kabila au dini fulani. Kwa hiyo, sisi tumemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili Serikali isikilize maoni na kelele za wananchi wake tukiwemo sisi, wala hatujatoa shinikizo kwa Rais wa Kabila au Rais wa Dini.

Kama kuna makundi mengine yana hoja juu ya Mkataba wa Bandari hayajazuiwa kuwasilisha hoja zao. Katika kupinga mkataba sisi tulijikita katika kuchambua yaliyomo katika mkataba ambavyo. Tunatarajia kuwa makundi mengine nayo yatafanya hivyo badala ya kuangalia sura, nasaba, koo, kabila au dini.
 
Sio mawazo mgando hata kama mimi ni mkatoliki ila ukweli ni kwamba TEC ni wadini mno mbona wakati wa utawala wa mkristo mwenzetu alieunajisi uchaguzi,aliekitishia maisha ya watu na mpaka kuua watu hawakutoa tamko lolote? Tutende haki ubaguzi sio kitu kizuri
Wakati wa JPM walitoa Nyarja Tatu za kupingana na JPM....kabla kuchngia muwe mnajiridhisha kwanza na ueleea wenu!
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
TAPIKA TENDE NA HALUA ZA WAARABU

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wamejawa na udini hao watu, Hawataki uwezekaji kwa sababu ni Mwarabu tu
Hisia potofu tu hizi. Je nitakosea nikisema waislam wamejaa udini zaidi kiasi kwamba hawajadili vipengele vya mkataba badala yake wanautetea kwa sababu mwekezaji ni mwarabu mwenye uislam wake?
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Acha uongo.
 
Wamemtuma Dr Slaa...wakaona kakamatwa wamejitokeza wenyewe live.

Na wala hawataki kurekebisha vipengele...wako very clear hawataki waarabu waislam.

Hata akija mwekezaji Mzungu vipengele hivyo hivyo hutasikia wakisema chochote.

Si alikuwepo Ticts na Hong Kong miaka 22.

walisema chochote?
Jiongeze. Rasimali zetu za Nchi Hazina' haja ya Udini. Ni Uzalendo TU. Miaka 22 ya TICS ni Sawa na 'Kwa Muda Usiojulikana, Mpaka MWEKEZAJI' Achoke ! ' wa DPWorld, ni Sawa ??? Tusijitoe Ufahamu !
Magufuli SI aliutoa Mbio Mkataba huu huu ? Vipi Samia ameukubali Mbio ?? Lakini hauhusu Bandari za Zanzibar !!
Wao hawataki Hela ??? [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mimi sijaona tatizo la TEC! Wametoa maoni yao baada ya kufanya utafiti wao na kuona mkataba wa DP World una shida!
Nadhani ni kujikita katika Waraka wao kuona maoni yao ni ya kweli?
Wakosolewe kwa hoja lakini siyo kwa kulaumiwa!

Kinacholeta shida ni pale ambapo serikali ya CCM ilijiwekea utamaduni wa kutotaka viongozi wa dini waikosoe bali waisifie!

Viongozi wa dini wakiikosoa au kuisahihisha Serikali pale ilipokosea tena kwa nia njema, tunaambiwa viongozi wa dini wanachanganya Dini na Siasa!

Wakiisifia huko siyo kuchanganya Dini na Siasa!

Tuwe na utamaduni wa kuheshimu viongozi wa dini ambao kazi yao ni kuliombea Taifa lisiingie kwenye matatizo!
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Siku zingine kama ukiwa bado huna Taarifa za kutosha usiwe Unakurupuka hivi sawa? Kwa Taarifa yako hawa hawa TEC kati ya mwaka 2016 hadi 2017 walimtia sana Kashi Kashi Hayati Magufuli baada ya Kuwakera mahala fulani na Magufuli akaanza kutaka Kushindana nao ila baadae akagundua hawawezi, akaufyata na kuamua Kuungana nao.

Nadhani kwa Post yangu hii GENTAMYCINE nitakuwa nimejibu vyema Swali lako kuwa Kwanini TEC wanajitokeza Awamu hii ya Sita na ile ya Tano hawakujitokeza?

Ninaungana na TEC 100% kwa Tamko!
 
I agree with you 100%. Mkataba huu huu angepewa mzungu usingeona TEC kutoa tamko wala wasingepinga chochote. Hapo issue ni waarabu na sio mkataba wala nini.

Wakati wa JPM kuna watu walikuwa wanaokotwa kwenye sandarusi wakiwa wamekufa ufukweni huko ulishawahi kuona tamko kutoka TEC?

Na hawa ndio wanaopandikiza chuki ya kidini kwa watu na huwa inatokea hivi hivi kila anapokuwa raisi muislamu. Utaona hata raisi akifanya uteuzi wataanza kuangalia kateua waislamu wangapi, lakini akiwa raisi ni katoliki mwenzao hawasemi hivyo hata huyo katoliki akiteua wote wa dini moja.

Kafieni mbele huko na chuki zenu MAMA SAMIA mpaka 2030. Kumbukeni MAMA hajajiweka kwenye hiyo nafasi ni MUNGU ndio kamuweka hapo.
Hapo vipi
20230818_231142.jpg
 
Wakati wa JPM walitoa Nyarja Tatu za kupingana na JPM....kabla kuchngia muwe mnajiridhisha kwanza na ueleea wenu!
Utawala wa kikwete na utawala wa magufuli upi walitoa nyaraka nyingi za kipumbavu? Nakumbuka walimsakama mno kikwete kuwa ni mdini au wakati huo haukuwa timamu kichwani? TEC imempopoa mno kikwete kwamba analeta udini kisa tu baraza la mawaziri wakati fulani kulikuwa na waislamu wengi ila hatukuyasikia hayo wakati wa utawala wa magufuli
 
Back
Top Bottom