Kwanini TEC wamejitokeza awamu ya sita?

Kwanini TEC wamejitokeza awamu ya sita?

Hilo halina ubishi lakini kitendo cha Tec ku come out kisa bandari anataka kupewa mwarabu basi hio tayari ni udini Mkubwa sana ambao hauna maana Nimeona kwenye waraka wao pia wameweka inshu za Loliondo ambako nako wamepewa waarabu, Mimi Binafsi siwapendi waarabau kwasababu nafahamu fika sio civilized na wana ubaguzi sana ila ili la TEC kuraise alarm ni limejaa Misingi y kibaguzi na kutaka kugawa taifa
Eti mnyaturu wa singida anadai muarabu wa Qatar au Dubai ambayo ni kitovu cha mapumziko, utalii na biashara kwa ukanda ule na duniani kuwa hawapo civilized, tutaskia mengi kweli.....

Hapo ni udini the rest ni blah blah

Mkataba sawa urekebishwe, lakini hata urekebishwe vipi maadam ni waarabu waislam wa swala 5 basi mioyoni mwao still hawatakuwa radhi, hata kama tutaambiwa tupewe faida 85%

Source: believe me!
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Tatizo la kutofuatilia mambo.... tec waliishambulia serikali ya magufuli kwa ukiukaji wa haki za binadamu... Hawajui kukaa kimya linapotokea jambo la kuumiza wananchi !
 
TEC wapo kwenye kivuli cha sauti ya wananchi lakini kiuhalisia wapo kwa maslahi yao.
Tambua masilahi ya mwananchi ni masilahi ya wanasiasa na hata viongozi wa dini... Unafikiri wanapigania ng'ombe? Masilahi Yao ni mwananchi !!
 
Wamemtuma Dr Slaa...wakaona kakamatwa wamejitokeza wenyewe live.

Na wala hawataki kurekebisha vipengele...wako very clear hawataki waarabu waislam.

Hata akija mwekezaji Mzungu vipengele hivyo hivyo hutasikia wakisema chochote.

Si alikuwepo Ticts na Hong Kong miaka 22.

walisema chochote?
Ufinyu wa akili ndio hupelekea watu kuishi kishirikina !!
 
Wewe ni punguani.

Awamu zote penye kasoro walitoa waraka.

Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
 
Wamejawa na udini hao watu, Hawataki uwezekaji kwa sababu ni Mwarabu tu
Kadanganye alaekula dyudyu ya mazaako TEC wamekuwa wakitoa matamko mbali mbalimbali ujinga umbwa nyie 2018 wakoa makemeo ya mauaji na utekaji
 
TEC Walitoa Tamko juu ya Covid Kama hukumbuki,Na mambo mengi sana nikakumbuka nikuletee,
 
Hilo halina ubishi lakini kitendo cha Tec ku come out kisa bandari anataka kupewa mwarabu basi hio tayari ni udini Mkubwa sana ambao hauna maana Nimeona kwenye waraka wao pia wameweka inshu za Loliondo ambako nako wamepewa waarabu, Mimi Binafsi siwapendi waarabau kwasababu nafahamu fika sio civilized na wana ubaguzi sana ila ili la TEC kuraise alarm ni limejaa Misingi y kibaguzi na kutaka kugawa taifa
Zanzibar hakuna Bandari?
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Kwa hiyo unataka TEC waangalie tu wakati nyie mkiuza nchi yetu?

Kuhusu awamu iliyopita, kuna anayeweza kuhoji kuhusu uzalendo wake kwa nchi na kujali masilahi / maisha ya wananchi?

Nikukumbushe machache ya awamu iliyopita:
1. Tshs 27k kuunganisha umeme
2. Tanzanite bridge
3. Kigogo-Busisi bridge
4. Serikali kuhamia Dodoma
,5. Vyeti feki
6. SGR
7. Sigila goji
8. Nidhamu makazini
9. Hakukuwepo na tozo za kufilisi watu kama sasa
10. Ujenzi wa fly overs kama zote
12. Ujenzi wa bus stands kila wilaya/mkoa
13. Ujenzi wa hospital na zahanati
14. Matengenezo ya barabara za vijijini na mjini kama zote
15. Exchange rate ya Tsh/dollar kubaki ile ile licha ya uviko kuadhiri utalii. Usafirishaji
16. Gharama za vyakula na bidhaa zote kuwa affordable kwa kila mtu
17. Etc
Kwa haya na mengine mengi, ulitaka TEC walalamike kwa LIPI?
 
Ni jukumu la watumishi wa Mungu kukemea maovu.Awamu hii maovu ya wahuni yamezidi sana.
 
Wamemtuma Dr Slaa...wakaona kakamatwa wamejitokeza wenyewe live.

Na wala hawataki kurekebisha vipengele...wako very clear hawataki waarabu waislam.

Hata akija mwekezaji Mzungu vipengele hivyo hivyo hutasikia wakisema chochote.

Si alikuwepo Ticts na Hong Kong miaka 22.

walisema chochote?
Hao wa miaka 22 wengi walijua na walipiga kelele pia naona kama unapotosha jamii hawa Wakatoliki wapo sawa sana kuliko wale ndugu zangu masheihk ubwabwa...hapa ni hoja mambo ya dini peleni mnakoabudu..
 
Back
Top Bottom