Kwanini TEC wamejitokeza awamu ya sita?

Kwanini TEC wamejitokeza awamu ya sita?

Watchtower

Member
Joined
Sep 18, 2022
Posts
93
Reaction score
182
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
 
Wakuu salama? Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo? Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao? Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!
Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Unapo attack chombo cha kidini na kutokujadili hoja walizozitoa unafanya dhambi ile ile unayoikataa.......
 
Wakuu salama? Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Huko kugawana kwa kidini mnakusema ninyi mnaong'ang'ana na hiyo mikataba mibovu au kwa nia zenu za kuficha madhaifu yenu.

Kama awamu iliyopita haikufanya madudu kama haya ya kusaini mikataba inayoizuia nchi kupiga hatua ulitaka wajitokeze kusema nini?au wewe unajua lipi baya ambalo ilibidi walitolee kauli ila hawakufanya hivyo?
 
Wakuu salama? Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo? Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao? Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!
Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
TEC umeanza kuifahamu lini?
 
Wakuu salama? Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?...
Wamemtuma Dr Slaa...wakaona kakamatwa wamejitokeza wenyewe live.

Na wala hawataki kurekebisha vipengele...wako very clear hawataki waarabu waislam.

Hata akija mwekezaji Mzungu vipengele hivyo hivyo hutasikia wakisema chochote.

Si alikuwepo Ticts na Hong Kong miaka 22.

walisema chochote?
 
TEC wapo kwenye kivuli cha sauti ya wananchi lakini kiuhalisia wapo kwa maslahi yao.
Vyovyote ilivyo lakini ni muhimu kwa namna yoyote kupata watu wanaowaza tofauti na wanasiasa na kushikamana kutoa kauli moja.

Kama taifa hakuna anayekataa uwekezaji tatizo lipo jinsi hao wawekezaji wanavyopewa fursa pana kuliko nchi yetu
 
Jadilini hoja sio watoa hoja.

Yaani wewe hukubaliani na waraka wa hao TEC kwasababu tu awamu iliyopita hawakusema kitu na hapohapo huukubali huo mkataba, ila kwakua TEC hawakusema neno wakati wa mwenda zake basi unabadili gia unaunga mkono serikali.

Na vipi kama mmoja wa wanaccm nae akaupinga mkataba hadharani, nae utamhukumu kua mbona kipindi cha Magu alikua anasifia, nae Slaa unampinga kisa alikua pamoja na mwendazake.

Sasa taifa la visasi namna hiyo litaendeleaje, wakati wewe unasota na unaona madhaifu ya mwendazake kuna wengine walifurahi na walimuona ni shujaa wao.

Wengi wenu mnaihubiri demokrasia ambayo hamuiwezi kabisa. Mnataka mtu akiwa ccm awe ccm daima akiwa chadema awe chadema daima, akimpenda Samia asimkosoe, asipompenda asimsifie. Akienda tofauti ni adui, sio yeye tu hata mawazo yake hayatasikilizwa.
 
TEC wapo kwenye kivuli cha sauti ya wananchi lakini kiuhalisia wapo kwa maslahi yao.
Unaweza kuyaainisha maslahi yao bayana na Kwa mifano dhahiri isiyoleta shaka?
Lakini pia zile ibara walizoanisha umeziona na ukazielewa?
Ukishindwa kufanya hivyo utakua ni mbea kama wengine
 
Wakuu salama? Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo? Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao? Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!
Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Uchafu gani awamu iliyopita ulifanyika?

Tec waliwahi kutoa waraka wa pasaka kwa awamu iliyopita, hukuusoma?
 
Wamemtuma Dr Slaa...wakaona kakamatwa wamejitokeza wenyewe live .....

Na wala hawataki kurekebisha vipengele...wako very clear hawataki waarabu waislam...
Hata akija mwekezaji Mzungu vipengele hivyo hivyo hutasikia wakisema chochote...si alikuwepo Ticts na Hong Kong miaka 22...walisema chochote?
Haya ni mawazo mgando
 
Wamemtuma Dr Slaa...wakaona kakamatwa wamejitokeza wenyewe live .....

Na wala hawataki kurekebisha vipengele...wako very clear hawataki waarabu waislam...
Hata akija mwekezaji Mzungu vipengele hivyo hivyo hutasikia wakisema chochote...si alikuwepo Ticts na Hong Kong miaka 22...walisema chochote?
Wamejawa na udini hao watu, Hawataki uwezekaji kwa sababu ni Mwarabu tu
 
Wamemtuma Dr Slaa...wakaona kakamatwa wamejitokeza wenyewe live .....

Na wala hawataki kurekebisha vipengele...wako very clear hawataki waarabu waislam...
Hata akija mwekezaji Mzungu vipengele hivyo hivyo hutasikia wakisema chochote.
..si alikuwepo Ticts na Hong Kong miaka 22...walisema chochote?
Kwa Tanzania ya leo huo ni uwongo,wangepingana wenyewe kwa wenyewe.

Hizi hoja nilimo-bold mnazileta ninyi na ni sababu mpo ktk circle ya ulaji,wekeni hizo dini pembeni shikilieni taifa kwanza hao toka mwanzo walishauri huyo mwekezaji apewe lakini huo mkataba urekebishwe ila ninyi kuurekebisha hamtaki na jamii yote inasema haufai still mnaung'ang'ania.
 
Wakuu salama? Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo? Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao? Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!
Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Acha udini ngeke wewe. Awamu ya tano iliuza shirika gani la umma? Awamu ya 5 tulishudia mnyonge akithaminiwa na kuwa na sauti.
 
Warabu hawa kote ambako walikaa kwa wingi ndo kuna umasikini mkubwa sana!
Hilo halina ubishi lakini kitendo cha Tec ku come out kisa bandari anataka kupewa mwarabu basi hio tayari ni udini Mkubwa sana ambao hauna maana Nimeona kwenye waraka wao pia wameweka inshu za Loliondo ambako nako wamepewa waarabu, Mimi Binafsi siwapendi waarabau kwasababu nafahamu fika sio civilized na wana ubaguzi sana ila ili la TEC kuraise alarm ni limejaa Misingi y kibaguzi na kutaka kugawa taifa
 
Wamejawa na udini hao watu, Hawataki uwezekaji kwa sababu ni Mwarabu tu
Unakumbuka kauli zao na ushauri walioutoa kabla ya waraka wa jana?

Shida siyo mwekezaji mwarabu shida ni aina ya mkataba,ni mjinga tu ataamini hapo kuna harufu ya udini na kama ni kwa nia nzuri kweli kuna ugumu gani kuvibadilisha hivyo vipengele ili kama kushindwa washindwe au wakubali ili kuilinda hadhi yetu?

Kweli karne hii ni ya kusaini mkataba usiokuwa na ukomo?kwamba kama nchi siku mwekezaji akitaka eneo la ikulu pale aweke kibanda achome nyama ya ngamia ale na tende asizuiwe tukizuia anafungua kesi tunalipishwa mabilion,hivi kweli Watanzania 60mill tukubali hata hili kweli???
 
Back
Top Bottom