Watchtower
Member
- Sep 18, 2022
- 93
- 182
Wakuu salama?
Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?
Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?
Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!
Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?
Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?
Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!
Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini