Kwanini TEC wamejitokeza awamu ya sita?

Kwanini TEC wamejitokeza awamu ya sita?

Unakumbuka kauli zao na ushauri walioutoa kabla ya waraka wa jana?

Shida siyo mwekezaji mwarabu shida ni aina ya mkataba,ni mjinga tu ataamini hapo kuna harufu ya udini.
Wame Condemn pia inshu ya Loliondo
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Upumbavu wako usijumuishe watu wengine kaa na Mazuzu wenzio mshangike ndoa na Mwarabu.
Wakati wa Magufuli TEC ilitoa nyaraka 2, Waraka wa demokrasia na Waraka wa covid19. Unaposema hawakutoa Waraka Kwa vile Magufuli alikuwa wa kwao unamdanganya Nani? Tuonyeshe Waraka wa BAKWATA kipindi hicho?
 
Wame Condemn pia inshu ya Loliondo
Ili kujenga hoja ieleweke na jamii hasa wasiokuwa na elimu ya yaliyopita lazima kukumbushia makosa yaliyopita,siyo Watanzania wote tunajua mambo ya Loliondo.

Siioni bado shida ktk hilo.
 
Mtoa post inaonekana huna kumbukumbu
TEC walikuwa wakosoaji wakubwa WA utawala WA kimababu WA magufuli
Waliwahi kutoa waraka WA pasaka uliokemea maovu yaliyofanywa na serikali ya jpm
Pia maaskofu kama Severini niwemugizi walishulikiwa enzi za awamu ya Tano
Padre Raymond Saba aliyekuwa katibu TeC nae alionja joto la jiwe kwa kudaiwa vyeti vya babu yake vya uraia kama ilivyokuwa kwa askofu Severini niwemugizi
 
Wamemtuma Dr Slaa...wakaona kakamatwa wamejitokeza wenyewe live.

Na wala hawataki kurekebisha vipengele...wako very clear hawataki waarabu waislam.

Hata akija mwekezaji Mzungu vipengele hivyo hivyo hutasikia wakisema chochote.

Si alikuwepo Ticts na Hong Kong miaka 22.

walisema chochote?
Hongkong ni wakristu?
 
Unakumbuka kauli zao na ushauri walioutoa kabla ya waraka wa jana?

Shida siyo mwekezaji mwarabu shida ni aina ya mkataba,ni mjinga tu ataamini hapo kuna harufu ya udini na kama ni kwa nia nzuri kweli kuna ugumu gani kuvibadilisha hivyo vipengele ili kama kushindwa washindwe au wakubali ili kuilinda hadhi yetu?

Kweli karne hii ni ya kusaini mkataba usiokuwa na ukomo?kwamba kama nchi siku mwekezaji akitaka eneo la ikulu pale aweke kibanda achome nyama ya ngamia ale na tende asizuiwe tukizuia anafungua kesi tunalipishwa mabilion,hivi kweli Watanzania 60mill tukubali hata hili kweli???
Islamophobia
 
Huko kugawana kwa kidini mnakusema ninyi mnaong'ang'ana na hiyo mikataba mibovu au kwa nia zenu za kuficha madhaifu yenu.

Kama awamu iliyopita haikufanya madudu kama haya ya kusaini mikataba inayoizuia nchi kupiga hatua ulitaka wajitokeze kusema nini?au wewe unajua lipi baya ambalo ilibidi walitolee kauli ila hawakufanya hivyo?

Ushahidi wa nchi kutokupiga hatua unao au umekaririshwa
 
Islamophobia
Huu ujinga tumeusikia muda mrefu sana wala hamna jipya humo,ninyi hamna kitu cha kuogopa kwani mna nini cha special sana hata muogopwe?labda huko kwenda shule but still kushindwa kung'amua kipi cha dini kipi cha taifa/jamii kwa ujumla au tuite "KUTUNZA UJINGA VICHWANI"

Shida yenu waislam linapokuja suala la kusimama pamoja kwa ajili ya kutetea jambo la kipumbavu lenye shaka hata wale kidogo mnaoonekana mmesoma huwa akili mnazitupa mnaungana na wajinga wasiokuwa na elimu kupiga jaramba,mngejitokeza basi kumshauri huyo mama mwenzenu kiimani huo mkataba auboreshe ili taifa liwe salama maana wenye akili wanachokikataa wao ni nchi yetu kurudishwa kwenye umanamba kupitia urithi wetu wenyewe tuliopewa na Mungu.
 
Warabu hawa kote ambako walikaa kwa wingi ndo kuna umasikini mkubwa sana!
halafu bado wana mentality ile ile ya kudharau waafrika japo maliasili zao wanazitaka hata kwa mikataba ya kizuzu. Wale hata kwa akili za kawaida tu za ugali dona na dagaa hawakubaliki kwa tabia zao za kuwafanya wenyeji kuwa watumwa wao
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Hao Tec ndiyo waliotoka hadharani peke yao upande wa dini, haujaona Mashehe wakipovuka kuunga mkono?

Awamu iliyopita kulikuwa na kashifa za ugawaji ovyo wa rasilimali za Nchi?

Acheni kufungwa akili zenu na madhehebu ya kidini.

Mtu yeyote anayelitetea Taifa anatimiza wajibu wake kikatiba bila kujali anatokea dini gani.

Halafu thread kama hizi ambazo zipo biazed na dini zinazidi tu kuligawa Taifa badala ya kuliponya.

Mode futa haraka sana takataka hii.
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
mpk hapo huelew nini maana ya bandari , unaeza niambia dudu lililogusa sehem nyeti kama bandari ? kama ipo niite mbwa , ccmu wengi akili ndogo hawajui kuwa kila kitu kweny maisha yao kinauhusiano na bandari , hlf unaenda kabidh mtu hatima ya uchumi wa nchi kwa muda usiojulikana tena bila kuwapa conditions bali wao wanatupa conditions sisi
 
Kwa sababu serekali inayo ongozwa na wafaha kobazi Ni dhaifu
 
Wamemtuma Dr Slaa...wakaona kakamatwa wamejitokeza wenyewe live.

Na wala hawataki kurekebisha vipengele...wako very clear hawataki waarabu waislam.

Hata akija mwekezaji Mzungu vipengele hivyo hivyo hutasikia wakisema chochote.

Si alikuwepo Ticts na Hong Kong miaka 22.

walisema chochote?
TICTS na Hong Kong umeandika mwenyewe ni miaka 22.
Hao "miungu" yenu mbona haionekani popote muda wao wa kuiendesha bandari!!??
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Mwendakuzimu alisema corona imeisha kwaajili ya maombi na ikawa marufuku watu kujadili kuhusu uwepo wa corona, lakini TEC walitoa mwongozo wa watu kujikinga na wakakataza kushikana mikono wakati wa kutakiana amani ya Kristu, hao hao TEC, kipindi Cha Msoga boy walisambaza Rasimu ya katiba ya Jaji warioba makanisani Kila muumini akapewa, hivyo TEC siyo chombo Cha kuimbishwa mapambio
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Yaaani sio wewe tu unayeshangaa ni DUNIA NZIMA ipo inaishangaa hii TEC yenye maslahi binafsi
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Yaani wewe huna tofauti na hao walioandaa mkataba wa DP world .
Na fikra Kama zako ñdio zimelifikisha hili Taifa hapa
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Kwasababu awamu ya 5, hili lidude la DP lilikataliwa kwa sbbu viongozi walikuwa wanauwezo wa kuchakata faida na hasara za hilo dude na pia walikuwa wazalendo, hivi sasa mafisadi yanalindwa kwa nguvu za Dola,hata takikukuru imekuwa kibogoyo.
 
Wakuu salama?

Aisee mimi sikubaliani na baadhi ya Vifungu vya mkataba wa DP world lakini nawaza sana Kwanini leo ajitokeze leo?

Hakuona uchafu mkubwa awamu iliyopita au kwa Vile Namba moja alikuwa upande wao?

Hili baraza binafsi nimeona lipo kwa ajili ya kusave interest zao Binafsi tu!

Therefore Tunaimani kubwa sana Na Mkuu wa Nchi wa sasa, Tanzania is a secular state, Hatukubali kugawana kwa misingi yoyote ya Kidini
Mtatafuta sana vichaka. Ila mlichemka sana.
 
Back
Top Bottom