Huwapendi Waarabu
,TEC wanata kugawa Taifa?! Umesoma na kuelewa ule Waraka?!Hilo halina ubishi lakini kitendo cha Tec ku come out kisa bandari anataka kupewa mwarabu basi hio tayari ni udini Mkubwa sana ambao hauna maana Nimeona kwenye waraka wao pia wameweka inshu za Loliondo ambako nako wamepewa waarabu, Mimi Binafsi siwapendi waarabau kwasababu nafahamu fika sio civilized na wana ubaguzi sana ila ili la TEC kuraise alarm ni limejaa Misingi y kibaguzi na kutaka kugawa taifa