Kwanini Tanzania inashindwa kuzalisha tena wachezaji ambao ni "University Graduates" kama akina Engineer Leodgar Tenga? Tunakwama wapi kama taifa?

Mkuu nakushauri tu uungane na Magufuli lasivyo October mtapokea kipigo cha mbwa mwizi.
 
Mkuu, kwani hao wanafunzi wanaoenda huko UMITASHUMTA na UMISETA si ndio hao hao ambao wapo huku mtaani wanacheza ndondo cup na kuonwa na TFF?

Tatizo ni serikali au ni wanafunzi wenyewe?
Wanaompinga Rais Magufuli ni mafisadi, majizi,wauza madawa ya kulevya na wapiga dili.
 
Soka linamfumo wake hasa baada ya kuonekana ni ajira rasmi. Kwaasili soka ni mchezo unaomuajiri mtu Toka akiwa mdogo na kujikuta akivipa kisogo vitu Kama elimu. Hata ulaya wachezaji graduates wa soka niwachache Sana. Ndio Mana kwenye basketball hususani marekani wachezaji wa NBA wanalazimishwa lazima wawe graduates na mifumo ipo kuanzia vyuoni.
 
Soka linamfumo wake hasa baada ya kuonekana ni ajira rasmi. Kwaasili soka ni mchezo unaomuajiri mtu Toka akiwa mdogo na kujikuta akivipa kisogo vitu Kama elimu. Hata ulaya wachezaji graduates wa soka niwachache Sana.
Ninakubaliana na wewe mkuu...
 
USA kuna scholarships za basketball kama sijakosea.

CC: Kiranga ninaomba ufafanuzi wako katika hili mkuu
 
Engineer Leodgar Chila Tenga alikuwa anaitwa timu ya taifa akiwa mwanafunzi pale UDSM
Nasikia alikwenda ziarani Brazili kama sehemu ya kikosi cha yanga miaka ile ya sabini akiwa na lecture notes na vitabu lukuki kujiandaa na University Exam. Alivyourdi tu, akakumbana na msema kweli pale mlimani na bado akapasua!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…