Kwanini Tanzania hatuna furaha? Nini kifanyike?

Kwanini Tanzania hatuna furaha? Nini kifanyike?

hawa sidhani hata kama wanakumbuka dunia ni yetu yote
Ni msiba kwa kweli… yaani ni MAJINGA na YANASIKITISHA KWELIKWELI! Sijui tutakuwa na jamii ya aina gani miaka “50” mbeleni hapa nchini.

Yanaonaga Kila kitu hakiwezekani na ni story tu au Hadithi. Natamani ningekuwa na uwezo hata kuonana na mheshimiwa nimwambie kuwe na session pia hata za kukutanisha vijana wa afrika magharibi na hawa wa hapa nchini wabadilishane mawazo wao na wenzao walivyochangamka
 
Ikiwa ni ongezeko la alama kutoka 3.62/10 ya mwaka 2023 hadi 3.78/10 ya 2024.
 
Kiwastani Tanzania ina alama za furaha 3.53 kwa mwaka 2013-2024!
 
Ni msiba kwa kweli… yaani ni MAJINGA na YANASIKITISHA KWELIKWELI! Sijui tutakuwa na jamii ya aina gani miaka “50” mbeleni hapa nchini.

Yanaonaga Kila kitu hakiwezekani na ni story tu au Hadithi. Natamani ningekuwa na uwezo hata kuonana na mheshimiwa nimwambie kuwe na session pia hata za kukutanisha vijana wa afrika magharibi na hawa wa hapa nchini wabadilishane mawazo wao na wenzao walivyochangamka
Kwa wabongo tulivyo hata tukiwa na session ya kukutana na hao wa ughaibuni bado tuna bongolala akili mgando, yaani ni kama tumelaaniwa !
 
Unaishi kwa mikopo unategemea uishi kwa furaha?
Unaishi kutegemea kubet unategemea uwe na furaha?
Tozo na kodi zisizoeleweka.
Taifa limejaa waongo na matapeli unategemea upate furaha?
Mambo ni mengi.
 
Unaishi kwa mikopo unategemea uishi kwa furaha?
Unaishi kutegemea kubet unategemea uwe na furaha?
Tozo na kodi zisizoeleweka.
Taifa limejaa waongo na matapeli unategemea upate furaha?
Mambo ni mengi.
ni kweli kabisa kiongozi, nini kifanyike?
 
Tanzania siku ukiwa na furaha mara paah!! TRA wako lango kwako. Tabu tupu😄
 
Ni msiba kwa kweli… yaani ni MAJINGA na YANASIKITISHA KWELIKWELI! Sijui tutakuwa na jamii ya aina gani miaka “50” mbeleni hapa nchini.

Yanaonaga Kila kitu hakiwezekani na ni story tu au Hadithi. Natamani ningekuwa na uwezo hata kuonana na mheshimiwa nimwambie kuwe na session pia hata za kukutanisha vijana wa afrika magharibi na hawa wa hapa nchini wabadilishane mawazo wao na wenzao walivyochangamka
watahudhuria wachache sana au utakuta hukohuko wameunda group lao peke yao ni waoga sana kujichanganya ndio maana wengi hawapendi kusafiri..it sad kwa kweli
 
Natumaini ni kwema wakuu.

Kwa mujibu wa ripoti mpya ya orodha ya nchi zenye furaha duniani, Tanzania(136) tumepitwa mpaka na Somalia(122).

Imenisikitisha sana hii habari ni kana kwamba naishi nchi ya majonzi,huzuni, na masononeko!

Source: BBC News Swahili
Kwanini watanzania hawana furaha? Fahamu vigezo vya jinsi wanavyopima furaha ya nchi - BBC News Swahili
Tuanzie wapi tumalizie wapi?!
Huduma tu basic zapatikana kwa mbinde!
Vijana kuwa chawa kwa ukosefu wa ajira na fursa!
Huduma za afya, elimu, ustawi wa jamii ni kama kuwafikia 50% ya raia!
Ukosefu wa siasa safi na uongozi Bora.
Kusababisha tuwe kama banana republic!
Na kuleta wizi na ufisadi!
WADANGANYIKA TUNAISHI MOTONI!
 
Back
Top Bottom