Kwanini tairi za gari ni nyeusi?

Kwanini tairi za gari ni nyeusi?

Kunakuwa na unga wa kaboni (carbon powder) ambao huengezwa katika mpira (rubber) utumikao kutengeneza matairi. Unga wa kaboni ni mweusi, kwa kawaida. Wakati matairi yatengenezwapo kwa kutumia mpira uliowekwa unga wa kaboni, huimarisha nyuzi zake na yanakwa imara sana na si rahisi kupasuka. Matairi ya rangi nyeupe yaliwahi kutumika sana kipindi cha nyuma, hadi miaka ya 1930 hivi ila kutokana na kuwa hayakuwa na unga wa kaboni yalipasuka haraka sana na kuleta usumbufu kwa watumiaji.

Vilevile, watu wengi walipenda kutumia matairi ya rangi nyingne kwa ajili tu ya urembo au mapambo. Ila kutokana na uchafu wa barabarani, rangi hizo huishia bado kuwa nyeusi na hili likafanya pia swala la rangi kwa ajili ya mapambo lisiwe la msingi sana. Aidha, matairi mengi uyaonayo yakiwa katika rangi tofautitofauti leo (kama mmoja alivyoweka picha hapo juu), si rangi zao mpaka ndani ila yamepakwa hizo rangi tu kwa juu. Matairi hayo yakikwanguliwa rangi, bado yanabaki kuwa meusi. Nadhani hili jibu litakupatia ufumbuzi kidogo
 
Hili ndilo jibu sahihi kwamba kitu cheusi kinapoteza joto kiurahisi zaidi. i.e. the black body is a good radiator of heat generated by friction between a tyre and road.

Not only a good radiator,but black body is a good absorber and radiator of heat generated

Mnaweza manufacture tyres za rangi tofauti na nyeusi ila zita-bust kila siku kwa sababu zitakuwa zina absorb heat heat generated from the friction of tyre and the Road ila haiwez kuradiate the heat generated,overheating will result the busting of a tyre
 
Hili ndilo jibu sahihi kwamba kitu cheusi kinapoteza joto kiurahisi zaidi. i.e. the black body is a good radiator of heat generated by friction between a tyre and road.

Kaka omba msamaha kwa kuudanganya uma...black colour is a good absorber of heat kama huamini vaa shati jeusi then kaa kwenye jua...ingekua rangi nyeusi ni good radiator basi mashuleni tungevaa rangi nyeusi maana ikiradiate joto na mwanga pia utakua radiated and vise versa is true....kuweka kumbukumbu sawa black colour good absorber and silver colour good radiator... Na mfano mashuleni tunavaa rangi nyeupe za mashati because it is good radiator of both heat and light kwa hyo ndio maana pamoja na joto lote la nchi darasani huwa tunakaa tu bila joto wala giza...hayo ya matairi bado sielewi...
I stand to be corrected...
 
Kaka omba msamaha kwa kuudanganya uma...black colour is a good absorber of heat kama huamini vaa shati jeusi then kaa kwenye jua...ingekua rangi nyeusi ni good radiator basi mashuleni tungevaa rangi nyeusi maana ikiradiate joto na mwanga pia utakua radiated and vise versa is true....kuweka kumbukumbu sawa black colour good absorber and silver colour good radiator... Na mfano mashuleni tunavaa rangi nyeupe za mashati because it is good radiator of both heat and light kwa hyo ndio maana pamoja na joto lote la nchi darasani huwa tunakaa tu bila joto wala giza...hayo ya matairi bado sielewi...
I stand to be corrected...
Hajadanganya uma huyo, yuko sawa kabisa labda uniambie hakumalizia, black color ni good radiator n absorber of heat, usichanganye concept na heat na light japo light inaweza ikagenerate heat maana ni energy tu inakua converted.. Matairi meusi hupata joto ndio, lakini pia gari ikisimama yanaweza kupoteza joto haraka sana, fanya hiyo test uone, ila rangi nyingine itaabsorb joto lakini italipoteza polepole sana... hivi hata shuleni hamjafanya experiment moja ya physics unaweka maji unayapooza afu unarekodi muda then unapaka rangi nyeusi chombo ulichotumia afu unajaribu tena, siku zote cheusi hua kinapoteza haraka joto.... Ungeongelea light ndio ungesema nyeusi haireflect inameza tu rangi zote na kurudisha none.... na ni hivohivo kwa barabara, japo ni tarmack sawa hua ni nyeusi lakini barabara mchana zitaabsorb heat kutokana na jua na magari vilevile lakini usiku zinalose joto haraka sana, kuna watu wasio na magari mazuri hua wanapenda kusafiri safari ndefu asubuhi sana kwa sababu unakuta barabara bado ni baridi so haitodamage tairi
 
Nadhani hii imetokea sababu rangi nyeusi huifadhi joto kirahis na kulitoa kirahis
 
Not only a good radiator,but black body is a good absorber and radiator of heat generated

Mnaweza manufacture tyres za rangi tofauti na nyeusi ila zita-bust kila siku kwa sababu zitakuwa zina absorb heat heat generated from the friction of tyre and the Road ila haiwez kuradiate the heat generated,overheating will result the busting of a tyre
Adding carbon black also helps conduct heat away from certain hot spots on the tire. Je kwenye issue ya tire tunahitaji good absorber? Tuta absorb heat kiasi gani? suppose summer time huko death valley, CA temperature inafika 49C na Winter time North Dakota -51C. Je tunahitaji special tire kwa hizi sehemu?
 
Ili jibu ndio litakalojibu kwann ma-sim tank ni meusi?
 
Kutokana na msuguano wa lami tairi ikiwa nyeusi itakua ngumu sana kupoteza joto, hivyo kupelekea kupasuka kwa haraka.

Wakati tairi nyeusi inapopata joto kutokana na msuguano ndo rahisi kwalo kulitoa nje hivyo hakuna heat rise katika tairi

Mkuu sujakuelewa nijuanyo rangi nyeusi inaabsove heat huoni kama inatunza joto ni rais kupasuka baada ya msuguano?
 
Ukitaka kujua zaidi kuhusu ubora wa tire fuatilia hii kitu inaitwa "cabon black" Haina uhusiano hata kidogo na rangi ingawa inaitwa hivyo. Hizi ni compound zinazochanganywa na rubber (mpira) na kufanya tire kuwa imara. Na ndo hizi compound zinazo transfer heat (ndo maana tire zina bridges kwa ajiri ya kupotezea joto).
 
Mkuu sujakuelewa nijuanyo rangi nyeusi inaabsove heat huoni kama inatunza joto ni rais kupasuka baada ya msuguano?
Nakubariana na wewe tyre hai absorb heat bali ina dissipate.
 
ni kutokana na materials zinazotumika kutengenezea tair kuwa nyeusi otherwise kapaint matairi ya gari lako rangi nyeupe alafu kapite kwenye matope uone car washers wataku charge sh. Ngapi
 
Mi naomba itengenezewe COLORLESS TYRE kw ajili ya bito yangu.
 
Kutokana na msuguano wa lami tairi ikiwa nyeupe itakua ngumu sana kupoteza joto, hivyo kupelekea kupasuka kwa haraka.

Wakati tairi nyeusi inapopata joto kutokana na msuguano ndo rahisi kwalo kulitoa nje hivyo hakuna heat rise katika tairi
You got it backwards. Rangi nyeusi ndio ambayo ni ngumu kupoteza joto. Inakusanya joto kirahisi na haitoi kwa urahisi.
 
Back
Top Bottom