msemakweli2
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 1,627
- 1,886
hahahahahah mkuu ingekuwa mashindano huko road!
Somo la huo weusi wa tairi ni kwamba katika kutengeneza tairi lazima tairi iwe ngumu. Ugumu na uimara wa tairi unapatikana katika process iitwayo vulcanising. Process hii sanasana ni tairi kuunguzwa na kufanywa kuwa nyeusi.Wanajamvi hivi hakuna uwezekano wa viwanda kuunda tairi za rangi tofautitofauti? Au kuna somo hapa?plz!
You got it backwards. Rangi nyeusi ndio ambayo ni ngumu kupoteza joto. Inakusanya joto kirahisi na haitoi kwa urahisi.
Leembaswagger, unakosea.A black body is a good absorber and a good ratiator of heat
kwahiyo waafrika #TUNAKANYAGWAAAAAA na gari
Leembaswagger, unakosea.
Ku-absorb ni kinyume cha ku-radiate, (kunyonya na kutoa).
Kitu hakiwezi kuwa kina sifa nzuri ya kunyonya na hapo hapo kina sifa ya kutoa, kwa sababu unachotoa (radiate) maana yake hujakinyonya (absorb).
Link yako mwenyewe inasema hiviNipo sahihi mkuu Anheuser,moja ya sifa za black body yoyote ni hiyo,huwa ina absorb 100% ya heat na ni good radiator pia.
Soma zaidi hapa Blackbody Radiation
Kwani barabara zote ni nyeusi?! Fanya ka-research kidogo tu.Ilitakiwa pia ufikirie barabara kwa nn sio za rangi nyingine km nyeupe!
Wanajamvi hivi hakuna uwezekano wa viwanda kuunda tairi za rangi tofautitofauti? Au kuna somo hapa?plz!
Kaka omba msamaha kwa kuudanganya uma...black colour is a good absorber of heat kama huamini vaa shati jeusi then kaa kwenye jua...ingekua rangi nyeusi ni good radiator basi mashuleni tungevaa rangi nyeusi maana ikiradiate joto na mwanga pia utakua radiated and vise versa is true....kuweka kumbukumbu sawa black colour good absorber and silver colour good radiator... Na mfano mashuleni tunavaa rangi nyeupe za mashati because it is good radiator of both heat and light kwa hyo ndio maana pamoja na joto lote la nchi darasani huwa tunakaa tu bila joto wala giza...hayo ya matairi bado sielewi...
I stand to be corrected...
Mbona hujauliza kwanini Mav*zi ni meusi