Kwanini sisi waafrika pekee tuna rangi nyeusi tii, tofauti kabisa na binadamu wa mabara mengine?

mimi sijaamini kwamba ni mbaya ila weupe (wazungu) ndo wanaiona ni mbaya ndo maana wanatubagua na kutuita nyani, na wakaenda mbali zaidi na kusema sisi na uzao wa shetani.
Acha kujifarini bhana nywele zenyewe kipili pili halafu unasema wazungu ndio wana dharau?
 
naomba uanze kwa kusoma historia ya mwanadamu wa sasa homo sapiens utaelewa sis tumetokawapi mpaka kufika hapa. Hakuna mwanadamu hapo ulimwengu ambaye asili yake sio afrika.

Mutation na evolution haitokei kwa vizazi vinne au vitano kwa viumbe kama binadamu wazungu walitoka afrika miaka 12000 iliyopita , so mazingira yalipekea kutokea mutation ya gene inayocontrol melanin ikawa inapungua nguvu na chance ya kusurvive kwa watu waliokuwa weupe ikawa kubwa kwasababu sehemu walizokuwa wazungu hakuna jua so weupe waliweza kutengeneza vitamin D nyingi zaidi ya watu weusi waliokuwa huku ulaya . Ndio maana mpaka leo watoto wote ulaya wanapewa dawa ya vitamin D na waafrika wa ulaya wanashauriwa watumie vitamin D sana maana ngozi yao inapunguza uwezo wa kufonza nguvu za kujua kutengeneza vitamin d

kusema iamini sayansi na uokoe namaanisha kuwa sayansi ndio itakuokoa usipate magonjwa uondokane na ujinga na kukuepusha na utapeli mwingi wa huu ulimwengu

Napenda kuwaalika Kiranga Scars kuongezea information pale ambapo hapajatosha.
Uongo huu
 
Mimi wa kwanza!
Ngoja nijaliwa kwa uelewa wangu.
Mbongo {African}siyo mweusi tu bali yeyote anaweza kuwa muafika.
Kuhusu rangi nyeusi isikupe shida ni Nature yenyewe ikumbukwe hili bara linapata jua kamili hivyo kuwa weusi nikwasababu ya ngozi iweze kuhimili miale mibaya ya jua {mawazo yangu}
Halafu bara letu ni zuri kuliko huko unakokusifia sisi hatuna mavimbunga sijui yakutisha, masunami,matetemeko,mavolcano hata kama yapo lakini siyo kama wao.
Pia kuhusu kutawaliwa na weupe ni sawa hii inaitwa kutesa kwa zamu hata sisi tulishawahi kuwatawala ila sema ilifichwa na hao hao kuogopa aibu,
Kuna mtu alikuwa anaitwa Malkia wa Sheba,kuna hawa jamaa Mafarau wa misri,inasemekana walikuwa weusi kabisa na hii ijulikana kupitia ugunduzi wa ile miili kufukuliwa kwenye makabuli huko Cairo na kukuta jamaa ni weusi tii.
Ngoja waje wataalam wakupe mkuu.
Mwili uliozikwa miaka mingi unawezaje kuugundua km ulikiwa wa mtu mweusi hali ya kuwa umebaki mifupa tupu?
 
vipi kabla ya kuletewa din maendeleo yetu yalikuaje kulinganisha na hao wenye dini zao ?
 
Na inakuwaje hata kuandika ilikuwa shida ? Kusoma nako ? Tuache kujifariji kuna sehemu tumekosea
Wasomi nao wa Leo ndio hawa akina kabudi sijui tutafika lini tukawa na chetu?
 
UKWELI MCHUNGU

Ukwel uko wazi ni kuwa ukitaka kuelezea asili ya mtu/mwanadamu kuna theory za kisayansi na kiiimani znazojarbu kueleza asili hiyo pamoja na mgawanyiko wa races dunian.

hao viumbe wa rangi zngne yaan wanadamu weupe hawatak ukwel ujulkane ni kuhusu asili ORIGINAL ya maisha ya dunia.

Duni hii ina historia ndefu sana ambayo imeanza tangu zamani sana, kwahiyo hata maisha yalianza zamani sana kabla hata ya hizo dini na theory za uongo hazijaanza.

Mwanzo kabisa kiumbe wa kwanza alikuwa ni Mtu na mtu mwenyewe alikuwa mweus na aliishi ktk bara moja(kabla ya mgawanyiko wa mabara)

Mabara hayo yoote yalkuwa yameungana na afrika, mtu huyo kiumbe aliumbwa kuendana na nature ya mazingira kwa ngozi na DNA yamtu mweusi ili aweze kuishi bila mateso kwa kuvumilia shida za joto,na maradhi mbalimbali.

Baada ya ongezeko la watu dunian, kuliibuka jamii ya Alien tokea mbinguni(fallen Angeles) hawa ndio walishuka na kubadiri maumbo yao kwa tamaa zao ili waonekane kama watu, na baadae walifanikiwa kuanza kuzaa na wanawake weusi ambapo baadae ikachipuka races ya viumbe wa kisasa ama machotara ambao walkuwa na Nusu DNA za mtu mweus na hao alien(malaika).

Mionekano yao na rangi zao zilibeba asili ya laana ya hao wageni tokea anga za juu, ambapo ndyo hao waitwao nephilims ama metis ambao nao walianza kuzaana wao kwa wao na kuleta jamii hiz tuzionazo leo.

Ukwel huu hawapend ujulkane, kumbuka kipind icho dunia ilikuwa sehem yenye ardhi ya bara moja.

Sasa hao wanefil ama unaweza waita wanadamu, lkn sio watu, mtu ni yule mwenye DNA original na mweusi tuu, sasa hao wanadamu kwakuwa Hawakuwa na utu, walianzisha maovu mengi sana, ikiwepo ushoga,usagaji, kuabudu mashetan na vurugu za kila aina, ambapo baadae ndpo kultokea tetemeko lililopelekea mgawanyiko wa mabara,

Na hao watu weupe walikuwa na nia ya kutokomeza kizaz cha mtu mweusi tangu zamani kupitia vita na utumwa, ambapo baadae baada ya falme za wanadamu(watu weupe) kukuwa, walkuwa wakiivami afrika ili kuitetekeza na kuiba mali za afrika.

Hawakuweza kufaulu kwa muda mfupi, mpka pale falme kubwa za afrika kama misri ya watu weusi, ethiopia/kushi, Babilon ama east afrika na wazulu na wa sudan walipokosa nguvu kwa kushindwa kuhimili vita namapigano yaliyodumu kwa miaka mingi na kupelekea afrika kutawalika.

Mnachotakiwa kujuwa ni kuwa afrika ilianza kuvamiwa hata kabla ya hizo historia zenu znavyowadanganya kuwa wakolon walkuja ktk karne ya 14 huo ni uongo.

Maana ktk karne ya14 tyr afrika ilkuwa imeshabomolea miji yake yoote ambayo ilikuwa mikubwa kulko jiji lolote ulijualo ktk kipind cha leo, technologies zilizokuwepo zlkuwa zmeshachakachuliwa sana mpka kufikia karne ya 14, hapa ndiomaana hata historia zenu za uongo znasema wakolon waliikuta afrika ikiwa na watu wakaa uchi na wanaoshinda maporini wasiojua lolote, hiyo ni kwel sababu jamii nyingi zlitawanyila na kukimbia vita il kujikinga na kifo, hiyo ikapelekea hata maendeleo ya kuijenga afria kufa.

Afrika imefanikiwa kutawalika baada ya falme zote kuharibiwa sana na kila kitu kubadilishwa na hapo ndipo ushetan ukaingia ambao ndyo hizo elimu,dini na utandawazi unao waharibu waafrika kila siku.

Ukoloni,vita,njaa na magonjwa hayawez kuisha mpka pale kizazi cha mtu mweupe kipotee chote ama watu weusi dunia nzima watakapoungana na kuifanya afrika kuwa moja na ndipo Ule mwisho utakapo kuja.

Mwisho wa dunia ni kwel upo na hauwezi kuja mpka mwafrika atakapofanikiwa kuijua asili yake na kuurudisha ukuu wake, apo ndipo hata MUUMBA wa kwel ataruhusu mapigo yawashukie hawa wanefili na watesi wetu ambao hushirikiana na baazi ya weusi wenzetu kutuhujumu.

Tafuteni sana elimu, dunia si salama, mtu mweupe si ndugu yako.View attachment 2057050
Inafikirisha, baadae nitakaa nisome kwa utulivu
 
mkuu kuna kitu hapa ndo naanza kukiskia kwako kwa mara ya kwanza kwamba "hata sisi tumewahi kuwatawala ila ilifichwa kwa kuogopa aibu" je ni kweli ulisemalo ? waweza nambia labda ni kipindi gani ama karne gani tuliwahi kuwatawala wazungu ?
Kipindi Cha Musa na farao Wana wa Israel walitawaliwa na misri
 
Mimi wa kwanza!
Ngoja nijaliwa kwa uelewa wangu.
Mbongo {African}siyo mweusi tu bali yeyote anaweza kuwa muafika.
Kuhusu rangi nyeusi isikupe shida ni Nature yenyewe ikumbukwe hili bara linapata jua kamili hivyo kuwa weusi nikwasababu ya ngozi iweze kuhimili miale mibaya ya jua {mawazo yangu}
Halafu bara letu ni zuri kuliko huko unakokusifia sisi hatuna mavimbunga sijui yakutisha, masunami,matetemeko,mavolcano hata kama yapo lakini siyo kama wao.
Pia kuhusu kutawaliwa na weupe ni sawa hii inaitwa kutesa kwa zamu hata sisi tulishawahi kuwatawala ila sema ilifichwa na hao hao kuogopa aibu,
Kuna mtu alikuwa anaitwa Malkia wa Sheba,kuna hawa jamaa Mafarau wa misri,inasemekana walikuwa weusi kabisa na hii ijulikana kupitia ugunduzi wa ile miili kufukuliwa kwenye makabuli huko Cairo na kukuta jamaa ni weusi tii.
Ngoja waje wataalam wakupe mkuu.
Hata huyo yesu mwenyewe ni mweusi,Hata Ayubu,Mfalme suleiman tena anasisitiza kwamba "mimi ni mweusi mweusi lakini ni mzuri enyi mabinti wa misri,!Hata Israel ni jamii ya watu weusi KWA weupe!

Hivyo tu!
 
nianze kwa kusema sayansi na kuokoka havina uhusiano bali vina ukinzani, lakini la msingi ninalotaka kumwambia kwamba "suala la sisi kuwa weusi kunasababishwa na mazingira" hili nakataa kwa asilimia mia.

hivi kwa mfano ww na mke wako kama ni waafrica mkaenda kuishi nchi ya ICELAND penye baridi kali kabisa, unataka kunambia kuna siku nyie mtazaa mzungu kisa hakuna jua ? Walah nakwambia hata kizazi chako cha mia moja toka wewe na mkeo bado hakitazaa mzungu hata mmoja, kwa hilo suala la mazingira mimi naona linafeli halina mashiko kabisa.

Mfano mwingine angalia nchi kama INDIA watu hufa na joto kali kila mwaka lakini mbona wanazidi kuzaliwa weupe, kuna nchi kibao ziko jangwani (hasa za kiarabu) na joto lipo la maana tu, mbona waarabu hawazaliwi weusi wanazidi kuzaliwa weupe ? Point yako ya mazingira haijitoshelezi kabisa, ni sawa na kuambia binadamu alitokana na sokwe wakati sokwe wa
أنت صحيح بالمرة
 
Wahindi wengi ni weusi, Australia kabla mzungu ilikuwa watu weusi, Papua new guinea weusi, Hawaii kabla mzungu weusi, Amerika ilikuwa weusi kabla colombus kufika, Spain & Portugal(Iberia) ilikuwa watu weusi wakati moors walitawala Uhispania, South Amerika vile vile haswa Equador, Honduras, Colombia na Caribbean.
Wale wahindi weusi ni tofauti kabisa na black Africans.

Nywele zao tofauti na waafrika.
Hata huko guinea papua nywele tofauti na zetu za kibantu.
 
Hata huyo yesu mwenyewe ni mweusi,Hata Ayubu,Mfalme suleiman tena anasisitiza kwamba "mimi ni mweusi mweusi lakini ni mzuri enyi mabinti wa misri,!Hata Israel ni jamii ya watu weusi KWA weupe!

Hivyo tu!
Uongo mtupu , weusi ni ngozi yenye taabu na iliyonyimwa akili, uliowataja hawawezi kuwa mfano wa ngozi hyo , fungu ulilolisema maana yake ipo Sawa Ila mantiki umepuyanga
 
Hiyo sio kweli
mkuu kuna kitu hapa ndo naanza kukiskia kwako kwa mara ya kwanza kwamba "hata sisi tumewahi kuwatawala ila ilifichwa kwa kuogopa aibu" je ni kweli ulisemalo ? waweza nambia labda ni kipindi gani ama karne gani tuliwahi kuwatawala wazungu ?
 
Wahindi wekundu wa America sio weusi.
Wahindi wengi ni weusi, Australia kabla mzungu ilikuwa watu weusi, Papua new guinea weusi, Hawaii kabla mzungu weusi, Amerika ilikuwa weusi kabla colombus kufika, Spain & Portugal(Iberia) ilikuwa watu weusi wakati moors walitawala Uhispania, South Amerika vile vile haswa Equador, Honduras, Colombia na Caribbean.
 
Umeongea kwa uchungu sana,
Inasikitisha sana.
Hakuna kingine zaidi ya laana.Maana tuko nyuma kwa kila kitu,kuanzia uchafu hadi majungu.Nadhani ni Nature yenyewe ndiyo iliyotuchagua hivyo.Ndo maana ata hivyo vizazi vya binadamu weusi walioko uko kwenye mabara mengine yenye binadamu weupe ni matokeo ya waafrika kupelekwa uko na watu weupe kama nguvu kazi.kwahiyo walivyofika walizaana ila bado ustaarabu wao na tabia zao hazitofautiani sana na sisi tuliozaliwa huku afrika.kwahiyo utaona jinsi ambavyo kuna chembechembe flani za tofauti kwenye binadamu mweusi haijalishi kazaliwa wapi.Tatizo ninaloliona ni kwamba inawezekana tuna limit ya uwezo wetu wakufikiri na kutenda tofauti na binadamu wengine.inawezekana tumeumbwa mechenical zaidi tofauti na wengine ndo maana hatusumbui sana vichwa kufanya maboresho ya maisha yetu na gunduzi mbalimbali.Kwa hali hiyo lazima tuzarauliwe kwasababu hatuna jambo lolote kubwa la kujivunia dhidi ya race zingine.zaidi sana tunasubiri wao ndio wafikiri kwa niaba yetu kisha watuelekeze nini cha kufanya.Hapo bado sisi wenyewe kwa wenyewe hatupendani na tunadharauliana.Ata kuongozana tu kistaarabu hatuwezi.Kwahiyo iko shida ndani yetu japo wengi watakataa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nani alikudanga mzungu ndiye weakest kwa human race??
Kapigane naye vita uone atakavyokunyoosha.
Mzungu angekuwa weakest kuwa human race asingetawala karibu pembe zote za dunia.
Hamna kitu kama natural selection ama evolution hapo. Ingekuwa kweli, then mzungu/ ngozi nyeupe hangekuwa hai Kwa kuwa ndio the weakest Kwa human race.

Nitarudia tena, masomo tunafunzwa shuleni ni ya kupumbaza wanafunzi wasiwe na independent thinking na wasiulize maswali zaidi ya Yale wamefunzwa. Je, ni kweli Bantu tulitokea Kongo na kuenea kote?? Kumbuka masomo haya tumeletewa na mzungu...je, Mimi kama mgeni kwako naweza kuaminishia historia ya kwako na utokako?

Yakutsk, Norilsk na Murmansk ni mojawapo ya the most northern cities Kwa High Arctic, barafu January to December na hao wazungu Bado weupe hata baada ya kula chakula Cha Inuits.
 
Back
Top Bottom