mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 9,909
- 13,283
Duh umeua kakaKuvaa unajua lakini? Au still unavaa midosho ya suprana mnyonyo mweupe kama Diamond wa nenda kamwambie..




Duh umeua kakaKuvaa unajua lakini? Au still unavaa midosho ya suprana mnyonyo mweupe kama Diamond wa nenda kamwambie..




uko wapi mkuu nifate inboxHahahah ahsante mkuu!
Kumbe bado haujakua....dunia hii hadaa, walimwengu shujaa.Mkuu wanachezeaje nyota kwenye mademu wakati najuaga kwenye business ndio ipo
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Ukiwa na dem kupata mpenzi mpya ni simple sanaa kwasabab una kuwa huna chakupotezaKuhusu hili la sumakusina uhakika nalo labda wanajamvi wetupe uzoefu kama kweli sumaku hujitokezaa baadàa ya kupita kwa wawili watatu
![]()
Labda nikusadie kitu kimoja pengine ndio ikakusadia ndg yangu kuna kitu kinaitwa UTASHI, kwako wewe labda huna aidha ni mvivu, ukihitaji mpenzi inahitajika stahamala, subira, jitihada, vinginevo hutofanikiwa usidhani hao unaowaona wana wapenzi ukajidanganya wamewapata kiurahisi kama unavyofikira la hasha wengi wao wametumia nguvu ' muda' jitihada stahamala 'akili ' na pesa nyingi hatimae wakawamiliki .Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".
Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.
Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"
Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?
Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.
Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.
Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".
Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.
Au nijaribu Kenya na Rwanda?
Inaniuma sana!
Kama demu hakupendi hata utumie akili ya wap au utashi hatokubali kamwe. Labda awe malaya apende hela zako.Labda nikusadie kitu kimoja pengine ndio ikakusadia ndg yangu kuna kitu kinaitwa UTASHI, kwako wewe labda huna aidha ni mvivu, ukihitaji mpenzi inahitajika stahamala, subira, jitihada, vinginevo hutofanikiwa usidhani hao unaowaona wana wapenzi ukajidanganya wamewapata kiurahisi kama unavyofikira la hasha wengi wao wametumia nguvu ' muda' jitihada stahamala 'akili ' na pesa nyingi hatimae wakawamiliki .
Kama huna kile sahihi cha kumshauri, tafadhali acha!Nilitaka kumshauri hivi lakini nikaona ww umesema mimi nakupigia makofi
tatizo sio kupata! TATIZO NI KUPATA UNAE MTAKAA!
Mm binafsi huyu ,mara nying nashobokewa na mademu wabovu wabovu tu na kuwapata ni sawa na bure lakin kupata zile pisi ambazo zimekidhi viwango na itifaki ikiwa imezingatiwa kama tako, lips,highwing nyonyo, reflecting colour, poz muondoko na flexibility kwenye maeneo mbali mbali ya mwili kwa kwel ni Ngumu nahis shetani ana nitrick na wivu mpuuzi sana








hebu kuwa serious wewe, kua!ongeza sautii kidogoRoho ya kukataliwa
last week nilipita kolomije🤣 aise kolomije is real!!!! , ka kijiji fulani kamejaa wasukumaHahahah swaga chakavu za kikolomije 😂😂😂!
"Mi nataka nikuwowe"
Siku ukitongozwa woga utakutoka na utokaNina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".
Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.
Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"
Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?
Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.
Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.
Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".
Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.
Au nijaribu Kenya na Rwanda?
Inaniuma sana!
😅😅😅😅😅😅😅😅last week nilipita kolomije🤣 aise kolomije is real!!!! , ka kijiji fulani kamejaa wasukuma
hii ndo changamoto ambayo anayoKwa hiyo we ukiambiwa nina mtu tayari unapotezea? tatizo linaanziaga hapo, ke unapomtangoza wengi hua na majib ya kukatisha tamaa ili ajue ka upo serious au lah, sa ka wewe ndo ukiambiwa hivo tu unaghairi mpaka utajihisi unagundu.
hii ni moja ya dhana potofu kabisa kuna wanaume wakawaida tu wanamiliki wanawake wazuri na zaid ya mmoja, ata ukiangalia wanaume wenye hela unazoziongelea ni wachache sanaUkiwa na hela watajitongozesha