Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

Tafuta pesa kwanza, ila kama unazo fanya haya simple tuu

Badilisha mwonekano kuwa tozi kidogo, vaa cheni za English Gold, jifunze uongo kidogo, piga pamba nzuri, weka bibble pembeni mvae shetani.

Nakwambia utakuwa nao msululu hadi wengine unasahau kuwatafuta.

N:B usihonge cash ila mtoe lunch, bata, toa offa za kuingia tumboni kesho yake viko chooni
 
Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".

Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.

Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"

Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?

Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.

Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.

Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".

Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.

Au nijaribu Kenya na Rwanda?

Inaniuma sana!
Labda nikusadie kitu kimoja pengine ndio ikakusadia ndg yangu kuna kitu kinaitwa UTASHI, kwako wewe labda huna aidha ni mvivu, ukihitaji mpenzi inahitajika stahamala, subira, jitihada, vinginevo hutofanikiwa usidhani hao unaowaona wana wapenzi ukajidanganya wamewapata kiurahisi kama unavyofikira la hasha wengi wao wametumia nguvu ' muda' jitihada stahamala 'akili ' na pesa nyingi hatimae wakawamiliki .
 
Labda nikusadie kitu kimoja pengine ndio ikakusadia ndg yangu kuna kitu kinaitwa UTASHI, kwako wewe labda huna aidha ni mvivu, ukihitaji mpenzi inahitajika stahamala, subira, jitihada, vinginevo hutofanikiwa usidhani hao unaowaona wana wapenzi ukajidanganya wamewapata kiurahisi kama unavyofikira la hasha wengi wao wametumia nguvu ' muda' jitihada stahamala 'akili ' na pesa nyingi hatimae wakawamiliki .
Kama demu hakupendi hata utumie akili ya wap au utashi hatokubali kamwe. Labda awe malaya apende hela zako.

Ukiwa na akili Sana au ukumia akili Sana wanawake huwapati kabisa na uwasahau. Ndo maana watu wenye akili kuhandle wanawake hushindwa kabisa.

Mbona kuna vijana misharobaro wavaa heleni na wanaosuka wanapendwa na wanawake hatari

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
tatizo sio kupata! TATIZO NI KUPATA UNAE MTAKAA!
Mm binafsi huyu ,mara nying nashobokewa na mademu wabovu wabovu tu na kuwapata ni sawa na bure lakin kupata zile pisi ambazo zimekidhi viwango na itifaki ikiwa imezingatiwa kama tako, lips,highwing nyonyo, reflecting colour, poz muondoko na flexibility kwenye maeneo mbali mbali ya mwili kwa kwel ni Ngumu nahis shetani ana nitrick na wivu mpuuzi sana
hebu kuwa serious wewe, kua!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".

Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.

Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"

Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?

Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.

Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.

Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".

Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.

Au nijaribu Kenya na Rwanda?

Inaniuma sana!
Siku ukitongozwa woga utakutoka na utoka
 
Mwanamke ukimdanganya upo kitengo fulani serikali ni ngumu sana kukutolea nje na nirahisi kukupa mapenzi na ni ngumu kukupiga mzinga ataogopa kukupoteza
 
Kwa hiyo we ukiambiwa nina mtu tayari unapotezea? tatizo linaanziaga hapo, ke unapomtangoza wengi hua na majib ya kukatisha tamaa ili ajue ka upo serious au lah, sa ka wewe ndo ukiambiwa hivo tu unaghairi mpaka utajihisi unagundu.
hii ndo changamoto ambayo anayo
 
Back
Top Bottom