Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,879
- 3,299
Mkuu mimi ni ME na ni straight, nina uwezo wa kuoa ila kuolewa hapana mkuuMkuu kumbe umeolewa
Mkuu mimi ni ME na ni straight, nina uwezo wa kuoa ila kuolewa hapana mkuuMkuu kumbe umeolewa
Tupe uzoefu wako kidogo mkuuNi stori ndefu ndugu yangu ila mpaka nakuwa mwalimu wa haya mambo nililia sana .
Basi natanguliza samahani Mkuu😁,hii Id nilikuwa siielewiMkuu mimi ni ME na ni straight, nina uwezo wa kuoa ila kuolewa hapana mkuu
Kupata demu ni kama kupata kazi,utafanya interview then wanasema we'll let you know😂,mpaka unazeekaHuyu mwamba bado hajapata demu kwani??? 😅
Hadi dunia hii ya sasa chief? Huyu mwamba anatuangusha sanaa ujue 😅Kupata demu ni kama kupata kazi,utafanya interview then wanasema we'll let you know😂,mpaka unazeeka
Samahani imepokelewa mkuu😁😁Basi natanguliza samahani Mkuu😁,hii Id nilikuwa siielewi
Japo ilikua ndo target yake from the first postEndelea kujieka wazi kwenye huu uzi wako ,Mungu anaweza kukuona humuhumu JF ukajipatia mwenza![]()


Umefall mara ngapi sasayou said it well, Mimi mkaka akinijia yupo very desperate huwa anaishia tu kuniboa, napenda mwanaume awe na vi attitude, niione ile manly ego, huwa na fall for that kind of man..!!
Hili ndiyo jibu ambalo anapswa kulizingatia Sana. Naomba nirudie;-Tafuta pesa
Hongera
Jipende kua msafi, wanawake hawapendi wanaume wachafu wachafu.Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".
Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.
Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"
Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?
Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.
Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.
Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".
Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.
Au nijaribu Kenya na Rwanda?
Inaniuma sana!
Kama unazo labda bahiri pro.Ninazo!