Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

Kwanini sipati mpenzi kama vidume wengine?

Tatizo vijana wengi mnatongoza mkiwa na ugwadu
 
Halafu mkuu kuna notes flan ninazo nitakutumia upitie ni kitabu kina kama page 600 hivi kitakusaidia sana mkuu
 
Hakikisha kiwango cha uongo kiwe 360’ hawatakagi ukweli kabsa hao sikettight
 
Nunua gari zuri (sio lazima lakini hii ni easy way ya kupata mademu), make sure unaonekana vizuri physically na usiwe bahiri , watakuja wenyewe
 
Hukumu na hasira ya Mungu IPO juu ya watenda dhambi tubuni na kuacha dhambi na kumrejea Mungu wenu kabla hazijafika siku Mbaya.Muda ni mchache Sana kuendelea kuwaza, kuwawazua na kuwachambua wanawake.Hamna muda kabisa muda umeisha mwanamke HaweZi kusaidia kukupeleka peponi.Waza Mungu siku nzima ACHA kuwaza wanawake siku nzima maana chochote unachokipa muda na mawazo Yako zaidi ya Mungu kinakuwa mungu mwingine kwako.Usiabudu miungu mingine (Wanawake).Wacha waendelee na ghasia Yao ya uzinzi wewe endelea kumsifu Bwana.Jiandae na maisha baada ya kifo muda umebaki mchache Sana.

Tafuta kwanza Ufalme wa Mungu na mengine utapewa.Okoka mpe maisha Yako Yesu Kristo Sali na kusifu Kila siku usisahau kufunga mara Kwa mara.Maisha ya Dunia yanapita Usitake kuishi kama walimwengu.
 
Nina zaidi ya 30yrs lakini sijawahi kuwa na mpenzi kamwe. Binafsi sina uoga wa kutongoza lakini kila ninayejaribu hunijibu "nina mtu wangu" au "sihitaji mpenzi".

Nikiwacheki hao wanaume wengine ni wa kawaida tu kulinganisha na mimi lakini wanapata wanawake na wanawazalisha kama kuku.

Nikiwa na hamu ya tendo mpaka "ninunue"

Nimekuwa natafuta mwanamke wa kuoa lakini kila msichana ninayemuapproch hunijibu "nina mtu wangu". Sasa najiuliza Mbona hawa wanawake kutwa wanalalamika hawaolewi? Wakati kila mtu ana mtu wake?

Huwa nashangaa ninavyosikia mademu wa kihaya na warangi kuwa warahisi sana.. Mbona mimi nawaona wagumu hasa wahaya kuna mmoja nilitongoza juzi kanichimba mkwara nisimfatefate.

Inaniuma sana wadau kuona "mazwazwa" wanamiliki pisi kali huko mitaani halafu mimi mzee wa kazi a.k.a ngoma ngumu nabaki kubambia mito usiku.

Je, hii ni kawaida au ni mimi tu niko "as a special case".

Naombeni ushauri wadau nifanye nini? Maana wanawake wazuri wote wameshachukuliwa na wajanja na wanawazalisha tu.

Au nijaribu Kenya na Rwanda?

Inaniuma sana!
Jipende kua msafi, wanawake hawapendi wanaume wachafu wachafu.
Ikishindikana basi tafuta wadada wa Kihaya hua hawakatai jamani wakikataa pia nenda kwenu kaage.
 
Kama unazo labda bahiri pro.
Wenzio tunazikimbia papuchi jinsi zilivyo nyingi na tunapewa bure wewe unazililia kweli serious?
Kama una hela wape hela watakayo nao watakupa mapenzi hadi ushindwe .wenyewe.
Acha maneno mengi ya kujisifu toa pesa tu.
 
Back
Top Bottom