Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

Ungeinunua walau uitumie km mwez hv ungejijib vzr sana. Ninachopendea hz simu hawatumii vilaza. Over.
Aah wapi, tuseme tu ukweli iPhone ni brand kubwa tu, lakini si kwamba ni ya magenious tu. Ina mapungufu mengi zaidi ya aliyoyataja mtoa mada. Sema kwa kuwa ni biashara Hamna tija kuyataja hapa.

Tuache tu kila mtu atumie kile apendacho kulingana na uwezo wake, mambo ya sijui iPhone, mara windows, mara Android, sioni kama Zina mashiko. Maana kwa mi niliyebahatika kutumia aina zote, iPhone ina limitation nyingi kuliko Android, which means ina security kubwa kuliko android. Lakini specification na user friendliness iPhone iko poor kuliko android. Na hata ukiangalia wengi wenye iPhone huwa lazima wawe na simu japo moja ya android.
 
Nimekaa muda sana hapa nasubilia comment yako,walio wengi walichangia kimahaba.....Asante mkuu!!
 
Kiukwel naipenda iPhone x10 kwanza ilvokaa ata wallpaper yake au display style.Nina uzoef wa iOS, android na Microsoft devices Ila iOS ni tamu kulko izo gadgets zingne mfano macbook air pc, iPad au iPhone yoyote unapoifunga na I cloud inakuwa na ulnzi tosha pia napenda downloading system yake huweka kudownload app nying kwa wakat mmoja, no viruses pia
 
Mtoa mada nna iphone 6 ina gb 64 naiuza,sasa fika bei thn uje urud baada ya mwezi kutoa mrejesho
 
Mkuu umemjib vizur, mi nlishindwa kujib hoja moja moja kama ulivyofanya ww. Hongera, jamaa tunamkaribisha kwenye ulimwengu wa raha. Ila bado nasisitiza kama kilaza huwez kutumia iphone katu.
Kuna uzi uliwekwa hapa siku moja wanasema tecno ni best kuliko iphone😂😂
 
kama unatumia caterpillar kama mimi gonga like twende pamoja!!
iPhone mbwembwe tuu sjawah kumiliki ila wenyenazo wanalalamika
simu bora ni Samsung na Sony na CAT yangu bhaaass!!!!
 
Your so right chief. Asante kwa uchambuzi wako. Sasa je ni sahihi watu wa iphone kujiona ndo first class people?? Ili hali wanamasononeko mengi na simu zao?
 
Utupe maelezo sasa,hiyo apecha pecha lololo,ipi kubwa na ipi ndogo,
Unataka maelezo yapi zaidi? Nakupa mfano simu mojawapo yenye camera kali kwa mwaka huu ni Huawei P20 pro, ina triple cameras zenye 40mp, 20mp na 8mp zenye aperture ya f/1.8, f/1.6 na f/2.4 respectively.
Hivyo hapo utaona kwamba camera yenye 1.6 ndo kali.
Hizo ni basics ambazo mimi huwa naangalia na zinasaidia kupata kilicho bora.
 
Wazee mi naungana na Wadau Wengine Simu hizi za iPhone ni nzuri sana Nikichukua iPhone 8 Plus pamoja na Matumizi yangu makubwa nachaji baada ya Masaa 24 Ikiwa Imejaa Vizuri iPhone 8 Plus ikiwa na batery 100% inachukua hadi 30Minutes kwenda kwenye 99% hapo ndo huanza kuisha taratibu kama heavy User Katika 4G inatumia 20% katika kila 6hours hapo unakua umeikodolea macho kweli kweli acha Picha zake ambazo ni nzuri tusifananishe Simu za Kijinga na iPhone.

Halafu kwanini Kila Simu zikitoka zinafananishwa na iPhone Kuna tofauti kibao ikwemo iPhone ikipotea Haitumiki tena hasa hizi version za Sasa FBI wenyewe hawajajua namna za kutoa iCloud Lock

Binafsi natumia iPhone 8 Plus kwani napenda simu kubwa kubwa ilinifanya nisiinunue Simu bora kabisa ya iPhone X lakini Sijaathirika chochote wanasema iPhone XS itakua kubwa kama iphone 8Plus na itakua na 512GB yaani Megapixel za Iphone hata kama ni 12 na Matecno yenu yenye 20MP huwez kufananisha ubora wa Picha.


 
Kama umezoea laptop Microsoft os phone android os nakushauri baki uko uko mana ni tofauti sana ivo vifaa kama ujawai tumia iphone device lazima utoke jasho kwa kila kitu naona ameongea tu ila ajajua iphone uwezo wake kwa kila kitu uwezi fananisha na samsung kama mvivu jaribu tu ata youtube kuchaeck compared samsung x iphone kidg upate uelewa
 
Suala la local apps ni la designer mwenyw kuelewana na iOS mf, Millard app, tgo Pesa app etc zpo kweny ios
 
Hapo kwenye macbook kutamu sana mkuu!
 
Safi sana..
 
Njia za kushea files zko nyng mfano xender, ipo iOS pia android kwahyo mnaweza kuchangia
 
Your so right chief. Asante kwa uchambuzi wako. Sasa je ni sahihi watu wa iphone kujiona ndo first class people?? Ili hali wanamasononeko mengi na simu zao?
Compare na watu kama Sony, Samsung, LG, Google/Htc vitu vingi Apple anapitwa.

Ila hawa wachina wetu kina Huawei, Xiaomi, Oppo etc wao simu zao hazikamiliki bila kumuiga Apple, hivyo wanampa umaarufu na kutengeneza ile hype kila kitu cha Apple ni bora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…