Oooh nashukuru ila kwa wewe jaribu kutulia na mkeo! vipi mambo mengine?
Haaa hata ukitaka mambo mengine poa,Oooh nashukuru ila kwa wewe jaribu kutulia na mkeo! vipi mambo mengine?
Jamani serious!
Mkuu ,mtoa mada anaitwa Jenerose ,mi ni mchangiaji Kama mtu mwingine yoyote yule!Najua Mungu Anajua Tatizo Lako,mshirikishe Kama Kweli Unamaanisha, Kuolewa Kabisa! Au Unatania ?Kuwa Muwazi
Jamani kwanini mimi sipati mwanaume ninaependa awe mume wangu wa maisha anipatie watoto watatu! wote wanaonijia wana pritendi ila sio, nifanye nini?
Sikupata mume ndo maana nikaomba ushauli kuwa kwanini mimi sipati mume wa maisha yangu, jaribu kuwa mwelewa ndugu usikurupuke nataka ushauri sio mume
Aaah ninawivu na sitaki uwezo wako
Jamani kwanini mimi sipati
mwanaume ninaependa awe mume wangu wa maisha anipatie watoto watatu!
wote wanaonijia wana pritendi ila sio, nifanye nini?