ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 151
mi nlijua unaandika symblos za kwenye hesabu....kumbe ni lugha...r u wife material? How old r u? When yah baan? Mie ntakuoa.
mi nlijua unaandika symblos za kwenye hesabu....kumbe ni lugha...r u wife material? How old r u? When yah baan? Mie ntakuoa.
Matangazo yote ya waganga kwa mnaotaka kuolewa uyaoni
Oooh hizo ndoa za mateso ndo sizitaki ndo maana naona kila anaetaka nimtambulishe kwetu itakuwa kujuta kwangu baadae ila sio mbaya ntasubiri hiyo miaka 40 kama bado ntakubali kufa na mayai yangu tumbon
Suala la ndoa sio la kufanyia majaribio
Pia ndoa inawahusisha watu wawili
Anaeoa na anaeolewa
Hawa wote wanatakiwa wajue wanahitaji nini
Pia kuna suala la utayari wao wanaooana
Kwenye suala hili inaonekana tatizo ni wewe
Hebu niambie ni kitu gani unahitaji kutoka kwa huyo mume?
Mume yupi sasa?
mtu anasema hampati mume wewe unampa semina ya ndoa
Jamani kwanini mimi sipati mwanaume ninaependa awe mume wangu wa maisha anipatie watoto watatu! wote wanaonijia wana pritendi ila sio, nifanye nini?