si wewe unaetaka mwanaume wa kukufanyia shopping kutwa?
r u wife material? How old r u? When yah baan? Mie ntakuoa.
Jamani kwanini mimi sipati mwanaume ninaependa awe mume wangu wa maisha anipatie watoto watatu! wote wanaonijia wana pritendi ila sio, nifanye nini?
Jiamini, Vumilia, Jithamini, Jiheshimu, Jipende, endelea kufanya kazi na kujitunza utampata kwa wakati wake, Hayo mambo hayataki haraka na wala hayaharakishwi, Ukiforce utaingia pabaya. Usichoke kujiombea pia!