Kwanini simpati mwanaume wa maisha yangu!

Kwanini simpati mwanaume wa maisha yangu!

Hapana vijana wengi hamjiamini kama unaweza kuoa that kind of lady na unakuta mtu yuko na hakika bado mna mambo yakudanganya wadada wakati huko tulishatoka!

Me nataka mke wa pili upo tayari? Nitakupatia watoto 2!
 
Jamani kwanini mimi sipati mwanaume ninaependa awe mume wangu wa maisha anipatie watoto watatu! wote wanaonijia wana pritendi ila sio, nifanye nini?

Pole sana! Utampata mapema sana,una umri gani?kama chini ya miaka 25, si mbaya sana kwa muda jaribu kuyashughulikia maaneo yako ambayo yaweza kuwa na mwonekano hasi kwa mwanaume wa maisha yako,happy waiting!
 
Pole sana! Utampata mapema sana,una umri gani?kama chini ya miaka 25, si mbaya sana kwa muda jaribu kuyashughulikia maaneo yako ambayo yaweza kuwa na mwonekano hasi kwa mwanaume wa maisha yako,happy waiting!

Najua Mungu Anajua Tatizo Lako,mshirikishe Kama Kweli Unamaanisha, Kuolewa Kabisa! Au Unatania ?Kuwa Muwazi
 
Jamani kwanini mimi sipati mwanaume ninaependa awe mume wangu wa maisha anipatie watoto watatu! wote wanaonijia wana pritendi ila sio, nifanye nini?
Wewe utakuwa na moja au yote katika haya
1. Unaringa sana
2. Unajiweka kwenye class isiyo yako, hivyo wa class yako wanakuogopa, na wenye class hiyo uliyojiweka wanakuona wewe wa class ya chini
3. Unapenda sana hela
4. Una masherti magumu sana
 
Njooo nijaribishe mie nam sipat mke mwema wote wanaact tu embu ni PM namba yako ntakupgia dada hata kwa kufarijiana
 
Upritenda unaweza kuwa unaanzia kwako! Labda umeweka vigezo ambavyo ww mwenyewe haulingani navyo. weka vigezo vinavyoendana na ww mwenyewe ulivyo utampata wa size yako!!
 
Oooh nashukuru ila kwa wewe jaribu kutulia na mkeo! vipi mambo mengine?
 
Asante ila sitaki mwanaume atakae nitaman kwa mwonekano nataka upendo wa dhati usioangalia chochote, asante kwa wishies naendelea kusubiri
 
Ooops! umekosea kabisa sina yote hayo, ila nadhani wanahisi nataka kutumia ujana wakati mie niko serious!
 
ok ila sijajiweka tofauti kwakuwa sipendi kumfanyia mtu kitu nisichopenda kufanyiwa
 
weng wa wanaokumega wana wapenz wao wanaowapenda ndo maana wanakutumia tu then wanatembea zao,na hii inatkana na wepes wako wa kuwapa uroda kwa kpnd kifup tangu muanzishe mahusiano.kuwa na mcmamo vingmevyo utaendlea kuwa wakumegwa na kuachwa.
 
Pole sana dada endelea kumwomba Mungu atakupa mume mwema.
 
Jamani kwanini mimi sipati mwanaume ninaependa awe mume wangu wa maisha anipatie watoto watatu! wote wanaonijia wana pritendi ila sio, nifanye nini?

Tuwasiliane hata Mimi natafuta mwanamke awe mke wa maisha
 
Back
Top Bottom