Ryamisanga
Member
- Aug 8, 2013
- 9
- 1
Nipm inawezekana nikawa ndiye!
Nipm inawezekana nikawa ndiye!
Oops!
Sasa kama huyu mdada atakuwa anakiribia 40, yaani azidi kuvumilia tu na kujiheshimu hadi lini mkuu? Wakati mwingine we have to strike the nail down to the head.
Jamani kwanini mimi sipati mwanaume ninaependa awe mume wangu wa maisha anipatie watoto watatu! wote wanaonijia wana pritendi ila sio, nifanye nini?
Tatizo lenu wadada muda wa kuolewa mnakua bize na ujana,watu wanajitokeza mnaleta pozi ooh mi bado msichana,mkija kustuka 35 tayari,na katika age hiyo wanaume wa kukuoa washaoa tayari,hapo ndo mnaanza kutusumbua humu jf
Jamani kwanini mimi sipati mwanaume ninaependa awe mume wangu wa maisha anipatie watoto watatu! wote wanaonijia wana pritendi ila sio, nifanye nini?
Jamani kwanini mimi sipati mwanaume ninaependa awe mume wangu wa maisha anipatie watoto watatu! wote wanaonijia wana pritendi ila sio, nifanye nini?