Kwa sababu Spika haelewi kiingereza...labda kama angetukana kiswahili...!
Jamani Spika anaelewa Kiingereza, duu!! Sema tu kwamba kwao ukijani umezidi mno hata katika mambo ambayo mtu huhitaji kuonyesha madudu kama hayo hadharani.
Kitendo cha Spika kufumbia macho wabunge waporomosha matusi kwa upande wa chama tawala hivi sasa ni dhahiri ya kwamba kumbe lugha ya matusi bungeni ni sera mpya ya CCM.
vp kuhusu mstusi yaliyoporomoshwa na wabunge wa chadema
vp kuhusu mstusi yaliyoporomoshwa na wabunge wa chadema
Mkuu kwa kutia chachandu ungewataja vinara wa hizo sifa tuweze kuwafuatilia na yasemwayoNdugu yangu, wapo watu wengine walipewa tu ubunge hata hawahusiki wala hawakustahili kivile. Cheki waliomo:-
- Wapo pia waimba kwaya tu,
- wamo waganga wa kienyeji tu,
- wamo watukanaji wazuri tu kama huyu,
- wapo wazinzi (kumbuka kule Ziba - Igunga walikofumaniana),
- wapo majambazi wanaohutubia mikutano ya hadhara na silaha nje nje viunoni mwao,
- wapo wezi wa mataulo ya gesti,
- wamo makahaba na wezi wa wake/waume za watu,
- wapo wala rushwa bila aibu (tena hawa ni wengi tu),
- wamo wasinziaji wazuri tu, naskia wanalala bila kukoroma mjengoni. Ukikoroma unakuwa umevunja kanuni!
Kwa mchanyanto huu, hatuwezi kujadili issue serious za kitaifa. Wao kazi yao ni kukuondoeni kwenye mjadala wa issue nzito kwa kuchomeka jambo linaloudhi tu.
Komba, Prof Water Matall, Serukamba, Lameck Madelu, Rage, Mwanjelwa, Mwigulu, Beduweli, Wasira, respectively to mention a very few. Wengine utapewa humu humu, you just stay tuned. Na kuna wengine ni intersection of more than one set (ukikumbuka hesabu za Seti shuleni), yaani wanasifa zaidi ya moja.Mkuu kwa kutia chachandu ungewataja vinara wa hizo sifa tuweze kuwafuatilia na yasemwayo