Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 4,189
- 3,548
Bunge letu limefika mahala ambapo sisi tuliowachagua tunaona ni bora kabisa hao waliotukana wasirudi kugombea majimboni mwao ili liwe funzo kwa hawa ambao mara nyingi wamekuwa wakijifanya "watakatifu" kwa kujiita waheshimiwa nk. Leo tujikumbushe:
Juma Nkamia "...Siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa..." HAKUTOLEWA BUNGENI
Peter Serukamba "... come on f u c k you..." HAKUTOLEWA BUNGENI
Livingstone Lusinde, ".wabunge wa Chadema humu ndani wana mimba zisizotarajiwa..." HAKUTOLEWA BUNGENI
Tindu Lissu, "..Mh Naibu Spika naomba muongozo.." ALITOLEWA BUNGENI KWA KUOMBA MIONGOZO MARA KWA MARA AKAPEWA ADHABU YA KUTOHUDHURIA VIKAO KWA SIKU TANO.
UHALALI WA BUNGE HILI KUJIITWA BUNGE TUKUFU UKO WAPI.....???!!!
Weka wabunge wengine waliotuka na hawakutolewa Bungeni unaowakumbuka.
Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania.
Juma Nkamia "...Siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa..." HAKUTOLEWA BUNGENI
Peter Serukamba "... come on f u c k you..." HAKUTOLEWA BUNGENI
Livingstone Lusinde, ".wabunge wa Chadema humu ndani wana mimba zisizotarajiwa..." HAKUTOLEWA BUNGENI
Tindu Lissu, "..Mh Naibu Spika naomba muongozo.." ALITOLEWA BUNGENI KWA KUOMBA MIONGOZO MARA KWA MARA AKAPEWA ADHABU YA KUTOHUDHURIA VIKAO KWA SIKU TANO.
UHALALI WA BUNGE HILI KUJIITWA BUNGE TUKUFU UKO WAPI.....???!!!
Weka wabunge wengine waliotuka na hawakutolewa Bungeni unaowakumbuka.
Mungu Ibariki Afrika
Mungu Ibariki Tanzania.