Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,041
- 103,470
Tatizo la misukule wa ufipa ni wavivu wa kufuatilia habari yote, pia wana wivu uliopitiliza.
Wanaahidi alafu Wanakuja kuyapinga tena hayo mabadiliko kwa manufaa ya siasa zao uchwara.
Mnapinga maendeleo ya vijana wa Arusha ili iweje??
Shame on you ufipa boys
Hata Olesendeka akiona hii post yako atakudharau kwa utetezi huu.