kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 8,381
- 10,042
Pelekeni bodaboda kwa omba omba wa dodoma huko,wanaichoma watafiti eti kunyonywa damu.wasambazieni bendera za kijani ziwe mashuka ya kujifunika ucku.Kwan rudhuku ya chama inaenda wapi au ndio kila operations ndio zinamaliza rudhuku