mkonongo1938
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 1,990
- 2,397
Ccm huwa wanapeleka maendeleo kwa wapinzani! Kwa wateja wao hapana
Sisi Dodoma katika uchaguzi mkuu tuliwanyima kura kabisa wapinzani waliambuliwa udiwani tu kata mbili kura zote tuliwapa Chama tawala CCM lakini hatujapewa hata baiskeli lakini wanzetu wa Arusha hawajaichagua kabisa CCM si ubunge wala udiwani wala rais waliwanyima kura kabisa chama tawala juzi wamegawiwa pikipiki.
Hivi huu ndio ujinga au tuite jina gani? Mbaya kuliko zote wamesema hata mahindi ya njaa safari hii hawatupi!
Mkuu peter palla,umetumia mfano mgumu!!! Lakini hata hivyo ujumbe umefika. Kwa Lugha ya Malikia wanasema; " Message sent, and delivered".We ushaonaga wapi shetani anahangaika na watenda dhambi!!!coz anajua wale tayar ni wake so lazma aanze kukomaa na watenda mema ili awaingize katka kundi lake la motoni......,,,,,,
Ukimaliza kuisoma namba, kale viwaviSisi Dodoma katika uchaguzi mkuu tuliwanyima kura kabisa wapinzani waliambuliwa udiwani tu kata mbili kura zote tuliwapa Chama tawala CCM lakini hatujapewa hata baiskeli lakini wanzetu wa Arusha hawajaichagua kabisa CCM si ubunge wala udiwani wala rais waliwanyima kura kabisa chama tawala juzi wamegawiwa pikipiki.
Hivi huu ndio ujinga au tuite jina gani? Mbaya kuliko zote wamesema hata mahindi ya njaa safari hii hawatupi!
Ushauri wangu tafuta lile sebene la CCM mbele kwa mbele uselebuke kama ulivyokuwa ukilicheka kile kipind cha kampain. Hii itakusaidia kupunguza machungu.Sisi Dodoma katika uchaguzi mkuu tuliwanyima kura kabisa wapinzani waliambuliwa udiwani tu kata mbili kura zote tuliwapa Chama tawala CCM lakini hatujapewa hata baiskeli lakini wanzetu wa Arusha hawajaichagua kabisa CCM si ubunge wala udiwani wala rais waliwanyima kura kabisa chama tawala juzi wamegawiwa pikipiki.
Hivi huu ndio ujinga au tuite jina gani? Mbaya kuliko zote wamesema hata mahindi ya njaa safari hii hawatupi!
ujinga gani zaidi ya Lema nusu ya mwaka anafunguwa jela!Hahaa 2020 watakuja kutugawia Rolls Royce lkn hawatalamba kitu.
Kwani si ujinga tunataka?
Mpuuzi ni wewe hulijui tuNi upuuzi mwanamme mzima kuishi kwa kutegemea misaada kutoka Serikalini.
Ukipewa pikipiki ndo utakuwa na maisha bora ama?
Mfungeni mpaka 2025 lkn hatuchagui Ccm huku.ujinga gani zaidi ya Lema nusu ya mwaka anafunguwa jela!
ungejua hiyo pesa yako! Nani kakupa umenunuliwa kilazmaMfungeni mpaka 2025 lkn hatuchagui Ccm huku.
Mbona yupo ndani lkn mnatugawia Toyo?
Wee ni papasi mdogo sana utanipotezea muda na mimi kubishana siwezi..ungejua hiyo pesa yako! Nani kakupa umenunuliwa kilazma
isome namba Arusha si wa kispot spot na hapo ni wanajitekenya na kucheka wenywewe sisi mutu ya arusha tunajitambua sana uzuri hatujipendekezi.Sisi Dodoma katika uchaguzi mkuu tuliwanyima kura kabisa wapinzani waliambuliwa udiwani tu kata mbili kura zote tuliwapa Chama tawala CCM lakini hatujapewa hata baiskeli lakini wanzetu wa Arusha hawajaichagua kabisa CCM si ubunge wala udiwani wala rais waliwanyima kura kabisa chama tawala juzi wamegawiwa pikipiki.
Hivi huu ndio ujinga au tuite jina gani? Mbaya kuliko zote wamesema hata mahindi ya njaa safari hii hawatupi!
Sisi Dodoma katika uchaguzi mkuu tuliwanyima kura kabisa wapinzani waliambuliwa udiwani tu kata mbili kura zote tuliwapa Chama tawala CCM lakini hatujapewa hata baiskeli lakini wanzetu wa Arusha hawajaichagua kabisa CCM si ubunge wala udiwani wala rais waliwanyima kura kabisa chama tawala juzi wamegawiwa pikipiki.
Hivi huu ndio ujinga au tuite jina gani? Mbaya kuliko zote wamesema hata mahindi ya njaa safari hii hawatupi!