Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,889
Msimu uliopita wa Korosho inasemekana serikali ilichukua bilioni 250 hela ambayo ilikuwa ni ya wakulima wa korosho. Ni kama serikali iliokota hii hela au ilishinda biko maana hata haikuitarajia.
Kwanini serikali isitumie hiyo hela kuhakikisha kunakuwa na viwanda vya korosho nchi ili tuepuke habari ya kusumbuana na korosho ghafi. Ihakikishe korosho inapotoka nchini inakuwa packed na branded kabisa kwa ajili ya kuliwa.
Kuhakikisha namaanisha si yenyewe kujenga bali kutoa mikopo kwa wafanyabiashara wakubwa wenye nia ya kuwekeza kwenye hivyo viwanda. Tukijenga viwanda tutaachana na kadhia nyingi sana zinazotokana na kusafirisha korosho ghafi. kama tuna sera ya viwanda basi tuionyeshe kwa vitendo.
Kwanini serikali isitumie hiyo hela kuhakikisha kunakuwa na viwanda vya korosho nchi ili tuepuke habari ya kusumbuana na korosho ghafi. Ihakikishe korosho inapotoka nchini inakuwa packed na branded kabisa kwa ajili ya kuliwa.
Kuhakikisha namaanisha si yenyewe kujenga bali kutoa mikopo kwa wafanyabiashara wakubwa wenye nia ya kuwekeza kwenye hivyo viwanda. Tukijenga viwanda tutaachana na kadhia nyingi sana zinazotokana na kusafirisha korosho ghafi. kama tuna sera ya viwanda basi tuionyeshe kwa vitendo.