opondo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 526
- 1,312
Nilikua napitia ajira za TAMISEMI za mwaka jana kwanini ajira zinakua na upendeleo sana? Unakuta pdf nzima imejaa wahitimu wa diploma au ni kwamba serikali inakwepa kuajiri wahitimu wenye degree ili kutoa mshahara mdogo?
Wanahisi wakichukua wenye degree basi itawatoka pesa nyingi?.
Mfano ajira za ualimu mwaka Jana zilizotoka waliochukuliwa wengi 2019 kwenye masomo ya physics na chemistry na mathematics wahitimu wa degree ya ualimu walikua 300 tu wakati wa diploma walikua zaidi ya 800.
Nawasilisha!
Wanahisi wakichukua wenye degree basi itawatoka pesa nyingi?.
Mfano ajira za ualimu mwaka Jana zilizotoka waliochukuliwa wengi 2019 kwenye masomo ya physics na chemistry na mathematics wahitimu wa degree ya ualimu walikua 300 tu wakati wa diploma walikua zaidi ya 800.
Nawasilisha!