Kwanini Serikali inaogopa wachunguzi wa Kimataifa?

Sitaweka maelezo mengi ila kwa nini tunajidharirisha kiasi hiki na kuendelea kuudhihirishia umma kuwa upande wetu unawezakuwa unahusika kwa namna moja au nyingine?

Kama kweli Chadema wanahusika kwa nini upande qetu ndio unaopata kigugumizi kuwaleta Wachunguzi huru kutoka nje? Kana kwamba hiyo haitoshi hadi Leo hakuna chochote kinachoitwa dalili za kuweza kuwabaini wahusika ili hali majeshi yote yako chini yetu!!!!

Katika hili bora tunyamanze kimya maana hakuna namna tunayoweza kukimbia tuhuma hizi maana sisi wenyewe tunaonesha kutokujiamini katika hili
Thubutu watu watapata vifafa kuwaleta hpa wakt wahusika ni watu wasiojulikana ila wamejulikana kma wasiojulikana
 
Malisa ni moja ya mchanbuzi anayeendeshwa na chuki, He got limited scope of reasoning

Sasa hebu kuwa objective Halafu jibu maswali yafuatayo Tanzania ni watu wangapi wamewahi kupotea hapa nchini kila siku Tunaona matangazo ITV

Ni watu wangapi wamewahi kupigwa risasi? Tafadhali Rejea mauaji ya raia wasio na hatia Mkoa wa Pwani

Uhalifu ni uhalifu hakuna maisha yaliyo bora zaidi ya mwengine, serikali inafanyia uchunguzi ndio jibu sahihi. Na wengine wanakamatwa na Kushtakiwa.

Hivi Nyie mumewahi kuwauliza mwanahalisi na kubenea wapi walipomwona huyo saa 8? Au sio Swahiba yenu?

Acha kujenga chuki serikali inafanya kazi yake Mali na raia wa Tanzania wanalindwa na sheria Za Jamhuri
 
hii inahitaji elimu kidogo tu ya ufahamu
1-Tuna institution zinazojitosheleza na kamwe hazijasema zimeshindwa.
2-mtoa wazo hajaishia hapo kaenda mbele kwa kupendekeza *uingereza* sisi tunahoji kwanini uingereza??
3-Anapokuja kutajwa kwenye hili huoni tayar anaandaa mazingira ya kusema hana imani na uchunguzi wa vyombo vyetu??anatuandaa psychological mapema!
Ndyo hatuna imani. Hata vyombo vyetu ni suspect katka hili tukio.
 
Huyo Ben mbona yupo, nenda Kiborloloni hapo kwenye kijiwe cha mbege utamwona
Mungu akusamehe sana. Vaa utu na ubinadamu. Kuna leo na kesho katika maisha. usifikiri utaishi milele. Jaribu kufikiria sekunde chache mbele yako utakuwa wapi. Una ahadi gani na Muumba wako?
 
Wachunguzi wa kimataifa kwa ajili ya Ben Sanane? Una roho ngumu sana. Police na vyombo vyetu vingine wanaiweza hii kazi haihitaji hayo. Tutawakamata tuuu.

Akili yako ilikuwa ndogo sana by then kungamua hoja ya Malisa, sasa unaweza kuona alimaanisha nini, wewe ulilenga issue ya Ben Sanane, ni kawaida kwa akili ndogo kufikiri karibu sana tena sana, Limekuja suala la Lisu, sijui unasemaje kuhusu hili. anyway nadhan akili yako itakuwa imekunywa supu kidogo na umeelewa maana ya Malisa
 
Mungu akusamehe sana. Vaa utu na ubinadamu. Kuna leo na kesho katika maisha. usifikiri utaishi milele. Jaribu kufikiria sekunde chache mbele yako utakuwa wapi. Una ahadi gani na Muumba wako?
Mimi nivae utu, ila wewe kuwaombea watu vifo ni halali. Mna laana nyie
 
Nimesikia matamko toka kwa viongozi wakidai kwamba ni aibu kwetu kuomba vyombo vya nje kuja kutusaidia kutafuta wahalifu waliotaka kumuua Lissu na mauaji mengine kama ya Kibiti, maiti zinazopatikana baharini, kupotea kwa kina Ben Saanane nk. Ni kama tunasema hao wasiojulikana ni afadhali waendelee kutojulikana kuliko aibu ya wao kujulikana kwa kusaidiwa na mataifa toka nje.

Lakini wakati huo huo, Tanzania tumekuwa mstari wa mbele tunapotembelewa na viongozi wa nje, na hata nchi ndogo kama Morocco, tunaomba msaada wa vitu kama kujengewa misikiti na viwanja vya michezo.

Sasa nashindwa kuelewa, hivi ni lipi kati ya haya mawili linatia aibu zaidi kwa taifa letu? Kama tunaweza bila aibu, tena kwa nchi ndogo kama Morocco, kuomba msaada wa kujengewa msikiti na uwanja, iweje tuone aibu kuomba mataifa makubwa kuja kutusaidia matatizo ya uhalifu ambayo yana harufu kali ya kigaidi?

Je, ni aibu tunayohofia ikiwa tutaomba msaada wa kuwatafuta hao wasiojulikana, wahalifu wa mauaji, au ni kutaka ukweli fulani usijulikane?
 
Ivi kwa akili ya kawaida isiyo ya kiintelehensia kwa majibu ya Mwigulu Nchemba hivi atabisha kuwa wahusika sio vyombo vya ulinzi na usalama?

Ivi huu uchunguzi unaoenda kichukua mwezi mzima eti wanawasubiri Lissu na Dereva wake warudi wawahoji juu ya shambulio na wanasema wana ujuzi wote na wataalam kama sio uwongo ni nini?

Ivi hawa wahanga wawili wangekufa kwenye lile tukio wasingefanya uchubguzi? Au wangesubiri afufuke ndio wawahoji kujua walishambuliwa na nani?

Kama wameshindwa kwaniniwasiseme kuwa wahusika ni kina nani? Mbona liko wazi
 
Ivi kwa akili ya kawaida isiyo ya kiintelehensia kwa majibu ya Mwigulu Nchemba hivi atabisha kuwa wahusika sio vyombo vya ulinzi na usalama?

Ivi huu uchunguzi unaoenda kichukua mwezi mzima eti wanawasubiri Lissu na Dereva wake warudi wawahoji juu ya shambulio na wanasema wana ujuzi wote na wataalam kama sio uwongo ni nini?

Ivi hawa wahanga wawili wangekufa kwenye lile tukio wasingefanya uchubguzi? Au wangesubiri afufuke ndio wawahoji kujua walishambuliwa na nani?

Kama wameshindwa kwaniniwasiseme kuwa wahusika ni kina nani? Mbona liko wazi

Kwani wewe huelewi nn!
 
Ivi kwa akili ya kawaida isiyo ya kiintelehensia kwa majibu ya Mwigulu Nchemba hivi atabisha kuwa wahusika sio vyombo vya ulinzi na usalama?

Ivi huu uchunguzi unaoenda kichukua mwezi mzima eti wanawasubiri Lissu na Dereva wake warudi wawahoji juu ya shambulio na wanasema wana ujuzi wote na wataalam kama sio uwongo ni nini?

Ivi hawa wahanga wawili wangekufa kwenye lile tukio wasingefanya uchubguzi? Au wangesubiri afufuke ndio wawahoji kujua walishambuliwa na nani?

Kama wameshindwa kwaniniwasiseme kuwa wahusika ni kina nani? Mbona liko wazi
Welevu tumekuelewa kwa fikra hii.
i wish u kud b Igp
 
Ivi kwa akili ya kawaida isiyo ya kiintelehensia kwa majibu ya Mwigulu Nchemba hivi atabisha kuwa wahusika sio vyombo vya ulinzi na usalama?

Ivi huu uchunguzi unaoenda kichukua mwezi mzima eti wanawasubiri Lissu na Dereva wake warudi wawahoji juu ya shambulio na wanasema wana ujuzi wote na wataalam kama sio uwongo ni nini?

Ivi hawa wahanga wawili wangekufa kwenye lile tukio wasingefanya uchubguzi? Au wangesubiri afufuke ndio wawahoji kujua walishambuliwa na nani?

Kama wameshindwa kwaniniwasiseme kuwa wahusika ni kina nani? Mbona liko wazi
Ukweli ulio wazi ni kuwa, dola linahusika na mchakato wote na hawana nia wala sababu ya kufanya uchunguzi juu ya tukio hili na mengine wanayohusika nayo!....Si wajinga kiasi cha kuruhusu taasisi huru zenye weledi kuja kuwaumbua, bwana mkubwa hapendi!
 
Back
Top Bottom