Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Mkuu, siwezi kusema hujui kusoma, labda niseme hujui kuelewa. Nyani Ngabu ameeleza vizuri hapo, wewe unauliza maswali gani? Kipi hukuelewa hapo?Ila jamani si aliutangazia umma?
Labda swali liwe kwa nini alichelewa kutangaza. Au kwanini hakuutangazia umma kwamba Rais ni mgonjwa na amelazwa