Kwanini Serikali ilituficha kuugua kwa Dkt. Magufuli?

.
Kujitoa kwa ajili ya nchi kwa njia ya kodi hakujawahi kuwa jambo jepesi kwa wafanyakazi na wafanyabiashara ila wanyonge hawawezi kuelewa kwa wepesi.

Mfano wewe, unapigana kuhakikisha mpangaji hakusanyi tsh 33 kwa siku ya serikali kutoka kwa mwenye nyumba ila hujawahi kuwa na tatizo na mfanyabiashara kuikusanyia serikali VAT ya 18% ya mauzo yake ya kila siku na akisahau kuituma kwa wakati alipe adhabu ya 225,000/= per month plus interest.

Huyu anatumia muda wake, nguvu zake, resources zake kuhakikisha anaikusanya hiyo kodi na inafika kwa serikali bila malipo na akichelewa anaadhibiwa.

Pamoja na madhara ya hizi tozo, wanyonge ni wakati sasa wa kujua tafsiri ya neno kodi ili ukisikia mfanyakazi analalamika au mfanyabiashara analia basi uelewe kilio hicho maana yake ni nini.

Kwa sasa wewe pigana maana umezoea kuwa kuna watu ndio wanatakiwa wateseke na kodi za hii nchi wengine wanufaike na hospitali, barabara sababu wanaitwa wanyonge.

WENGINE WAELEWA TULIPE KODI MPAKA MBADALA UTAKAPOPATIKANA.
Mimi sipingi kulipa kodi kwa kuwa Taifa haliwezi kuwa hai bila kodi.Mimi napinga style inayotumika kukusanya kodi hii.Hii kodi ya majengo haina shida yoyote wala huko nyuma haijawahi kuwa na shida yoyote kwa wananchi ila sasa hivi ina shida kwa sababu mtindo unaotumika katika kuikusanya haumake sense.Ni mtindo ambao upo kama kibonzo cha kuchekesha.
 
Mimi sipingi kulipa kodi kwa kuwa Taifa haliwezi kuwa hai bila kodi.Mimi napinga style inayotumika kukusanya kodi hii.Hii kodi ya majengo haina shida yoyote wala huko nyuma haijawahi kuwa na shida yoyote kwa wananchi ila sasa hivi ina shida kwa sababu mtindo unaotumika katika kuikusanya haumake sense.Ni mtindo ambao upo kama kibonzo cha kuchekesha.
Huo mtindo ndo mtindo huo huo unatumika kwa VAT na witholding tax ambazo wafanyabiashara wamekuwa wakiitumikia nchi yao kukusanya kodi kwa niaba ya serikali kwa miaka na miaka.
Tofauti ni kwamba wao wakichelewa kupeleka wanapigwa penalt na interest.

Ndo maana nakwambia viatu vya kodi mmezoea kuvisikia kwa wafanyabiashara zaidi, wao na wafanyakazi ndo mmewatwisha jukumu. Mwakani ukisikia kuna mishahara imeongezwa ujue Tozo imechangia pia.
 
Huo mtindo ndo mtindo huo huo unatumika kwa VAT na witholding tax ambazo wafanyabiashara wamekuwa wakiitumikia nchi yao kukusanya kodi kwa niaba ya serikali kwa miaka na miaka.
Tofauti ni kwamba wao wakichelewa kupeleka wanapigwa penalt na interest.

Ndo maana nakwambia viatu vya kodi mmezoea kuvisikia kwa wafanyabiashara zaidi, wao na wafanyakazi ndo mmewatwisha jukumu. Mwakani ukisikia kuna mishahara imeongezwa ujue Tozo imechangia pia.
Tofauti ni kubwa mno kati ya VAT na kodi hii.Huku kwenye kodi hii kuna watu hawana wala hawamiliki majengo kabisa lakini wanalipa kodi hii.Mfano fundi welding ambae anachomea magari barabarani analipa kodi hii wakati hamiliki jengo kabisa.Hii siyo kodi bali ni kitu kingine ambacho hakina hata jina wakati VAT ni kodi.
 
Tofauti ni kubwa mno kati ya VAT na kodi hii.Huku kwenye kodi hii kuna watu hawana wala hawamiliki majengo kabisa lakini wanalipa kodi hii.Mfano fundi welding ambae anachomea magari barabarani analipa kodi hii wakati hamiliki jengo kabisa.Hii siyo kodi bali ni kitu kingine ambacho hakina hata jina wakati VAT ni kodi.
Hakuna tofauti, Eneo likashakuwa na umeme na luku au mita inamaana lina jengo. Haijalishi jengo ni la mbao, bati, udongo au tofali. Na jengo lina mmiliki. Kazi ya fundi ni kukusanya kodi ya jengo na kuwapa TRA yeye amalizane na mwenye nyumba.
 
Hakuna tofauti, Eneo likashakuwa na umeme na luku au mita inamaana lina jengo. Haijalishi jengo ni la mbao, bati, udongo au tofali. Na jengo lina mmiliki. Kazi ya fundi ni kukusanya kodi ya jengo na kuwapa TRA yeye amalizane na mwenye nyumba.
Kuna maeneo ya garage bubu ambayo ni uwanjani,hakuna jengo lolote wala kibanda chochote na mvua ikinyesha shughuli zinasitishwa.
 
Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.

Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam.

Wiki moja au mbili zilizopita, akafanya mahojiano na Salim Kikeke wa BBC.

Katika nyakati zote hizo mbili, sikusikia kabisa akiulizwa ni kwa nini serikali yake ilituficha kuhusu kuugua kwa Rais Magufuli.

Wananchi hatukupata taarifa zozote zile zilizo rasmi hadi tukaishia kutegemea habari umbea na zisizo rasmi kupitia mitandao ya kijamii.

Kimya kilipozidi kutanda, tukaanza kudokezwa dokezwa kuwa hali si nzuri, mara sijui yupo anachapa kazi, mara sijui anafanywa nini…

Haikupendeza hata kidogo. Na hata vyombo vya habari vya kimataifa viliripoti kuhusu tetesi za kutoonekana kwa Magufuli.

Kwangu hili halikubaliki kabisa!

Wananchi kama waajiri wa hawa viongozi wetu, tuna haki ya kujua kuhusu afya za viongozi wetu.

Hapa simaanishi kila kitu kuhusu afya. Namaanisha tu ile kwa ujumla wake.

Kama mtu anaumwa, kalazwa, tuna haki ya kujua.

Mambo ya kuficha/ kufichwa halafu mnakuja tu kuambiwa mtu kaaga dunia, hayafai.
Hivyo, ningependa sana kujua kwa nini wananchi hatukupewa taarifa.

Na itokeapo fursa ingine ya Rais Samia au hata waziri mkuu Majaliwa kuongea na waandishi wa habari, ningependa kuona na kusikia wakiulizwa ni kwa nini hawakutufahamisha kilichokuwa kinaendelea.

Pascal Mayalla take note and spread the word.
Kuna uwezekano mkubwa wanahusika na kifo chake ndio maana hawataki kuwa wawazi
 
Kama sikosei, mpaka sasa Rais Samia keshaongea na waandishi wa habari kama mara mbili hivi.

Ni zaidi ya mwezi sasa tokea alipoongea na wahariri wa vyombo vya habari/ waandishi wa habari toka ikulu ya Dar es Salaam...
Serikali iliyoficha kifo cha Rais Magufuli ilikuwa ni Serikali ya Awamu ya Tano na sio Serikali ya Awamu ya Sita. Serikali hiyo haipo tena, hivyo aulizwe Hayati Magufuli, Rais Samia hakuwa consumer wa intelligence information.
 
Unazijua taratibu za kuwekewa luku au mita lakini? Hao wa kuvutiwa waya tu eneo lililo wazi mita inakuwa inasoma jina la mwenye kiwanja au jina la fundi?
LUKU huwa inasajiliwa kwa jina la anaemiliki LUKU husika na siyo kwa jina la kiwanja au nyumba.Unaweza kumiliki LUKU hata kama hauna Kiwanja au Nyumba.
 
LUKU huwa inasajiliwa kwa jina la anaemiliki LUKU husika na siyo kwa jina la kiwanja au nyumba.Unaweza kumiliki LUKU hata kama hauna Kiwanja au Nyumba.
Halafu unaifunga kwa kufuata taratibu zipi za kufungiwa umeme? Ni sifa zipi unazotakiwa kuwa nazo raia ili ufungiwe umeme?
 
Na GENTAMYCINE naomba Kumjua huyu Mtu ( Watu ) ambao walikubaliana kuwa 'Watufiche' Watanzania Kuugua Kwake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Kwani Watanzania tokea tu Kuanza Kuugua Kwake tungetangaziwa Kungeharibika nini hadi tukafichwa Kiasi kile?

Nina uhakika kwa Watanzania jinsi tulivyobarikiwa kuwa ni Watu wa Imani za Kimaombi kwa Mwenyezi Mungu huku na Sisi wengine akina GENTAMYCINE tukiwa ni Watu wa kuamini Mizimu yangu ya Kizanaki, Kisimbiti, Kimakuwa na Kiyao kwa pamoja tungemuombea na angepona ili aendelee Kupiga Kazi na kutuongozea vyema Tanzania yetu iliyokuwa inaanza kwenda vyema tofauti na inavyoanza kurudi nyuma tena sasa.

Tukielekea Kumaliza huu Mwaka wa 2021 GENTAMYCINE sitaki kuwa Mnafiki na kukaa nalo Moyoni hili na leo bila Uwoga nasema Hayati Rais Dkt. Magufuli hakuondoka Mwenyewe bali Kalazimishwa kuondoka, ila naamini ipo Siku tu isiyo na Jina ukweli utajulikana.

Namalizia huu Uzi wangu kwa Kuuliza mara nyingine tena ni kwanini Watanzania tulifichwa Kuugua kwa Rais Hayati Dkt. Magufuli? Na lengo Kuu la Kutuficha lilikuwa ni nini? Kwani tungetangaziwa mapema kuhusu Kuugua Kwake tungeharibu Mpango gani uliokuwa Gizani dhidi yake hili Jembe la uhakika?

Nayasubiri tu majibu yenu ya uhakika!!!
 
Back
Top Bottom