The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Nyerere simlaumu sana maana kwa sera zake za ujamaa sioni shida sana. Shida iko kwa watendaji.Yaani Nyerere miaka 25 madarakani ilishindwa hata kujenga chuo kikuu huko musoma! Na musoma pasingekuwa pamepoa hivyo kama pangekuwa na chuo kikuu!
Ukiangalia kanda ya ziwa imetoa mawaziri, viongozi wakubwa sana nchi hii lakini hawajapakumbuka kwao.
Musoma mji umepoa sana aisee.