Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,848
Utoe battery ili iweje?Simu za Apple unaweza hata kutoa battery?
Utoe battery ili iweje?Simu za Apple unaweza hata kutoa battery?
Kwanza huelewi tofauti ya "removable sd card" na sd card slot. Hiyo tu inaonyesha usivyojua unachoandika hapa.Tangu lini simu kuwa na removable sd card ni basic feature? Hivi kwa mfano nawezaje kukosa cloud access?
Swali hili linaonyesha jinsi usivyojua mambo ya simu.Utoe battery ili iweje?
Jukwaa hili halijawahi kuchuja na kuna chief mkwawa huyo yaani madini matupu kwa fact !Eb endeleeni, maana najifunza vingi kupitia uzi huu,
Alaa, kumbe, sasa we hujui kuwa mpaka ununue iPhone lazima uwe unajiweza kifedha na ndo maana ukitembea kitaa si kila mtu utamuona amebeba iPhone ila kama ni Tecno utakutana nao kibao tu, sasa kama una uwezo wa kununua iPhone unaanzaje kuogopa gharama za kubadilishia battery tu?Swali hili linaonyesha jinsi usivyojua mambo ya simu.
Kuna sababu nyingi za kutoa battery.
1. Battery yako ikiharibika, ukiwa na simu yenye removable battery unaweza kununua battery nyingine ukabadilisha mwenyewe. Ukiwa na simu isiyo na removable battery battery ikiwa na tatizo inabidi utume simu kwa fundi/ dealer etc.
Ukiwa na battery za ziada una tofauti gani na mtu aliyebeba power bank?2. Ukiwa power user usiyetaka kuwa stranded unaweza kuwa na batteries za ziada. Ukiwa sehemu umeishiwa charge na huwezi ku charge unabadilisha battery tu. Nina batteries nne. Siwezi kuishiwa battery.
Ila kwa sababu wewe si power user, mambo kama haya huyajui na umuhimu wa removable battery huwezi kuuona.
Hayo ni mawazo yako tu mkuu, hakuna kampuni yoyote ya simu yenye mwazo kama yako kuwa unapowekewa non removable ni kuwa hawakuamini kuwa una akili ya kutoa battery, unless hujui maana ya unibody phoneKimsingi kampuni ya simu ikikupa simu ambayo haina removable battery inakuambia "hatuamini kwamba una akili ya kutoa battery, tukikupa removable battery utaiharibu simu". Na wewe kwa kukubali simu isiyo na removable battery umekubali kufanywa mjinga na Apple.
Simu ikiharibika battery uwatumie waku charge kwa kitu kidogo tu ambacho ungeweza kutengeneza mwenyewe.
Wewe limbukeni unalimbuka.Alaa, kumbe, sasa we hujui kuwa mpaka ununue iPhone lazima uwe unajiweza kifedha na ndo maana ukitembea kitaa si kila mtu utamuona amebeba iPhone ila kama ni Tecno utakutana nao kibao tu, sasa kama una uwezo wa kununua iPhone unaanzaje kuogopa gharama za kubadilishia battery tu?
Ukiwa na battery za ziada una tofauti gani na mtu aliyebeba power bank?
Hayo ni mawazo yako tu mkuu, hakuna kampuni yoyote ya simu yenye mwazo kama yako kuwa unapowekewa non removable ni kuwa hawakuamini kuwa una akili ya kutoa battery, unless hujui maana ya unibody phone
Ha ha ha ha ha haaaaaaaah! Sasa mkuu removable sd card si ndo inakaa kwenye hiyo sd card slot!?Kwanza huelewi yofauti ya "removabke sd card" na sd card slot. Hiyo tu inaonyesha usivyojua unachoandika hapa.
Naona ni mwendo wa kujitapa uonekane umeishi majiji mengi kuliko wengine! Haya sawa, pamoja kuwa hata kama umeishi majiji yote duniani na kuna kipindi ulikosa internet access, si ni wewe tu ndo ulikosa kwani ni mji mzima walikosa? kama kuna kipindi unakosa internet access usidhani ni changamoto ya kila mtuUnawezaje kukosa cloud access? Hilo si swali. Swali ni unawezaje kuwa na internet muda wote?
Mimi nimefanya kazi katika Internet Service Provider na nakaa katika one of the most connected cities in the world na nina unlimited internet access kwenye simu yangu, lakini siwezi kusema nina access ya internet muda wote kutoka katika simu yangu.
Kuna wakati unakuwa out of network, unakuwa kwenye majumba makubwa deep inside coverage weak, unakuwa underground kwenye train, unakuwa unasafiri sehemu ambazo hazina network.
Sasa huko ukitaka cloud access utapataje?
Wewe una matatizo ya kuelewa au una ubishi wa jadi.Ha ha ha ha ha haaaaaaaah! Sasa mkuu removable sd card si ndo inakaa kwenye hiyo sd card slot!?
Naona ni mwendo wa kujitapa uonekane umeishi majiji mengi kuliko wengine! Haya sawa, pamoja kuwa hata kama umeishi majiji yote duniani na kuna kipindi ulikosa internet access, si ni wewe tu ndo ulikosa kwani ni mji mzima walikosa? kama kuna kipindi unakosa internet access usidhani ni changamoto ya kila mtu
Nilijua utafika huku kwenye matusi kwa sababu nilijua utaishiwa facts na kuhamia kwenye matusi. Hebu kama hujaishiwa facts nijibu kiusahihi vinginevyo kaa kimya maana ni busara kuliko mwisho wa siku uje unitukanie mzazi wanguWewe limbukeni unalimbuka.
Hata concept nzima ya open / closed platform huelewi.
Kuna watu hawataki kuwa mbali na simu zao hata kwa dakika chache if they can help it. Wana "Do It Yourself" philosophy towards life. Sasa mtu kama huyo akitaka simu iliyo na removabke batteries kwa sababu za kifalsafa guluguja kama wewe usiye uti wa mgongo wala ubongo utakachoona ni suala la gharama tu.
Wewe hujanijibu.Nilijua utafika huku kwenye matusi kwa sababu nilijua utaishiwa facts na kuhamia kwenye matusi. Hebu kama hujaishiwa facts nijibu kiusahihi vinginevyo kaa kimya maana ni busara kuliko mwisho wa siku uje unitukanie mzazi wangu
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaah, mkuu ngoja ninyooshe mikono juu nikuachie hapaWewe una matatizo ya kuelewa au una ubishi wa jadi.
Inawezekana kabisa una vyote.
Kitu gani ambacho kigumu kuelewa hapo?
Nimekueleza kwamba naishi kwenye one of the most connected cities in the world kukuonesha kwamba tatizo la kukosa mtandao nyakati fulani si tatizo la nchi masikini tu zisizo ma mtandao, unaweza kukosa mtandao nchi yoyote.
Na ukikosa mtandao huwezi kuwa na access na cloud.
Au unatumia cloud ya mabua unaibeba kichwani kwenye tenga?
Unanyoosha mikono juu kwa sababu huwezi kujibu hoja.Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaah, mkuu ngoja ninyooshe mikono juu nikuachie hapa
Nimekupa ushindi mkuu, wewe ni genius siwezi kujilinganisha na wewe, maana mi sijawahi hata kuishi majiji mengi kama wewe, hata siwezi kukujibu kwa sababu sielewi kitu chochote si unajua mi ni limbukeni mkuu, kwa hiyo nimekupigia saluti mkuu. Hata hii comment naomba usiniqoute kabisa maana unazidi kuniaibisha kwa watu watanicheka sana kwenye jukwaa hiliUnanyoosha mikono juu kwa sababu huwezi kujibu hoja.
Wewe unaniquote mimi halafu unaomba mimi nisi ku quote wewe?Nimekupa ushindi mkuu, wewe ni genius siwezi kujilinganisha na wewe, maana mi sijawahi hata kuishi majiji mengi kama wewe, hata siwezi kukujibu kwa sababu sielewi kitu chochote si unajua mi ni limbukeni mkuu, kwa hiyo nimekupigia saluti mkuu. Hata hii comment naomba usiniqoute kabisa maana unazidi kuniaibisha kwa watu watanicheka sana kwenye jukwaa hili
Hivi unatakiwa ku-access cloud wakati wote?Wewe hujanijibu.
Ukiwa huna internet access cloud utaifikia vipi?
Au unasema tu "cloud" bila kuelewa cloud ni nini?
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaah😀😀😀😀😀😀Wewe unaniquote mimi halafu unaomba mimi nisi ku quote wewe?
Kwa nini wewe usiache kuni quote mimi kama kweli hutaki kuendeleza majibizano na mimi?
Unazidi kujionyesha upeo wako ulipoishia.
Hahaha Bora ukalale tu.Nadhani sijaelewa.
Mkuu...Kwenye masuala ya specs ni kawaida ya Apple devices kuachwa mbali na kampuni nyingine lakini kwenye perfomance wise hakuna kifaa chochote ambacho hizipita devices za Apple, ndo maana watu wa productivity huwa wanaangalia hardware na software specs lakini mwisho wa siku lazima arudi kuangalia na kufanya perfomance comparison ya hizo devices, kama sipo sahihi nipo tayari kusahihishwa