mkuu soc ni kila kitu ndani kuna processor, gpu, modem, wifi, bluetooth, camera intelligence, ram, storage type etc hivyo vitu vyote humo ndani kama vinakula sana umeme ujue simu nayo haitakaa na chaji,
kikubwa zaidi cha kufanya hivyo vitu visile chaji ni manufacturing process iliotumika, zipo process nyingi hizi ni baadhi kutoka mpya kwenda zamani
-10nm hii ndio latest mfano soc ndani ya galaxy s6 imetumia hii
-14nm process latest ya mwaka jana na midrange soc za mwaka huu zinatumia hii mfano hio snaodragon 625
-16nm haina tofauti sana na 14nm
-22nm
-28nm
-32nm etc
jinsi inavyokuwa ndogo ndio jinsi inavyokula umeme kidogo na kuwa na nguvu zaidi.
pia kwenye cpu kuna ambazo hazina nguvu lakini zinakula umeme mdogo na kuna zenye nguvu na zinakula umeme mwingi mfano cortex a7 na cortex a53 hazina nguvu sana ila hazili umeme na cortex a72, a73, kyro na cortex a57 zina nguvu na zinakula charge.
kwenye hio a3 nimekupa tu mfano compare na iphone ila a5 na a7 zitakaa zaidi na charge,
pia hio test ina masharti uyajue
-mwanga wameweka 50% ukitumia mwanga zaidi haitakaa muda huo
-wanatumia wifi kubrowse na sio 3g/4g, ukitumia mobile data muda utapungua
-simu inakuwa mpya simu ya android yenye apps nyingi inakuwa na background process nyingi hivyo hula chaji zaidi.
sababu una iphone compare hizo test mbili utaelewa ni vipi itaongezeka ukaaji chaji