Kwanini Samsung asitengeneze OS yake?

Kwanini Samsung asitengeneze OS yake?

Popularity goes to those cheap products associated with Android, the likes of Tecno, Xiaomi, Samsung etc. They don't have a choice, they're caught up in only one choice.
Kama wangekuwa na 'deep pockets' wasingenunua hiyo Android. Wangekimbilia kwenye iOS au Windows. Angalia hata humu jf, wangapi wanatamani kuwa na iphone ila hawana uwezo.
ndugu, mtu awe na simu ya 1000k useme hakuona status inayopatikana apple, mpaka akaachana nayo!!!!!

Kwamba uwe na 6s uonekane unazo, ila mwenye s7 hana pesa,nimeshangaa huu mtizamo.
 
Kwahiyo mkuu unaniambia ukifanya random sampling ya watumiaji 10 wa android ambao wakipewa iphone wataikataa kutokana na sababu ulizotoa hapo juu?

Kama wataikataa au hawataikataa hilo halina maana.

Watu kumi wakisema jua linazunguka dunia,na dunia haizunguki jua,watu hao kusema hivyo kutafanya jua lizunguke dunia?

Argue facts,usiangalie watu wanachochagua.

If a million flies eat shit, do you want to eat shit too because a million flies eat shit?
 
Wewe si mtumiaji wa simu vilivyo ndiyo maana unaridhika na hiyo simu ya Apple.

Watumiaji wa simu tunajua maana ya micro SD card na removable battery.

Wewe unatumia simu kama fashin, mapambo na "status symbol". Ndiyo maana kundi lenu mnaweza kuona mtu mwenye hela hatakiwi kuwa na simu isiyo Apple.
Natumia simu kwa basic stuffs kama kupiga na kupokea simu, kusoma na kujibu emails, kuweka some productivity apps ambazo naweza kuziaccess nisipokuwa na PC na kuingia social networks pale nnapojisikia.
Kuna projects ambazo siwezi kuzifanya kwa simu hata iweje mfano analysis na kuandika some reports. Na hata PC's zipo za heavy or light user. Sasa simu haiwezi fanya hata kazi za light pc.
Naamini kuna watu wengi hasa watu wazima hawapendi kuzifungua simu zao bila sababu.
Binafsi sioni mantiki ya kuifungua simu hata iweje. Hizo memory cards sioni mantiki ya kuwa nayo kama vitu vya maingi vipo kwenye PC.
 
Natumia simu kwa basic stuffs kama kupiga na kupokea simu, kusoma na kujibu emails, kuweka some productivity apps ambazo naweza kuziaccess nisipokuwa na PC na kuingia social networks pale nnapojisikia.
Kuna projects ambazo siwezi kuzifanya kwa simu hata iweje mfano analysis na kuandika some reports. Na hata PC's zipo za heavy or light user. Sasa simu haiwezi fanya hata kazi za light pc.
Naamini kuna watu wengi hasa watu wazima hawapendi kuzifungua simu zao bila sababu.
Binafsi sioni mantiki ya kuifungua simu hata iweje. Hizo memory cards sioni mantiki ya kuwa nayo kama vitu vya maingi vipo kwenye PC.
Unatumia simu kwa basic stuff, mimi ni power user.

Hatuwezi kuwa sawa.

Na unapo rate kitu, hutakiwi kuki rate kwa kuangalia mtu anayekitumia kwa basic usage.

Unatakiwa kuki rate kwa kuangalia power user anatumiaje.

Ukirate kwa basic user you might as well go back to letter writing and smoke signals.

Hizo simu zenu Apple zinaweza kuwa sawa kwenu basic users, lakini kwa advanced/ power users si simu za maana kabisa.
 
mkuu soc ni kila kitu ndani kuna processor, gpu, modem, wifi, bluetooth, camera intelligence, ram, storage type etc hivyo vitu vyote humo ndani kama vinakula sana umeme ujue simu nayo haitakaa na chaji,

kikubwa zaidi cha kufanya hivyo vitu visile chaji ni manufacturing process iliotumika, zipo process nyingi hizi ni baadhi kutoka mpya kwenda zamani

-10nm hii ndio latest mfano soc ndani ya galaxy s6 imetumia hii
-14nm process latest ya mwaka jana na midrange soc za mwaka huu zinatumia hii mfano hio snaodragon 625
-16nm haina tofauti sana na 14nm
-22nm
-28nm
-32nm etc

jinsi inavyokuwa ndogo ndio jinsi inavyokula umeme kidogo na kuwa na nguvu zaidi.

pia kwenye cpu kuna ambazo hazina nguvu lakini zinakula umeme mdogo na kuna zenye nguvu na zinakula umeme mwingi mfano cortex a7 na cortex a53 hazina nguvu sana ila hazili umeme na cortex a72, a73, kyro na cortex a57 zina nguvu na zinakula charge.

kwenye hio a3 nimekupa tu mfano compare na iphone ila a5 na a7 zitakaa zaidi na charge,

pia hio test ina masharti uyajue
-mwanga wameweka 50% ukitumia mwanga zaidi haitakaa muda huo
-wanatumia wifi kubrowse na sio 3g/4g, ukitumia mobile data muda utapungua
-simu inakuwa mpya simu ya android yenye apps nyingi inakuwa na background process nyingi hivyo hula chaji zaidi.

sababu una iphone compare hizo test mbili utaelewa ni vipi itaongezeka ukaaji chaji
Mkuu namiliki Nokia 1520. Sina iphone. Nlishawahi kumiliki iphone mwaka jana ndo maana naisemea sana.
Nshawahi miliki Galaxy S3 ilinidisapoint sana. Ndio maana hadi leo sinunui Android.
Ila watu wangu wa karibu nawasukumia kwenye android kwasababu najua inazoeleka kirahisi kuliko Windows au ios platform.
 
ndugu, mtu awe na simu ya 1000k useme hakuona status inayopatikana apple, mpaka akaachana nayo!!!!!

Kwamba uwe na 6s uonekane unazo, ila mwenye s7 hana pesa,nimeshangaa huu mtizamo.
Hujanielewa mkuu.
Nimesema majority wanamiliki Adroid kwasababu option yao imeishia hapo.
 
Mkuu namiliki Nokia 1520. Sina iphone. Nlishawahi kumiliki iphone mwaka jana ndo maana naisemea sana.
Nshawahi miliki Galaxy S3 ilinidisapoint sana. Ndio maana hadi leo sinunui Android.
Ila watu wangu wa karibu nawasukumia kwenye android kwasababu najua inazoeleka kirahisi kuliko Windows au ios platform.
sasa kutokana na hii test A3 ipo chini kidogo ya 1520 ila hazitatofautiana sana na A7 ipo juu kidogo ya 1520 kwa ukaaji chaji.

Ukumbuke A series ni premium products zisizo na specs kubwa, ukitaka specs ni note na S series
 
Wakati Galaxy S5 zinatoka mdogo wangu alikuwa miongozi mwa watu wa mwanzo kuinunua hiyo simu. Baada ya miezi minne simu ikawa inazimazima. Akairudisha pale Samsung akabadilishiwa mother body nayo baada ya miezi 6 kadhaa ikawa slow ajabu.
Simu za Android zinabeba specs za juu ajabu mfano RAM hadi 4GB, battery hadi 4000mAH. Ila apple anabeba specs za kawaida sana ila ukiiweka kwenye geekbench unakuta iphone anamtupa mbali galaxy kwenye single na multi score test.
Android zinabeba specs nyingi na kubwa ila bado end user haifurahii simu yake baada ya muda.
Si kila asiyependa Apple anatumia Samsung.

Mimi nimeacha Samsung kwa sababu nimepata matatizo na simu zao na simu zao mpya zinakosa removable batteries.

Kwa hiyo ukiongelea udhaifu wa Samsung tu, kuna simu nyingi sana za Android hujazigusa bado.
 
Wakati Galaxy S5 zinatoka mdogo wangu alikuwa miongozi mwa watu wa mwanzo kuinunua hiyo simu. Baada ya miezi minne simu ikawa inazimazima. Akairudisha pale Samsung akabadilishiwa mother body nayo baada ya miezi 6 kadhaa ikawa slow ajabu.
Simu za Android zinabeba specs za juu ajabu mfano RAM hadi 4GB, battery hadi 4000mAH. Ila apple anabeba specs za kawaida sana ila ukiiweka kwenye geekbench unakuta iphone anamtupa mbali galaxy kwenye single na multi score test.
Android zinabeba specs nyingi na kubwa ila bado end user haifurahii simu yake baada ya muda.

Correction: Single core ndio mshindi sio multiple core

6eef7519d76096021207ce63799425f4.jpg


Na kwenye swala la simu kuharibika ni kitu cha kawaida maana hizi ni electronics ambazo zinakuwa assembled at high numbers kwani iPhone hazifi motherboard au hazina tatizo lolote la kiufundi kama zingekuwa perfect pitia reddit post kwenye r/iPhone na uone hata iPhone zinakufa logic board, camera, fingerprint sensors n.k


"Android zinabeba specs nyingi na kubwa ila bado end user haifurahii simu yake baada ya muda"

Research yako hii mpaka ukafikia hii conclusion ilikuwa na sample size ya watu wangapi labda labda. Simu za android umezitumia zamani sana naona chukua hela mwisho wa mwaka nunua Flagship ya Sony, HTC, Samsung, One Plus au Pixel za 2017 then ukuniambie android sio nitaamini kwako sio.
 
Hujanielewa mkuu.
Nimesema majority wanamiliki Adroid kwasababu option yao imeishia hapo.
Sasa wanaomiliki Android wakati wana option ya Apple nao utawasemaje?

Mimi leo nina option ya kupata Apple mpya bure, lakini siitaki.

Utanisemaje mtu kama mimi?
 
sasa kutokana na hii test A3 ipo chini kidogo ya 1520 ila hazitatofautiana sana na A7 ipo juu kidogo ya 1520 kwa ukaaji chaji.

Ukumbuke A series ni premium products zisizo na specs kubwa, ukitaka specs ni note na S series
Fine. Nimekupata.
Let's assume mtu ana 500,000. Mwambie simu yeyote nzuri ya android ambayo akiitumia hatojuta. Performance wise, battery life nk. Android yeyote.
 
Si kila asiyependa Apple anatumia Samsung.

Mimi nimeacha Samsung kwa sababu nimepata matatizo na simu zao na simu zao mpya zinakosa removable batteries.

Kwa hiyo ukiongelea udhaifu wa Samsung tu, kuna simu nyingi sana za Android hujazigusa bado.
Sawa mkuu. Nimekupata.
Unaionaje Nexus Pixel? Unaitabiria makubwa sokoni?
 
Sawa mkuu. Nimekupata.
Unaionaje Nexus Pixel? Unaitabiria makubwa sokoni?
Kawaida huwa sina interest na kuangalia soko.

Nina interest na kuangalia ninachohitaji mimi.

Ndiyo maana sipo katika mkumbo wa kuchagua simu iliyo fashionable wakati najijua mahitaji yangu si fashionable kwani nataka ku download internet nzima nitembee nayo mfukoni.

Hapo sijaongelea Library of Congress na Archives za Vatican bado.
 
kweli kbsaa, km ulishawah kutumia window phone na ukaja kutumia android, ndo utaona utofaut, sim za android inafka mda hata km n simu kali, ila features zao zinachosha na zinakufanya uichoke simu, Anayetumia S7 edge ya almost 1.3M hakuna tofaut na anayetumia tecno w4 ya lak 2, in term of apps, tofaut kubwa n kwamba tecno n MTK while samsung wanatumia snapdragon
 
Yaani jamii forum kuna vichwa kweli, haya madude yanayojadiliwa humu naona maluweluwe pamoja n kuwa na kadegree kangu uchwara. Nawaonea huruma watu ambao hawapitiagi humu JF, kuna mambo ambayo huwezi kuyapata kirahisi either mtaani u kazini. Ndo maana watu huwa wananishangaa kutokana na maarifa ninayoyapata humu.
 
kweli kbsaa, km ulishawah kutumia window phone na ukaja kutumia android, ndo utaona utofaut, sim za android inafka mda hata km n simu kali, ila features zao zinachosha na zinakufanya uichoke simu, Anayetumia S7 edge ya almost 1.3M hakuna tofaut na anayetumia tecno w4 ya lak 2, in term of apps, tofaut kubwa n kwamba tecno n MTK while samsung wanatumia snapdragon
Haujakosea IST na Mercedes s class zote zinakutoa point A na kukupeleka point B.. windows phone users ama kweli kuna nut zipo loose akilini mwenu sio bure.
 
Kawaida huwa sina interest na kuangalia soko.

Nina interest na kuangalia ninachohitaji mimi.

Ndiyo maana sipo katika mkumbo wa kuchagua simu iliyo fashionable wakati najijua mahitaji yangu si fashionable kwani nataka ku download internet nzima nitembee nayo mfukoni.

Hapo sijaongelea Library of Congress na Archives za Vatican bado.
Mkuu umetisha. Kazi unayo kweli.

Mkuu naomba unijibu hili swali, unatembea na battery 4 na memory card 10 mfukoni?
 
Samsung wanayo yao inaitwa tizen. Lakini wanatizama maslahi, itabd wagande na android kwanza, mana kuwapata developers kutengeza apps zao katika os yako mpya ni kazi nayo, nokia mwenyewe kabuma. Saivi ios na android ndo zishatawala soko tena, kutambulisha yako nyengine ni shughuli pevu na itacost sana. Ni upumbavu wao nafikiri kuwa wavivu wakuipa android nzao uniqueness, mana android ni open source, sifahamu kwanini hawaicustomize vya kutosha ikawa na muonekano tofauti na android nyengine, ndio maana mtumiaji wa samsung s6 ni sawa tu kwa MATUMIZI na close ya s6. Zamani kulikuwa na symbian, ambayo nokia na sonyerickson walikuwa wanatumia, lakini interface zao zote ni tofauti. Android zote zipo sawa. Ndio maana kutumia iphone regardless of less features ina customer loyals wanaopanga mstari wiki kabla ya mpya kutoka 😀 wazungu bana hawana subra
Pia hata BlackBerry OS ilibuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom