Kwanini Samsung asitengeneze OS yake?

Kwanini Samsung asitengeneze OS yake?

Haujakosea IST na Mercedes s class zote zinakutoa point A na kukupeleka point B.. windows phone users ama kweli kuna nut zipo loose akilini mwenu sio bure.
mm natumia samsung wewe, ila nilishatumia WP, nina shaka unatumia OKING wewe
 
Kuna OS tofaut na Ile ya window P, ios, android na Blackbery?
 
Mkuu umetisha. Kazi unayo kweli.

Mkuu naomba unijibu hili swali, unatembea na battery 4 na memory card 10 mfukoni?
Battery 4, sd card kadiri 10 za 64 GB, na nyingine kadiri 10 za 128 GB. Na zinaongezeka kila mwezi.

Nasafiri sana na naweza kuhitaji chochote popote. Nataka hata nikienda mwezini na kukosa internet niendelee kufanya kazi zangu na kuburudika.

Sitaki ujinga.
 
Sasa wanaomiliki Android wakati wana option ya Apple nao utawasemaje?

Mimi leo nina option ya kupata Apple mpya bure, lakini siitaki.

Utanisemaje mtu kama mimi?
Bill Gates: My kids have never asked for Apple products.

Bill Gates alisema haya maneno kwenye Interview na Fox Business Network... Huyo jamaa anayekubishia anaweza kui"Google" hii interview ipo CNET.

Kusema kwamba wasio na iPhone hawana deep pocket ni ulimbukeni wa hali ya juu.

Mbona Diamond na Zari wanatumia Samsung... Je hawana deep pocket?

Mbona Bill,Melinda na watoto wao hawatumii iPhone... Je hawana deep pocket? na Bill ndie tajiri wa dunia.

Mbona Warren Buffet hatumii iPhone na yeye ndie tajiri wa pili wa dunia?

Vipi kuhusu Dangote,mtu tajiri zaidi Africa... Naye hana deep pocket?

Nikitaja list yote ntajaza uzi..

Simu za Google,Apple na Samsung Galaxy series hazitofautiani bei... Pia Xiaomi Mi series zinazidi gharama ya iPhone.

Hivyo kusema ambao hawatumii iPhone hawana deep pocket ni ulimbukeni kiwango cha bahari.
 
Bill Gates: My kids have never asked for Apple products.

Bill Gates alisema haya maneno kwenye Interview na Fox Business Network... Huyo jamaa anayekubishia anaweza kui"Google" hii interview ipo CNET.

Kusema kwamba wasio na iPhone hawana deep pocket ni ulimbukeni wa hali ya juu.

Mbona Diamond na Zari wanatumia Samsung... Je hawana deep pocket?

Mbona Bill,Melinda na watoto wao hawatumii iPhone... Je hawana deep pocket? na Bill ndie tajiri wa dunia.

Mbona Warren Buffet hatumii iPhone na yeye ndie tajiri wa pili wa dunia?

Vipi kuhusu Dangote,mtu tajiri zaidi Africa... Naye hana deep pocket?

Nikitaja list yote ntajaza uzi..

Simu za Google,Apple na Samsung Galaxy series hazitofautiani bei... Pia Xiaomi Mi series zinazidi gharama ya iPhone.

Hivyo kusema ambao hawatumii iPhone hawana deep pocket ni ulimbukeni kiwango cha bahari.

Kuna watu wengi wanafuata mkumbo zaidi.
 
Fine. Nimekupata.
Let's assume mtu ana 500,000. Mwambie simu yeyote nzuri ya android ambayo akiitumia hatojuta. Performance wise, battery life nk. Android yeyote.
overall best phone kwa hio simu ni moto g5 plus, kuanzia camera, soc, display ipo vizuri. kama utakuwa na mahitaji zaidi itategemea na hayo mahitaji
-perfomance ni xiaomi redmi note 3
-battery life ni lenovo vibe p2 etc

kama huogopi used Note 4 ni nzuri kwa hio budget.
 
Haujakosea IST na Mercedes s class zote zinakutoa point A na kukupeleka point B.. windows phone users ama kweli kuna nut zipo loose akilini mwenu sio bure.

windows mobile ni os nzuri tu na ina feature nyingi android hamna inshort ni unique sana, nafahamu vitu vingi vya android lakini still naimiss windows mobile.

vitu kama live tile, pin to start screen, almost kutokula chaji standby, smooth hata kwenye simu ya 512mb, total controll ya background apps, uwezo wa kumanage kifurushi etc

nadella sasa hivi haitaki windows mobile lakini ana plan kubwa zaidi, nasubiria surface phone full x86 device, full nintendo wii kwenye kiganja changu
 
Nashukuru kwa kuniweka sawa kwenye battery life.
Kama hao big players wamekataa kwanin wasitengeneze nyingine ambayo unaweza kucustomize na internet of things?
Kama ningekuwa CEO wa Samsung Mobile ningeamuru tutengeneze eco system yetu. Ianze na mobile phones, tablets hadi personal computers.
Mwanzo mgumu ila najua matunda ya mbeleni ni makubwa mno.
Simu 300M zenye OS ya Samsung unadhani ni faida ndogo?
Hata developers wangeimezea mate hiyo Platform.
Hutaki tu kukubali kuwa hayo mauzo yametokana na hizo simu kuwa na Android, kumbuka pia ilikuwepo blackberry lakini ilifeli, makampuni mengi yame boost biashara za hizi vitu sababu ya android.

Pia the real android haiko kwemye galaxy series, iko kwenye nexus, ninavyojua haya ma galaxy yote ya customized versions of android, so basically there is a sort of different experience kwa watumiaji wa Samsung na simu zingine zenye android.

So kwa ufupi utaona kuwa design, pamoja na customization ya software ndio inaipa sababu Samsung kuongoza sokoni.
 
Mimi Bnafsi simu za Samsung huwa sizielewi kabisa, nshatumia tatu ila niliishia kuwa disappointed, hazidumu na zina usumbufu sana. Sina hamu nazo tena
 
Samsung wanayo yao inaitwa tizen. Lakini wanatizama maslahi, itabd wagande na android kwanza, mana kuwapata developers kutengeza apps zao katika os yako mpya ni kazi nayo, nokia mwenyewe kabuma. Saivi ios na android ndo zishatawala soko tena, kutambulisha yako nyengine ni shughuli pevu na itacost sana. Ni upumbavu wao nafikiri kuwa wavivu wakuipa android nzao uniqueness, mana android ni open source, sifahamu kwanini hawaicustomize vya kutosha ikawa na muonekano tofauti na android nyengine, ndio maana mtumiaji wa samsung s6 ni sawa tu kwa MATUMIZI na close ya s6. Zamani kulikuwa na symbian, ambayo nokia na sonyerickson walikuwa wanatumia, lakini interface zao zote ni tofauti. Android zote zipo sawa. Ndio maana kutumia iphone regardless of less features ina customer loyals wanaopanga mstari wiki kabla ya mpya kutoka 😀 wazungu bana hawana subra
Samsung walijaribu kufanya heavy customization a.k.a forking ila nahisi ili back fire,washakuwa na os zao kama bada na tizen lakini zilifeli,kikwazo kikubwa kwa os ni support ya developers.
Wapo wanaofanya forking kama vile Xiaomi,Vivo,amazon kindle etc
 
Samsung ni moja ya makampuni makubwa duniani kwenye uwanja wa teknolojia. Kutengeneza simu zinazotumia Android OS naona kama ni embarasment kwa kampuni kubwa hivi.

Sidhani kama watashindwa kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha kwenye R&D ya kutengeneza OS yao.


NASKIA WATAANZA KUTENGENEZA OS YAO SIKU MKITENGENEZA SIMU PALE NYUMA IMEANDIKWA "Designed by BashiteNIAN assembled in Kolomije halafu ukiwasha unakutana na logo ya nanhii af welcome to Kolom OS(KOS).
 
Android is the best OS in the market. Ni vema wakawa na ya kwao but hyo inatakiwa ifanyike slow slow.
Walikuwepo blackberry , nokia wakalazwa chali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom