Kwanini saba iwe moja kwenye masaa?

Nice answer
 
Inategemea anaongelea saa moja ya usiku au asubuhi ama zote. Kama ni zote basi ile ya asubuhi itabaki kuwa hivyo hivyo hata akitumia masaa 24. Halafu haiwezekani kuwa na saa 24 bali zinaishia 23 kwa sababu ya kwanza huwa ni saa sifuli.
Thanks
 
una miaka mingapi?
 
Cjakupata vzr kli anajua cku huanza SAA sitaUCk so bado nakuwa naswali kwan sa sits uck ikiandikwa 6 na sa saba ikaandikwa 7hatuwezi kutumia
Tutaweza sana tu.
Me maisha yote naseti sàa zangu namna hii. Wenyewe wanasema 'kiswahili '
Nikwambie kitu:
Mzungu akikwambia seven o'clock anamaanisha sàa saba kamili hamaanishi sàa moja kamili. Unajua hilo?
Sasa sie hicho kinyume nyume sijui tumekitoa wapi.
 
Standard ya muda duniani ni GMT ambayo kwayo siku inaanza 00.00 hrs (midnight ) hivyo baada ya lisaa limoja ni 01.00 na asubuhi ile ni 06.00. Likigonga utosini ni 12.00. Kama saa unayo tumia ina masaa 12 tu baadala ya 1300 hrs wewe unaingia 01.00pm. Kutokana na mahali ulipo una adjust muda wako kwa time zone yako. Sisi tz tuna add 3 hrs kupata local time with reference to gmt. Kwa huku kwetu asubuhi huanza saa 12.00 asubuhi ambayo ni sawa na saa 00.00 kwenye machine na tunaanza kuhesabu hapo kwenda mbele. Kama mtumia saa una option ya kuseti saa yako kiswahili au ki gmt. Option nyingine ni kuseti ki gmt lakini unasoma kiswahili na hapo ndio huo mkanganyiko wa 1 na 7 hutokea.
 
 
g
Good
 
Best answer?
 
Nia ya hawa jamaa kuweka mambo kinyume na taratbu za dunia hii ndio imepelekea saa 7 kua sa 1 wao n Ant evrythng kwa maana ya new word order na kuitukuza 6 namba kila saa linabadilishwa na 6 na kuleta maana nyingne Mfano 12-6=6 sa13-6=7 mchana lkn wao wanaiweka 7 kua asubuh saa 8-6=2 saa nane bdl ya saa mbil
 
Sisi ndo tumebadilisha masaa mkuu! Waswahili ndo tunafikiria hivyo ila nchi zingine saba ni saba.
 
Cha kushangaza tunajifanya kusoma saa tofauti lakini sijawai kutana na saa ya kiswahili ili inaposoma moja tuseme sa moja. Hizi saa za kizungu zinachanganya wasiojua kuzisoma.
 
Umeelezea vizuri sana! Nimekuelewa mkuu
 
Ila hii itafaa kwa zile saa zinazoonesha namba na sio za mishale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…