William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Nimeshangazwa na Ruge kuamua kumshitaki Ledy J.D (JUDITH WAMBURA) Kwa kumtuhumu kuhujumu kazi Zake.
Swali kwanini hakumshitaki Mr Two si kwa kumtuhumu kuwa mwizi wa kazi za wasanii bali kumtukana kwa nyimbo yeye na Claud fm kwa nyimbo kama I wana kill u right Now.
Vipi JD TENA ATA WIMBO WA JOTO HASIRA INGAWA NI UJUMBE ULIOJIFICHA KWENDA KWA RUGE LAKINI HAIKUWA WAZI.
Swali kwanini hakumshitaki Mr Two si kwa kumtuhumu kuwa mwizi wa kazi za wasanii bali kumtukana kwa nyimbo yeye na Claud fm kwa nyimbo kama I wana kill u right Now.
Vipi JD TENA ATA WIMBO WA JOTO HASIRA INGAWA NI UJUMBE ULIOJIFICHA KWENDA KWA RUGE LAKINI HAIKUWA WAZI.