ruge mizizi yake ipo ccm na itakoma pale ccm itakapo ng'oka 2015. jide pigana hadi mwisho kama vipi toa hata namba tukuchangie kupambana tupo nyuma ako dada.
Sugu moto chini..... Lady Jaydee inabidi komae na kesi asioneshe udhaifu huyu Ruge anaonekana kama ktu hatari sana, mtu ambaye angetakiwa kuwa na heshima sio wa kugombana na wasanii badala yake wangekaa wayamalize sio kutishiana
Jamani si nasikia Wasira ndiye baba mlezi wa Jide,Sasa inakuwaje Ruge anampeleka mtoto wa Mzee wa Gombe mahakamani.Kwani Kati ya Ruge na Wasira nani Yuko karibu na Baba Mwanaisha vile,.?! Nauliza tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.