Kwanini Rostam Aziz ana uraia wa Uingereza?

Kwanini Rostam Aziz ana uraia wa Uingereza?

Griss

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2025
Posts
337
Reaction score
1,945
Inakuwaje Rostam Aziz ana uraia pacha wakati Watanzania haturuhusiwi kuwa na uraia pacha?

Yeye ana uraia wa TANZANIA na UK

Kama anabisha aje akanushe na serikali ije ikanushe aliwezaje kuwa raia wa uingereza wakati ni raia wa TANZANIA?

Huyu mtu ndio maana sio mwema kwa Tanzania.
 
Inakuwaje Rostam Aziz ana uraia pacha wakati Watanzania haturuhusiwi kuwa na uraia pacha?

Yeye ana uraia wa TANZANIA na UK

Kama anabisha aje akanushe na serikali ije ikanushe aliwezaje kuwa raia wa uingereza wakati uo uo ni raia wa TANZANIA?

Huyu mtu ndio maana sio mwema kwa Tanzania.
Ni raia wa nchi zaidi ya 6 huyo muhalifu na jambazi fisadi Rostam azizi RAIA FEKI
 
Inakuwaje Rostam Aziz ana uraia pacha wakati Watanzania haturuhusiwi kuwa na uraia pacha?

Yeye ana uraia wa TANZANIA na UK

Kama anabisha aje akanushe na serikali ije ikanushe aliwezaje kuwa raia wa uingereza wakati uo uo ni raia wa TANZANIA?

Huyu mtu ndio maana sio mwema kwa Tanzania.
Rostam hana uraia wa uingereza bali ana kibali cha kuishi uingereza kwa miaka mingi kama alichonacho salim kikeke
 
Back
Top Bottom