Griss
JF-Expert Member
- Jun 26, 2025
- 337
- 1,945
Inakuwaje Rostam Aziz ana uraia pacha wakati Watanzania haturuhusiwi kuwa na uraia pacha?
Yeye ana uraia wa TANZANIA na UK
Kama anabisha aje akanushe na serikali ije ikanushe aliwezaje kuwa raia wa uingereza wakati ni raia wa TANZANIA?
Huyu mtu ndio maana sio mwema kwa Tanzania.
Yeye ana uraia wa TANZANIA na UK
Kama anabisha aje akanushe na serikali ije ikanushe aliwezaje kuwa raia wa uingereza wakati ni raia wa TANZANIA?
Huyu mtu ndio maana sio mwema kwa Tanzania.