Kwanini rais wetu hatembelewi?

ni rais legheleghe...........wenzake hawana cha kujifunza kutoka kwake
 
Jaman acheni hizo mkuu wa nchi huwa anapokea ugeni wa viongozi wakubwa toka ughaibuni mara kibao. Nafkr ndiye rais aliyepokea viongozi wengi ambao ni popular duniani zaidi ya marais waliopita.

Pia tusibeze kabila au eneo atokalo mkuu wa nchi, tatizo la mtu mmoja lisifanywe la wote. Wapo wakwere na watu toka pwani ambao utendaji wao umetukuka. So plz JK has nothing to do with wakwere and pipo from magogoni.

JK ni mkuu wa nchi na rais wetu pia aliyewekwa madarakani kwa mujibu wa katiba na demokrasia. Hivyo kama mkuu wa nchi ajengewe na kupewa heshima. Sikatai yeye kukosolewa, ila ukosoaji mwingne umevuka mipaka na maadili.
Soma vizuri mkuu mimi nimetaka kujua marais tena marais wa nchi zinazotuzunguka sio mabalozi, pia nimetaka kujua walipanga mipango gani ya pamoja ambayo itaendeleza wananchi wa nchi husika. Hatupo hapa kukejeli la hasha nimetaka tujadili mustakabali wa maendeleo ya nchi yetu bila kutake advantages zilizopo katika nchi nilizozitaja. Naomba ujikite kwenye mada mkuu sio kudefend tu bila kueleza nini kinafanyika hatutaweza kuendelea kama hatutajadili rootcauses za matatizo yetu.
Sitaki kujadili hapa kuhusu kuchaguliwa kikatiba na kidemokrasia kwani kuna utata mkubwa hivyo basi tujikite kwenye mada.
 
jamani miradi inachukua muda, kuna uwezekano safari zake ni za kukumbushia ahadi za wakubwa wa Nchi husika. msihofu hizi ni njia za kuimarisha mitandao ya kidiplomasia kwa kushirikiana na mabalozi mbalimbali.
 
Naomba mtu aconfirm hapa kwamba, Mwai Kibaki hawajahi kukanyaga TZ toka Jakaya
awe Rais. noting that Kenya is the East African Giant Economy.

amewahi kuja kwenye mikutano ya EAC Lakini hajawahi kuja kwa ajili ya bilateral agreements ambayo ingesaidia kuuza sukari kwa mfano kwa utaratibu uliowekwa kisheria kuliko magendo kama ilivyo hivi sasa kuna maeneo mengi ambayo tunaweza kunufaika lakini hakuna mipango inayofanyika.
 
Si juzi Hillary Clinton alikuja kukagua mashamba ya mchicha pale mlandizi hamkumwona? Acheni unafiki

Kweli bwana Rais wa marekani Hilary clinton alikuja kurekodi script moja ambayo 50 cent amemshirikisha JK wakifokafoka huku Hilary akiwa amemshika mtoto mmoja mwenye tumbo kubwa kifua wazi wa pale bondeni mlandizi karibu na US army barracks
 
Kaka huo ni wivu tu we ulitaka uende ww! Hebu tuache unafiki maana nchi hii iko hali hii kutokana na viongoz wote hasa marahisi wote waliomtangulia kutanguliza uombaomba tangu mwanzo... Hebu tuone pamoja na kujifanya ni wajamaa sijui nakujitegemea bado hata wakati wa mwalimu tulibaki mategemezi 2! So jk kusafiri ni kwa ajili ya WADANGANYIKA WOTE hata ww ukiwamo... Ona kupitia safari zake yafuatayo yamepatikana.. Vyandarua, maji safi kule kijijin kwenu na kwetu, mgao wa umeme ili dili ziende pouwa. Hata hayo maendeleo unayolilia bado ni sehemu ya safari za jk maana asingeenda kuomba watu wange kula mchanga.
Wamtembelee Rais wa viwango vya kina 50%, Eminem, Lil Bow Wow, Lil Wayne kwa lipi la maana?
 
wa meona inchi imemshinda na wanaogopa usalama wao wakiwa nchini
 
Nimekuwa najiuliza kwa muda sasa kwa nini raisi wetu hatembelewi na marais wenzake? Kipindi cha Mkapa tulikuwa tunashuhudia dhifa za taifa nyingi namaanisha sherehe za marais (mgeni § mwenyeji).

Najiuliza rais wetu hana joint programs/projects between countries?

Hii inatia shaka mustakabali wa taifa kwamba tuna kiongozi ambaye hana objectives katika uongozi wake. Labda Mkapa alikuwa na projects/ideas za kuendeleza nchi za Africa na ndio maana maraisi wa Malawi, Botswana, Msumbiji, nk walikuwa wanakuja kuanzisha joint projects kama Mtwara corridor ili kuendeleza wanachi wa nchi husika.

Mimi naamini katika ushirikiano wa waafrika katika kujiendeleza kuliko kuwategemea developed countries ambao hatuna common interests and similar problems.

Nipo tayari kukosolewa

hivi Bush alimtembelea nani? mbona kuna viongozi wengi wamekuja akina Hilary, Rais wa China, na wengine wengi? fuatilia kwanza upate taarifa sahihi ndipo ulalame
 
Nimekuwa najiuliza kwa muda sasa kwa nini raisi wetu hatembelewi na marais wenzake? Kipindi cha Mkapa tulikuwa tunashuhudia dhifa za taifa nyingi namaanisha sherehe za marais (mgeni § mwenyeji).

Najiuliza rais wetu hana joint programs/projects between countries?

Hii inatia shaka mustakabali wa taifa kwamba tuna kiongozi ambaye hana objectives katika uongozi wake. Labda Mkapa alikuwa na projects/ideas za kuendeleza nchi za Africa na ndio maana maraisi wa Malawi, Botswana, Msumbiji, nk walikuwa wanakuja kuanzisha joint projects kama Mtwara corridor ili kuendeleza wanachi wa nchi husika.

Mimi naamini katika ushirikiano wa waafrika katika kujiendeleza kuliko kuwategemea developed countries ambao hatuna common interests and similar problems.

Nipo tayari kukosolewa

The cowboy from Texas was here for 3/4 days. Don't you remember?
 
Mmmh! Wadanganyika bana! Sasa mtu anauliza kutembelewa jaman mböna jk ametembelewa sana tena na viöngozi ambao hata nkapa hawajawaì kumtembelea wapo akina bush, rahis na pm wa india, wa china sehemu zote hz kuna viwanda mmh! Ila wadanganyika wengi tatizo lao ni ujinga, umasikini, utapiamlo, uoga, unafiki na uongo tena na ufitini... Nambien ni rais gan wa njii hii ambaaye safari zake zilikuwa na maana.. Mkapa aliuza sana nchi yetu kwa safari zake! Mwinyi vivo hvyo... aliuza loliondo si afadhari ****** hata bibi zenu, wajomba zenu wamepata vyandarua mmh maana kawa nusuru na mbu... Jaman maendeleo n mchakato.. Mathalan zito anautamani urahisi lkn tayari anazunguka huku na huko je amesaidiaje chama cha magwanda kama c unafiki 2
 
Fuatilia hata kwenye mawasiliano Ikulu na maeneo mengine utaona akiwa na Guebuza (kufungua daraja la umoja), Bingu, Rupia Banda (alikuja bongo si siku nyingi, Kabila, M7, mbona wote hawa amekuwa anafanya mazungumzo nao? hata kama hajatembelewa lakini ametembelea nchi mbalimbali na mazungumzo akiwa hapa au akiwa kule yanahusiana na Bongo? kuna mambo ya kulaumu lakini siyo hili la kutembelewa
 
Kama yeye anawatembelea, wao hawana haja ya kuja huku kwetu. Nakumbuka alikaa na George W Bush hapa kwa zaidi ya siku tatu. Moja ya ziara ndefu kabisa kwa Rais wa Marekani kukaa nchi moja kwa muda huo.

ndg yangu George Bush alikuja kutembea kiwanda chake huko Arusha, A-Z. Alikuja kimaslahi zaidi.
 
Ametembelewa na Gadafi! Hii ilikuwa ni mara tu baada ya ile vita ya libya kuanza! Jamaa aliingia bongoland usiku usiku akaongea na mjomba halafu akajikataa usiku huo huo!
Mkuu unamaanisha ndie aliyekuja kuchukua wale Twiga?
 
Back
Top Bottom