Nimekuwa najiuliza kwa muda sasa kwa nini raisi wetu hatembelewi na marais wenzake? Kipindi cha Mkapa tulikuwa tunashuhudia dhifa za taifa nyingi namaanisha sherehe za marais (mgeni § mwenyeji).
Najiuliza rais wetu hana joint programs/projects between countries?
Hii inatia shaka mustakabali wa taifa kwamba tuna kiongozi ambaye hana objectives katika uongozi wake. Labda Mkapa alikuwa na projects/ideas za kuendeleza nchi za Africa na ndio maana maraisi wa Malawi, Botswana, Msumbiji, nk walikuwa wanakuja kuanzisha joint projects kama Mtwara corridor ili kuendeleza wanachi wa nchi husika.
Mimi naamini katika ushirikiano wa waafrika katika kujiendeleza kuliko kuwategemea developed countries ambao hatuna common interests and similar problems.
Nipo tayari kukosolewa
Mchicha unamsaidiaje mtanzania wa hali ya chini? Tunahitaji projects za ukweli katika miundombinu ya kududumu kama reli,barabara za kuunganisha nchi na nchi, makubaliano ya kibiashara kama Zuma alipokwenda Rwanda alivyofanya nk.Si juzi Hillary Clinton alikuja kukagua mashamba ya mchicha pale mlandizi hamkumwona? Acheni unafiki
Eehe tuambie wanampango gani wa pamoja labda? kama zaidi ya m7 kuja mlimani kupiga picha na SP yake ya miaka ya sabini aibu tupu!!!Hamkumbuki wiki mbili zilizopita Museveni alitua Dar!
Anahamgaika kwa ajili yetu......kumbuka....."Nisiposafiri nje mtakufa njaa"- JMKKila siku hayupo, watamtembeleaje?
.....labda waje kwa meli maana AIRPORT kila siku hakuna umeme wala mawasiliano so hawako tayari ku-risk maisha yao! hata hivyo raha ya kumtembelea mwenzio umkute nyumbani, sasa kila siku mwenzio yuko kwenye viwanja vya kahawa anaganga njaa!
Nimekuwa najiuliza kwa muda sasa kwa nini raisi wetu hatembelewi na marais wenzake? Kipindi cha Mkapa tulikuwa tunashuhudia dhifa za taifa nyingi namaanisha sherehe za marais (mgeni § mwenyeji).
Najiuliza rais wetu hana joint programs/projects between countries?
Hii inatia shaka mustakabali wa taifa kwamba tuna kiongozi ambaye hana objectives katika uongozi wake. Labda Mkapa alikuwa na projects/ideas za kuendeleza nchi za Africa na ndio maana maraisi wa Malawi, Botswana, Msumbiji, nk walikuwa wanakuja kuanzisha joint projects kama Mtwara corridor ili kuendeleza wanachi wa nchi husika.
Mimi naamini katika ushirikiano wa waafrika katika kujiendeleza kuliko kuwategemea developed countries ambao hatuna common interests and similar problems.
Nipo tayari kukosolewa
Rais wa kwanza wa american kuja Tanzania ni George W.Bush mwenyeji wake alikua Kikwete
Rais wa Somalia alikuja kuomba msaada, Commoro alikuja kushukuru kwa jeshi letu kumfukuza generali muasi hakuna cha maana kama thread inavyohitaji.Jamani mbona hivi karibuni alikuja rais wa Somali, Comoro, au mnataka mpaka aje Obama ndipo mjue rais wetu anapendwa?