Kwanini rais wetu hatembelewi?

The cowboy from Texas was here for 3/4 days. Don't you remember?
They come to buy our Kigamboni Land Pia Ku exchange Uranium with Power Symbion

And only Few Presidents are coming to visit him....
But him Ameenda many Country more than 300 times, he is our Taxer eater
 
''bila misaada twafa! hatuwezi kuishi bila kupata misaada kutoka nje; na mwenye uwezo wa kuhakikisha kuwa tunapata hiyo misaada sio Dr. Slaa, Dr. Slaa hana uwezo huo kabisa; mwenye uwezo wa kuhakikisha kuwa tunapata misaada kutoka nje ni Rais Jakaya Kikwete na wala si mwingine'' by Mh. E. Lowasa wakati wa kampeni za uchaguzi 2010.

hii ndiyo sababu inayofanya mh. rais wetu awe anatoka nje mara kwa mara, ni kwa ajili ya maisha yetu watanzania na wala si vinginevyo!
 
Mmmh! Wadanganyika bana! Sasa mtu anauliza kutembelewa jaman mböna jk ametembelewa sana tena na viöngozi ambao hata nkapa hawajawaì kumtembelea wapo akina bush, rahis na pm wa india, wa china sehemu zote hz kuna viwanda mmh! Ila wadanganyika wengi tatizo lao ni ujinga, umasikini, utapiamlo, uoga, unafiki na uongo tena na ufitini... Nambien ni rais gan wa njii hii ambaaye safari zake zilikuwa na maana.. Mkapa aliuza sana nchi yetu kwa safari zake! Mwinyi vivo hvyo... aliuza loliondo si afadhari ****** hata bibi zenu, wajomba zenu wamepata vyandarua mmh maana kawa nusuru na mbu... Jaman maendeleo n mchakato.. Mathalan zito anautamani urahisi lkn tayari anazunguka huku na huko je amesaidiaje chama cha magwanda kama c unafiki 2
kama amewatembelea mara zaidi ya300 halafu yeye anatembelewa mara 20 huoni kama anapuuzwa na anaowatembelea? Pia mara nyinyi hao uliowasema alipokuja hakuna programs zilizozaa matunda baada ya wao kuondoka zaidi ya kuifilisi nchi zaidi ndio maana matatizo yanazidi kila kukicha mifano thamani ya shilingi tunampita uganda ukilinganisha na dola, migodi haitusaidii mapato hayalingani na kodi tunazowatoza hii husababishwa na kutokuwa na ushawishi wa kuingia bilateral agreements zitakazo tunufaisha, angeweza kufanya kama Sata alivyofanya kwamba BOT yao ndo inafuatilia uzwaji wa madini yao sio kila mgodi kujiuzia kitakavyo kisha kutuletea mahesabu haya tutoze kodi. bidhaa feki kama kiongozi angeweza kuingia makubaliano na nchi zinzotoa hizo bidhaa kutoruhusu viwanda vyao kutuuzia substandard goods.
Lengo langu lilikuwa jinsi Tanzania inavyoweza kutake advantages kwa oppurtunities zilizopo katika nchi zinazotuzunguka kulikuwa na mpango wa Mtwara Corridor kati y sisi na Malawi mpaka leo kimya tatizo nini wakati huu mpango ungetoaajira nyingi kwa wananchi wetu kwanini hajauendeleza? kuna mambo mengi lakini hayo kwa uchache.
 
Umeona ndugu yangu..,ushabiki wa chama ndio upo mbele zaidi kuliko maswala ya kitaifa..,..,

Kwani umezuiwa kumtetea? Kama hakuna mahali pa kumtetea utasema uongo? Hata mimi namhurumia sana nimejaribu kutafuta kumbukumbu za utetezi nimekosa kabisa! Hapa ukianika utumbo ujue ni Great thinker utaumbuka ndg, jamaa habebeki mtu wangu! au? Tukisema uongo kidogo kumtetea inafaa? Haya anza wewe mimi huku natunga kitu. . Wakikushambulia naingia mitini.
 
best yake anaekuja sana ni rais wa commoro na somalia!!

comoro wanaimwita obama jamaa kule ni kama baba wa taifa chongo ni mfalme kwenye nchi ya vipofu,hana uzito hawezi tengeneza frofile za mtu mtu hwezi kutana na kikwete halafu akasema ,akina nyerere ndiyo hata castro alikuja hapa, wewe uliza wakenya wanamponda raisi wetu vibaya sana, rwanda wanatuona kama mazuzu
 
comoro wanaimwita obama jamaa kule ni kama baba wa taifa chongo ni mfalme kwenye nchi ya vipofu,hana uzito hawezi tengeneza frofile za mtu mtu hwezi kutana na kikwete halafu akasema ,akina nyerere ndiyo hata castro alikuja hapa, wewe uliza wakenya wanamponda raisi wetu vibaya sana, rwanda wanatuona kama mazuzu
umenchekesha tehe tehe!
 
Alitembelea mashamba au Raisi. Labda niulize hivi je saafari ya Hilary ilikuwa ni state visit?
Swali zuri sana nadhani tunwshindwa kutofautisha kati ya state visit na normal visit as a person is free to travel anywhere.
 
Mmmh! Wadanganyika bana! Sasa mtu anauliza kutembelewa jaman mböna jk ametembelewa sana tena na viöngozi ambao hata nkapa hawajawaì kumtembelea wapo akina bush, rahis na pm wa india, wa china sehemu zote hz kuna viwanda mmh! Ila wadanganyika wengi tatizo lao ni ujinga, umasikini, utapiamlo, uoga, unafiki na uongo tena na ufitini... Nambien ni rais gan wa njii hii ambaaye safari zake zilikuwa na maana.. Mkapa aliuza sana nchi yetu kwa safari zake! Mwinyi vivo hvyo... aliuza loliondo si afadhari ****** hata bibi zenu, wajomba zenu wamepata vyandarua mmh maana kawa nusuru na mbu... Jaman maendeleo n mchakato.. Mathalan zito anautamani urahisi lkn tayari anazunguka huku na huko je amesaidiaje chama cha magwanda kama c unafiki 2

mkapa kauza nchi kwa nani?acha ujinga yaani umchukue mkapa na jk uwalinganishe kweli,nahc wewe una utahira,na wewe ni great thinker kweli???????????,hovyooooooooooooooooooooo, jarbu kuelewa mada kabla ya kucoment
 
mkapa kauza nchi kwa nani?acha ujinga yaani umchukue mkapa na jk uwalinganishe kweli,nahc wewe una utahira,na wewe ni great thinker kweli???????????,hovyooooooooooooooooooooo, jarbu kuelewa mada kabla ya kucoment
nashukuru kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom