Mmmh! Wadanganyika bana! Sasa mtu anauliza kutembelewa jaman mböna jk ametembelewa sana tena na viöngozi ambao hata nkapa hawajawaì kumtembelea wapo akina bush, rahis na pm wa india, wa china sehemu zote hz kuna viwanda mmh! Ila wadanganyika wengi tatizo lao ni ujinga, umasikini, utapiamlo, uoga, unafiki na uongo tena na ufitini... Nambien ni rais gan wa njii hii ambaaye safari zake zilikuwa na maana.. Mkapa aliuza sana nchi yetu kwa safari zake! Mwinyi vivo hvyo... aliuza loliondo si afadhari ****** hata bibi zenu, wajomba zenu wamepata vyandarua mmh maana kawa nusuru na mbu... Jaman maendeleo n mchakato.. Mathalan zito anautamani urahisi lkn tayari anazunguka huku na huko je amesaidiaje chama cha magwanda kama c unafiki 2