Kwanini rais wetu hatembelewi?

Chakunyuma na Wana JF,
Mada yako ni nzuri, watu wa Ikulu ndio wangetueleza na kutujibu aka kukujibu vizuri, ila comments za walitangulia zinachekesha sana. Kuna mambo mengi yanayosababisha kutotembelewa au kutembelewa.
Kawaida unapomwalika Mgeni au Rafiki wewe ndio unakuwa mwenyeji wake, sitaki kuingia ndani unakuwa mwenyeji kivipi, ukarimu na uungwana wa kumhudumia mgeni ili ajisikie nyumbani.
Nawakilisha






Nimekuwa najiuliza kwa muda sasa kwa nini raisi wetu hatembelewi na marais wenzake? Kipindi cha Mkapa tulikuwa tunashuhudia dhifa za taifa nyingi namaanisha sherehe za marais (mgeni § mwenyeji).

Najiuliza rais wetu hana joint programs/projects between countries?

Hii inatia shaka mustakabali wa taifa kwamba tuna kiongozi ambaye hana objectives katika uongozi wake. Labda Mkapa alikuwa na projects/ideas za kuendeleza nchi za Africa na ndio maana maraisi wa Malawi, Botswana, Msumbiji, nk walikuwa wanakuja kuanzisha joint projects kama Mtwara corridor ili kuendeleza wanachi wa nchi husika.

Mimi naamini katika ushirikiano wa waafrika katika kujiendeleza kuliko kuwategemea developed countries ambao hatuna common interests and similar problems.

Nipo tayari kukosolewa
 
Huwa anawambia tulia nakuja huko, vipi hajaenda Ethiopia walio karibu na Ikulu mtujuze.
 
Back
Top Bottom