watu hawakuuliza kutembelewa kwa benard membe,jaribu kuelewa protocal,hillary clinton si size ya Rais kikwete ila kwa vile unajua uwezo wa Rais wako nadhani upo sawa!!na isitoshe huyo mgeni wa membe alikuja kuhalalisha wizi wa dowans!!!!!!Si juzi Hillary Clinton alikuja kukagua mashamba ya mchicha pale mlandizi hamkumwona? Acheni unafiki